Kutokana sasahivi kumetapakaa hizi gari aina ya Noah kujihusisha na biashara ya kubeba abiria hadi uchochoroni, gari hizi zimegeuka kuwa chanzo cha mauaji kwakuwa zinaendeshwa na madreva wasiozingatia sheria, wengi wao wakiwa ni wale mabodaboda, wakibeba abiria siti za mbele wanabeba watu watatu hadi wanine, nyuma kwenye buti wanapakiza abiria, barabarani wanaendesha kwa fujo bila tahadhari kama wafanyavyo mabodaboda.
Naomba serikali ipige marufuku huu usafili utaangamiza raia kwa ajali.
AJALI INA KINGA; CHUKUA TAHADHALI
Naomba serikali ipige marufuku huu usafili utaangamiza raia kwa ajali.
AJALI INA KINGA; CHUKUA TAHADHALI