Gardeners corner: For flower lovers

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,929
Ni sekta isiyovuma lakini yenye kipato cha kueleweka na vijana wengi wamejiajiri na wengine wamepata connection kupitia bustani za maua na maua

Ua ni pambo la asili lenye kuburudisha, kutuliza mihamaniko ya maisha, kukupa amani na utulivu wa nafsi lakini ni chagizo pia na kichokoo cha kukua na usafi wa Kiroho

Lakini katika hayo hayo maua kuna yenye baraka, yenye ulinzi lakini pia yenye nguvu hasi
Kupitia mada hii tutaelezana mengi kuhusu bustani za maua, aina za maua na nguvu zake Kiroho hasi au chanya


Mideko
a788b3b3bc333b29180be4317255fb45.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si mmea mzuri sana Kiroho.. Unapendeza lakini hauna maua.. Una umbo la nyoka, miba na vinywele vinavyochoma sana! Linafaa kuwepo nyumbani kwa uchache lakini lisiwe karibu na mlango mkubwa/getting au chini ya dirisha chumbani.. Kwa sehemu lina uwezo wa kukulinda ama kuzuia baraka
Epuka mimea yenye miba na isiyotoa maua nyumbani.. Hata ikiwepo iwepo kwa uchache
ff54a554a866af5a41846327c151a42c.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana me nilipendaga sana niwe na hii biashara ila wakanitisha kwamba mtaji wake na gharama za matunzo uwe na takriban million kumi na semea wale kama wa pale Mwenge au mbezi au mikocheni kule
Sio kweli ukiwa na million MOJA inatosha kabisa kuanzia

Huyu katumia chupa tupu hapo na huo mzigo akiuza kwa Bei ya china hakosi 50 kulingana na eneo
Na unapouza maua unaweza pia kuuza vase, mbolea madawa nk
bc74ccbfebf7d2757f55e99c4d61866b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom