GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,116
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kabla hamjaanza ooh wewe mtetezi wa wanawake inakuwaje naomba nitoe kauli "SIFURAHII WALA SIUNGI MKONO ALICHOKISEMA CAPTAIN HATA NUKTA ila pamoja na yote ukiacha huko ulimi kumteleza mimi in the all sagger i am captain all day every day. Msianze ooh mchaga mwenzie ukabila Nyerere aliukomeshaa watanzania wote ni ndugu.

Nimeusoma mchezo huu wa Captain na Comandooo mda mrefu sanaa na nimeuelewaa. Mimi ni mtu sharp and articulate na katika mambo sipendi kuangalia mtu ana potray nini napenda kufatilia what is the person hiding. Ndiooooo. Ile front mtu anayoweka hanistui mi nasoma between the lines kwenye mabandiko yake na interviews zake nasikiliza more of what she is not saying than what she is saying. Yale maeneo anayokwepa mi ndo nayatilia mkazo. In the end i always see what other people dont see.

Na hili sakata limekuwa na media saga za kutoshaaa. For the record Comandooo Ndii ndii ndo amemuacha Captain, sasa i failed to understand why is Comandoo SO BITTER wakati hakupewa talaka au kuachwa ndani like she didnt expect it. She walked out on her 15 years marriage bila kumuaga Captain. She wasnt even brave enough to say I am going, or i have decided this, alimdanganya anasafiri ndo kimojaa Captain akaja kupata habari kwenye INSTAGRAM, gazeti nililisoma hilo wajameniii doooh doooh! I was like WTF!!!!!!!!!!

ATLEAST SHE COULD HAVE SAID GOODBY. After 15 yrs Captain deserved a goodbye. Maybe angemwambia Captain angepata chance ya kufanya kitu like appologise. The fact she sneaked out of her marriage inaonesha yeye ndo mwenye tatizo.

Tuje kwenye gazeti lake sasa la kudissolve ndoa yake, i red it 10 times and i didnt see conection or chemistry ya maelezo yake. Moja alisight kuwa Captain was a woman batter. Of which is a strong reason to walk out of your marriage but it was unsupported with any evidence. Cause captain alishaoa mke wa kwanza na alimtuhumu captain vingi sanaa wakati anamuoa Comandoo but wife battering was not one of them. Captain was a serial dater like he dated a lot kina Fauzia msomali, and never has he been charged with women battery. Haya alivompiga ndo ilikuwa mara ya kwanza like she didnt expect it or why then maana kwa maelezo yake 15yrs alichezea kichapo NOT EVEN ONCE SHE REPORTED THE DOMESTIC VIOLENCE to the police, she always testified of being happily married on the media for 15 years. Interesting

Akaja kusema ooh Captain MKUBWA! Hahahaaa! After taking someones 15 best years of his life tha was RUDE and MEAN. Like wakati mna oana hukujua he was OLD. I call that venting and whining like a baby. Comandoo is so bitter on captain wakati kamuacha mwenyewe. Inashangaza mtu umemuona hafai why are you so bitter then? Vikafata series za shades na throwing daggers at captain any chance she got. Mpaka wimbo kamtungia. Yani it was like she was so bitter kama anataka kumzika captai.n kabisaa.

Naomba nimpongeze captain for handling everything like a man. Given the sacrifices Captain made kwa haya mabadiliko ya ghafla angeweza kupata stroke. Hahahaaa. Imagine you is happily married at least mmekubaliana to tell the reporters so then unasikia kwa watu bwana you divorced ans stripped of all the assets mlizochuma na mkeo as of now. Khaaaaaaaaaaaa!

Ila captain is so brave alivosikia he moved on, akatafuta demu mpya at that age he was lucky akawa anaish low key. Comndo colud vex all she wanted, could shade captain at any chance available, yaani alimsimanga mumewe mpaka dhambi. Captain yeye alijikalia kimya tu. Akiulizwa sisi sio maadui. Bibie sasa anamnyambuaaaaa nyambuaaa, all the details anazimwaga.

Lets talk fair, sawa mmeachana, kamkomba kila kitu captain wa watu mpaka kaanza kununua godoro uzee ule, afu ana mtoto maskini. It is sad. Unlike few men, captain believed in her dreams, believed in her talent, believed in their marriage mpaka ka sacrifice kazi yake clouds when his career was at its pick, Ka invest 15 yrs managing whatever his wife told him to. Kamsupport mpaka kwenye maugomvi yao na Ruge, he always had her back. Kwa kweli wanawake hawana jema. Leo hii you strip of everything ukijua ana binti, na alifanya jitihada kuinvest mda, na akili zake akijua bintie ataambulia kitu loooh. Bora angeedelea kutumika clouds tu.

After all this baada ya kutorokwa na mkewe he was supposed to be bitter, envious, mad, frustrated ila wala kajikaza kiume na kuanza upya pale E FM. Mungu kamuona kapata better deal clouds kachukua. And Captain being captain give him 4 to 5 years atakuwa mbali sanaa.


NATOA WITO KWA WANAUME MLIOJITOA KWA WANWAKE NA HAVIJATIMIA MLIVOLENGA MUACHE KUJILIZA LIZA NA KUJIUA KWA POMBEEE KISA MAWAZO, MUWE NGANGARI KAMA CAPTAIN, ANAMUENDESHA COMANDOO KAMA MELI TU.

AND I BET YOU 20000% COMANDOO IS STILL IN LOVE WITH CAPTAIN NO MATTER HOW MUCH ANAJICONVISE SHE IS OVER HIM. Mpaka kumslup na lawyers. Hahahaaa!

THERE IS A THIN LINE BTN LOVE AND HATE.
 
....yes Gardner mara nyingi huwa hakurupuki kujibu waandishi hovyo,siku zote amekuwa akijibu kistaarabu km "comando sio adui yangu", but upande wa pili ndio umekuwa na majibu km; "mimi ndio nilikua namlisha"!, kweli ukisoma vizuri between the lines,utajua who is desperate!
 
Sasa wewe ni nyumba ndogo ya gadner au..? Uliyajuaje ambayo ha jide hajayasema..!!! Kausha tu wakundi ndi ndi
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kabla hamjaanza ooh wewe mtetezi wa wanawake inakuwaje naomba nitoe kauli "SIFURAHII WALA SIUNGI MKONO ALICHOKISEMA CAPTAIN HATA NUKTA ila pamoja na yote ukiacha huko ulimi kumteleza mimi in the all sagger i am captain all day every day. Msianze ooh mchaga mwenzie ukabila Nyerere aliukomeshaa watanzania wote ni ndugu.

Nimeusoma mchezo huu wa Captain na Comandooo mda mrefu sanaa na nimeuelewaa. Mimi ni mtu sharp and articulate na katika mambo sipendi kuangalia mtu ana potray nini napenda kufatilia what is the person hiding. Ndiooooo. Ile front mtu anayoweka hanistui mi nasoma between the lines kwenye mabandiko yake na interviews zake nasikiliza more of what she is not saying than what she is saying. Yale maeneo anayokwepa mi ndo nayatilia mkazo. In the end i always see what other people dont see.

Na hili sakata limekuwa na media saga za kutoshaaa. For the record Comandooo Ndii ndii ndo amemuacha Captain, sasa i failed to understand why is Comandoo SO BITTER wakati hakupewa talaka au kuachwa ndani like she didnt expect it. She walked out on her 15 years marriage bila kumuaga Captain. She wasnt even brave enough to say I am going, or i have decided this, alimdanganya anasafiri ndo kimojaa Captain akaja kupata habari kwenye INSTAGRAM, gazeti nililisoma hilo wajameniii doooh doooh! I was like WTF!!!!!!!!!!

ATLEAST SHE COULD HAVE SAID GOODBY. After 15 yrs Captain deserved a goodbye. Maybe angemwambia Captain angepata chance ya kufanya kitu like appologise. The fact she sneaked out of her marriage inaonesha yeye ndo mwenye tatizo.

Tuje kwenye gazeti lake sasa la kudissolve ndoa yake, i red it 10 times and i didnt see conection or chemistry ya maelezo yake. Moja alisight kuwa Captain was a woman batter. Of which is a strong reason to walk out of your marriage but it was unsupported with any evidence. Cause captain alishaoa mke wa kwanza na alimtuhumu captain vingi sanaa wakati anamuoa Comandoo but wife battering was not one of them. Captain was a serial dater like he dated a lot kina Fauzia msomali, and never has he been charged with women battery. Haya alivompiga ndo ilikuwa mara ya kwanza like she didnt expect it or why then maana kwa maelezo yake 15yrs alichezea kichapo NOT EVEN ONCE SHE REPORTED THE DOMESTIC VIOLENCE to the police, she always testified of being happily married on the media for 15 years. Interesting

Akaja kusema ooh Captain MKUBWA! Hahahaaa! After taking someones 15 best years of his life tha was RUDE and MEAN. Like wakati mna oana hukujua he was OLD. I call that venting and whining like a baby. Comandoo is so bitter on captain wakati kamuacha mwenyewe. Inashangaza mtu umemuona hafai why are you so bitter then? Vikafata series za shades na throwing daggers at captain any chance she got. Mpaka wimbo kamtungia. Yani it was like she was so bitter kama anataka kumzika captai.n kabisaa.

Naomba nimpongeze captain for handling everything like a man. Given the sacrifices Captain made kwa haya mabadiliko ya ghafla angeweza kupata stroke. Hahahaaa. Imagine you is happily married at least mmekubaliana to tell the reporters so then unasikia kwa watu bwana you divorced ans stripped of all the assets mlizochuma na mkeo as of now. Khaaaaaaaaaaaa!

Ila captain is so brave alivosikia he moved on, akatafuta demu mpya at that age he was lucky akawa anaish low key. Comndo colud vex all she wanted, could shade captain at any chance available, yaani alimsimanga mumewe mpaka dhambi. Captain yeye alijikalia kimya tu. Akiulizwa sisi sio maadui. Bibie sasa anamnyambuaaaaa nyambuaaa, all the details anazimwaga.

Lets talk fair, sawa mmeachana, kamkomba kila kitu captain wa watu mpaka kaanza kununua godoro uzee ule, afu ana mtoto maskini. It is sad. Unlike few men, captain believed in her dreams, believed in her talent, believed in their marriage mpaka ka sacrifice kazi yake clouds when his career was at its pick, Ka invest 15 yrs managing whatever his wife told him to. Kamsupport mpaka kwenye maugomvi yao na Ruge, he always had her back. Kwa kweli wanawake hawana jema. Leo hii you strip of everything ukijua ana binti, na alifanya jitihada kuinvest mda, na akili zake akijua bintie ataambulia kitu loooh. Bora angeedelea kutumika clouds tu.

After all this baada ya kutorokwa na mkewe he was supposed to be bitter, envious, mad, frustrated ila wala kajikaza kiume na kuanza upya pale E FM. Mungu kamuona kapata better deal clouds kachukua. And Captain being captain give him 4 to 5 years atakuwa mbali sanaa.


NATOA WITO KWA WANAUME MLIOJITOA KWA WANWAKE NA HAVIJATIMIA MLIVOLENGA MUACHE KUJILIZA LIZA NA KUJIUA KWA POMBEEE KISA MAWAZO, MUWE NGANGARI KAMA CAPTAIN, ANAMUENDESHA COMANDOO KAMA MELI TU.

AND I BET YOU 20000% COMANDOO IS STILL IN LOVE WITH CAPTAIN NO MATTER HOW MUCH ANAJICONVISE SHE IS OVER HIM. Mpaka kumslup na lawyers. Hahahaaa!

THERE IS A THIN LINE BTN LOVE AND HATE.


ukizoea kuoa na kuacha itakuwa hivo milele mengine mbwemwe tu
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kabla hamjaanza ooh wewe mtetezi wa wanawake inakuwaje naomba nitoe kauli "SIFURAHII WALA SIUNGI MKONO ALICHOKISEMA CAPTAIN HATA NUKTA ila pamoja na yote ukiacha huko ulimi kumteleza mimi in the all sagger i am captain all day every day. Msianze ooh mchaga mwenzie ukabila Nyerere aliukomeshaa watanzania wote ni ndugu.

Nimeusoma mchezo huu wa Captain na Comandooo mda mrefu sanaa na nimeuelewaa. Mimi ni mtu sharp and articulate na katika mambo sipendi kuangalia mtu ana potray nini napenda kufatilia what is the person hiding. Ndiooooo. Ile front mtu anayoweka hanistui mi nasoma between the lines kwenye mabandiko yake na interviews zake nasikiliza more of what she is not saying than what she is saying. Yale maeneo anayokwepa mi ndo nayatilia mkazo. In the end i always see what other people dont see.

Na hili sakata limekuwa na media saga za kutoshaaa. For the record Comandooo Ndii ndii ndo amemuacha Captain, sasa i failed to understand why is Comandoo SO BITTER wakati hakupewa talaka au kuachwa ndani like she didnt expect it. She walked out on her 15 years marriage bila kumuaga Captain. She wasnt even brave enough to say I am going, or i have decided this, alimdanganya anasafiri ndo kimojaa Captain akaja kupata habari kwenye INSTAGRAM, gazeti nililisoma hilo wajameniii doooh doooh! I was like WTF!!!!!!!!!!

ATLEAST SHE COULD HAVE SAID GOODBY. After 15 yrs Captain deserved a goodbye. Maybe angemwambia Captain angepata chance ya kufanya kitu like appologise. The fact she sneaked out of her marriage inaonesha yeye ndo mwenye tatizo.

Tuje kwenye gazeti lake sasa la kudissolve ndoa yake, i red it 10 times and i didnt see conection or chemistry ya maelezo yake. Moja alisight kuwa Captain was a woman batter. Of which is a strong reason to walk out of your marriage but it was unsupported with any evidence. Cause captain alishaoa mke wa kwanza na alimtuhumu captain vingi sanaa wakati anamuoa Comandoo but wife battering was not one of them. Captain was a serial dater like he dated a lot kina Fauzia msomali, and never has he been charged with women battery. Haya alivompiga ndo ilikuwa mara ya kwanza like she didnt expect it or why then maana kwa maelezo yake 15yrs alichezea kichapo NOT EVEN ONCE SHE REPORTED THE DOMESTIC VIOLENCE to the police, she always testified of being happily married on the media for 15 years. Interesting

Akaja kusema ooh Captain MKUBWA! Hahahaaa! After taking someones 15 best years of his life tha was RUDE and MEAN. Like wakati mna oana hukujua he was OLD. I call that venting and whining like a baby. Comandoo is so bitter on captain wakati kamuacha mwenyewe. Inashangaza mtu umemuona hafai why are you so bitter then? Vikafata series za shades na throwing daggers at captain any chance she got. Mpaka wimbo kamtungia. Yani it was like she was so bitter kama anataka kumzika captai.n kabisaa.

Naomba nimpongeze captain for handling everything like a man. Given the sacrifices Captain made kwa haya mabadiliko ya ghafla angeweza kupata stroke. Hahahaaa. Imagine you is happily married at least mmekubaliana to tell the reporters so then unasikia kwa watu bwana you divorced ans stripped of all the assets mlizochuma na mkeo as of now. Khaaaaaaaaaaaa!

Ila captain is so brave alivosikia he moved on, akatafuta demu mpya at that age he was lucky akawa anaish low key. Comndo colud vex all she wanted, could shade captain at any chance available, yaani alimsimanga mumewe mpaka dhambi. Captain yeye alijikalia kimya tu. Akiulizwa sisi sio maadui. Bibie sasa anamnyambuaaaaa nyambuaaa, all the details anazimwaga.

Lets talk fair, sawa mmeachana, kamkomba kila kitu captain wa watu mpaka kaanza kununua godoro uzee ule, afu ana mtoto maskini. It is sad. Unlike few men, captain believed in her dreams, believed in her talent, believed in their marriage mpaka ka sacrifice kazi yake clouds when his career was at its pick, Ka invest 15 yrs managing whatever his wife told him to. Kamsupport mpaka kwenye maugomvi yao na Ruge, he always had her back. Kwa kweli wanawake hawana jema. Leo hii you strip of everything ukijua ana binti, na alifanya jitihada kuinvest mda, na akili zake akijua bintie ataambulia kitu loooh. Bora angeedelea kutumika clouds tu.

After all this baada ya kutorokwa na mkewe he was supposed to be bitter, envious, mad, frustrated ila wala kajikaza kiume na kuanza upya pale E FM. Mungu kamuona kapata better deal clouds kachukua. And Captain being captain give him 4 to 5 years atakuwa mbali sanaa.


NATOA WITO KWA WANAUME MLIOJITOA KWA WANWAKE NA HAVIJATIMIA MLIVOLENGA MUACHE KUJILIZA LIZA NA KUJIUA KWA POMBEEE KISA MAWAZO, MUWE NGANGARI KAMA CAPTAIN, ANAMUENDESHA COMANDOO KAMA MELI TU.

AND I BET YOU 20000% COMANDOO IS STILL IN LOVE WITH CAPTAIN NO MATTER HOW MUCH ANAJICONVISE SHE IS OVER HIM. Mpaka kumslup na lawyers. Hahahaaa!

THERE IS A THIN LINE BTN LOVE AND HATE.
Nakuunga mkono Lara 1 asilimia mia moja. Watu wana mapenzi na Lady JD kiasi kwamba hata ukweli hawtaki kuuona. Gadner alikuwa Meneja wa LAdy JD nani ambaye hajui.Akili zake Nguvu zake, Vipaji vywake vyote alivitumia kwa huyu mama . Leo hii eti Gadner hana haki ya kitu chohcoet KWakwelu Lady JD Mungu atakuadhu=ibu hapa duniani kwani ulichofanya sio utu hata kidogo. Hiyo haitoshi unatumia kipaji chaki kumuimba Exwako ni haki kweli. Hivi yeye angeanza kukusimanga kwa kukosa motto ungestahimili kweli. Yeye ana a very beautiful Girl lakini aliamini mko wote. Kwani ups and downs kwenye familia ni ajabu?!?!?! Ulitaka akunyenyekee? Gadner don't worry anza maisha yako Mungu atakujalia. nakumbuka uliacha Offer kubwa Kenya wakati uliyemuamini mke wako alipokuambia chagua kati ya kazi na mke naamini kwa upendo tu ukachagua Mke baada ya miaka michache tu anakuacha na kusema huna chako?!?!?! Komaa na Mungu atakusimamia! Sijasikia ni grave sin ipi uliyofanya kustahili haya!
 
Back
Top Bottom