Gaddafi

Nickbob

Member
Mar 24, 2011
73
12
Nashanga sana kwamba viongozi wetu wa siri kali asimilia 95 hapa TZ hwamjui Gaddafi. Wanajuwatu kuwa ni raisi wa Libya ila hawamfahamu alivyo. Nashangaa wanapo sema hao western countries wasi ingilie kutatua the unrest iliyopo libya eti wawaache wenyewe watutue, kwa kasi hii yamauwaji anayoifanya jamaa gadafi. Inakuja??? Hamumjui huyu ninyii!!!
Obama piga kiserati!!!
 
hata wewe pia huwajui hao "western countries", hakuna anayejali maslahi ya walibya hapo? use your brain dont take everything you hear. "akili za ...... changanya na za kwako"
 
wanamjua ila ni wanafiki kwasababu mwaka jana tu alitoa msaada wa bilioni 200 kwaajili ya ujenzi wa nyumba nadhani 500 kwa mafuriko ya kilosa na viongozi walishukuru kwa hilo!na mwaka 1978 vita vya uganda gadaffi alikua upande wa eid amin dadaa kwa aliwaletea majeshi waganda ya kuipiga tanzania!
Nashanga sana kwamba viongozi wetu wa siri kali asimilia 95 hapa TZ hwamjui Gaddafi. Wanajuwatu kuwa ni raisi wa Libya ila hawamfahamu alivyo. Nashangaa wanapo sema hao western countries wasi ingilie kutatua the unrest iliyopo libya eti wawaache wenyewe watutue, kwa kasi hii yamauwaji anayoifanya jamaa gadafi. Inakuja??? Hamumjui huyu ninyii!!!
Obama piga kiserati!!!
 
What are you talking about man!!! You dont seem to know nothing and you dont want to know!! where do you belong?? What is maslahi as compared to human life?
So would you with your little brians suggest that Gaddafi be left alone so that he "solves" the problems of killing his own people by himself? Gaddafi!!!??? Or what do you want??
I suggest that you get to Loliondo, drink that cupful and restore charge to you brain, something wrong with your celebral hemisphere.
 
Back
Top Bottom