Aweke hata avatar yako.Kuwa mzalendo...weka na warembo wa nyumbani ukianzia na Arusha
Katika vitu ambavyo huwa naulizwa huku JF sana niAweke hata avatar yako.
Ni yakirembo as if ndo wew huwa naita...
Tupe updates mkuu.Halafu nilikuwa nafuatilia uchanguzi mkuu huko Gabon likanijia na wazo la warembo wa huko wapoje! Mgombea wa upinzani si kajitangaza yeye ni mshindi kabla ya matokeo
Katika vitu ambavyo huwa naulizwa huku JF sana ni
1.Hii Avatar ni mimi?
2.Nimeolewa?
Nifah weka hapo jibu katika hayo maswari
Arusha baby.Kuwa mzalendo...weka na warembo wa nyumbani ukianzia na Arusha
Ungekuwa wewe ungeshasema.
Unataka kunijaza upepo nifunguke....Ungekuwa wewe ungeshasema.
We rock...Arusha baby.
Najua unafanana na hio avatar kama mimi ninavyofanana na avatar yangu.Unataka kunijaza upepo nifunguke....
Poleeee.
Kweli,sio mimi.