Wanaojua au wenye kufanya biashara hiyo kuna mwanafunzi mmoja toka nje ya tanzania atakua kutembelea Tanzania. Anapendelea furnished studio badala ya hotel. Ni mwanafunzi hivyo anahitaji cheap gharama ambayo anaweza kuimudu kulipia.
Mwenye taarifa anipm nitamfikisha information na kufanya mipango yo booking. Inahitajika mapema iwezekanavyo. Thanks.
Mwenye taarifa anipm nitamfikisha information na kufanya mipango yo booking. Inahitajika mapema iwezekanavyo. Thanks.