Kakukosea nini huyo Kanumba! Wala pic haina uhusiano na huko
Ohoo hii balaa tena na siku hizi ma pisto yavyozagaa mtaani mmmmmmh
posta kuna eneo moja jirani na Empire Cards ukikuta vijana wanadhurura pale nje waulizie tu, watakuuzia hata bomu ukitakaNielekeze na mimi nikanunue