Fumanizi!! Fumanizi!! Fumanizi!!

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
70,982
93,991
fumanizi 1 copy.jpg

fumanizi 2 copy.jpg

fumanizi 3 copy.jpg


"Mke wa mtu ni sumu, usijaribu chombeza...." hayo ni maneno ya wimbo fulani hivi wa bongo flavor kidogo jina la msanii aliyeimba limenitoka...

Aibu ya mwaka imemkuta huyo njemba pichani baada ya kufumaniwa na mke wa mwenye mali huko waja leo waondoka leo "TANGA".
Pasi na hiyana mwenye mzigo akatoa adhabu ya kumtembeza Mgoni wake na jiko lake wakiwa uchi wa mnyama huku wakichezea kichapo cha hapa na pale pindi walipokua wakikaidi amri ya kushikana mikono....

Hii iwe fundisho kwa nyie wakware mnaopenda kula vya watu na pia kwa kinadada mnaotoa tundi bureee tena mchana kweupeee ilihali ulilipiwa mahari.

NOTE: Sehemu nyeti nimezificha ili kuzingatia maadili ya jukwaa!
 
View attachment 51434

View attachment 51435

View attachment 51436


"Mke wa mtu ni sumu, usijaribu chombeza...." hayo ni maneno ya wimbo fulani hivi wa bongo flavor kidogo jina la msanii aliyeimba limenitoka...

Aibu ya mwaka imemkuta huyo njemba pichani baada ya kufumaniwa na mke wa mwenye mali huko waja leo waondoka leo "TANGA".
Pasi na hiyana mwenye mzigo akatoa adhabu ya kumtembeza Mgoni wake na jiko lake wakiwa uchi wa mnyama huku wakichezea kichapo cha hapa na pale pindi walipokua wakikaidi amri ya kushikana mikono....

Hii iwe fundisho kwa nyie wakware mnaopenda kula vya watu na pia kwa kinadada mnaotoa tundi bureee tena mchana kweupeee ilihali ulilipiwa mahari.

NOTE: Sehemu nyeti nimezificha ili kuzingatia maadili ya jukwaa!
Fungua hizo sehemu nyeti ili tuchangie fresh!
 
Hizi picha niliziona mwakajuzi hapa jukwaani sasa wamerudia tena wakafumaniwa??au mambo yakuona kitu kabla ujauliza unakimbizia JF ili upate coverage??Pinch are way!
 
View attachment 51434

View attachment 51435

View attachment 51436


"Mke wa mtu ni sumu, usijaribu chombeza...." hayo ni maneno ya wimbo fulani hivi wa bongo flavor kidogo jina la msanii aliyeimba limenitoka...

Aibu ya mwaka imemkuta huyo njemba pichani baada ya kufumaniwa na mke wa mwenye mali huko waja leo waondoka leo "TANGA".
Pasi na hiyana mwenye mzigo akatoa adhabu ya kumtembeza Mgoni wake na jiko lake wakiwa uchi wa mnyama huku wakichezea kichapo cha hapa na pale pindi walipokua wakikaidi amri ya kushikana mikono....

Hii iwe fundisho kwa nyie wakware mnaopenda kula vya watu na pia kwa kinadada mnaotoa tundi bureee tena mchana kweupeee ilihali ulilipiwa mahari.

NOTE: Sehemu nyeti nimezificha ili kuzingatia maadili ya jukwaa!
Huyu jamaa aliyeshika rungu ndiye mwenye mali au?
Mbona anamachungu sana?
 
Hizi picha niliziona mwakajuzi hapa jukwaani sasa wamerudia tena wakafumaniwa??au mambo yakuona kitu kabla ujauliza unakimbizia JF ili upate coverage??Pinch are way!

kweli eenh!
 
we uliopost hiz picha ulikuwa jela nini?, umeibuka ukaziona kwa mara ya kwanza ukazirusha. tushaziona kitambo sana miaka 2 iliyopita. ilitokea tarime, sio tanga wewe!!!
 
usipende kuokotezaokoteza picha, imeshawekwa mara kibao humu na wadau sasa tumeichoka!
 
View attachment 51434

View attachment 51435

View attachment 51436


"Mke wa mtu ni sumu, usijaribu chombeza...." hayo ni maneno ya wimbo fulani hivi wa bongo flavor kidogo jina la msanii aliyeimba limenitoka...

Aibu ya mwaka imemkuta huyo njemba pichani baada ya kufumaniwa na mke wa mwenye mali huko waja leo waondoka leo "TANGA".
Pasi na hiyana mwenye mzigo akatoa adhabu ya kumtembeza Mgoni wake na jiko lake wakiwa uchi wa mnyama huku wakichezea kichapo cha hapa na pale pindi walipokua wakikaidi amri ya kushikana mikono....

Hii iwe fundisho kwa nyie wakware mnaopenda kula vya watu na pia kwa kinadada mnaotoa tundi bureee tena mchana kweupeee ilihali ulilipiwa mahari.

NOTE: Sehemu nyeti nimezificha ili kuzingatia maadili ya jukwaa!

Huo wimbo unaitwa "Mke wa m2 ni Sumu" uliimbwa na vijana wanaoitwa. LWP, Mke wa mtu ni sumu... Usijaribu chombeza...Yatakuja yakukute usiyoyategemea......
 
Mhmmm!!! Hii ni aibu iliyopea. Mimi nawaonea huruma tu jinsi walivyopigwa ila ndo hivyo kunanihiii raha.
 
Mtoa mada awe mkweli. Kituko tajwa kilitokea Kisumu Kenya wala si Tanga kama anavyodai.
 
Back
Top Bottom