Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,982
- 93,991
"Mke wa mtu ni sumu, usijaribu chombeza...." hayo ni maneno ya wimbo fulani hivi wa bongo flavor kidogo jina la msanii aliyeimba limenitoka...
Aibu ya mwaka imemkuta huyo njemba pichani baada ya kufumaniwa na mke wa mwenye mali huko waja leo waondoka leo "TANGA".
Pasi na hiyana mwenye mzigo akatoa adhabu ya kumtembeza Mgoni wake na jiko lake wakiwa uchi wa mnyama huku wakichezea kichapo cha hapa na pale pindi walipokua wakikaidi amri ya kushikana mikono....
Hii iwe fundisho kwa nyie wakware mnaopenda kula vya watu na pia kwa kinadada mnaotoa tundi bureee tena mchana kweupeee ilihali ulilipiwa mahari.
NOTE: Sehemu nyeti nimezificha ili kuzingatia maadili ya jukwaa!