Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,703
hii ni aibu kubwa sana kwa kanisa ,kila jumapili tumaimba toa ndugu toa ndugu ulichonacho wewe na tunatoa kumbe wakitoka wanakula mlungula wa escrow .Kilaini umelitia aibu sana kanisa
Hii ni aibu kubwa sana