Fuatilia njia aliyoipitia Brendan Rogers hadi kuwa Kocha wa kuaminika wa soka

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,798
218,447
Brendan Rogers anatajwa kuzaliwa mwaka 1973 , Northen Ireland , hivi sasa anatajwa kuwa na umri wa miaka 50 .

Taarifa zinadokeza kwamba kocha huyu alicheza soka kwa muda mfupi sana , akisajiliwa Reading ya Uingereza akiwa na miaka 18 , akicheza nafasi ya beki , lakini akiwa na umri wa miaka 20 akastaafu soka kutokana na matatizo ya goti yaliyooneka kama ugonjwa wa kurithi (Genetic knee condition)

Alianzia shughuli ya Ukocha katika timu ya Chelsea akihudumu kama kocha wa reserves (wachezaji wa akiba)

MANAGERIAL CAREER

2006 -2008 Chelsea ( Reserves )
2008 - 2009 Watford
2009 Reading
2010 - 2012 Swansea
2012 - 2015 Liverpool
2016 - 2019 Celtic
2019 - onward Leicester City

Siyo mnajiokotea tu makocha wasiofahamika walikotoka wala uzoefu wao na kuwapa timu huku mkitarajia Ubingwa .

Maisha hayawezi kuwa Rahisi hivyo yaani .
 
Jamaa punguza wenge, Arteta licha ya kutofahamika lakini mpira wake unaonekana, Arsenal inarudisha heshima yake, mwanzo wa msimu target ilikuwa kumaliza top four, leo Arteta amefanya mashabiki wa Arsenal waone top four haina maana tena, wanataka ubingwa.

Arteta amerudisha tumaini na tabasamu usoni pa mashabiki wa Arsenal lililopotea miaka mingi, leo mpira wanaoucheza Arsenal ni burudani kwa kila mtazamaji, ajabu wewe unakariri ili kocha awe na heshima lazima afundishe timu 100, hujui kila hatua huanza na moja, na Arteta ameshathibitisha uwanjani yuko vizuri.

Arteta mpaka leo amesha ku prove wrong, hilo ukubali tu, Arsenal leo iko nafasi ya pili, hakuna yeyote aliyetarajia hilo mwanzo wa msimu, rekodi yake mpaka round ya kwanza inaisha, alipoteza game moja na kutoa suluhu mbili tu, jana ndio amepoteza game ya pili tangu msimu uanze, hebu kaa utulie, Arteta ni genius, hata hivyo, mpaka leo bado bingwa hajajulikana ni yupi hata kama City yupo juu.
 
Jamaa punguza wenge, Arteta licha ya kutofahamika lakini mpira wake unaonekana, Arsenal inarudisha heshima yake, mwanzo wa msimu target ilikuwa kumaliza top four, leo Arteta amefanya mashabiki wa Arsenal waone top four haina maana tena, wanataka ubingwa.

Arteta amerudisha tumaini na tabasamu usoni pa mashabiki wa Arsenal lililopotea miaka mingi, leo mpira wanaoucheza Arsenal ni burudani kwa kila mtazamaji, ajabu wewe unakariri ili kocha awe na heshima lazima afundishe timu 100, hujui kila hatua huanza na moja, na Arteta ameshathibitisha uwanjani yuko vizuri.

Arteta mpaka leo amesha ku prove wrong, hilo ukubali tu, Arsenal leo iko nafasi ya pili, hakuna yeyote aliyetarajia hilo mwanzo wa msimu, rekodi yake mpaka round ya kwanza inaisha, alipoteza game moja na kutoa suluhu mbili tu, jana ndio amepoteza game ya pili tangu msimu uanze, hebu kaa utulie, Arteta ni genius, hata hivyo, mpaka leo bado bingwa hajajulikana ni yupi hata kama City yupo juu.
Uyo ni mshamba wa soka anazani city ni Everton wale klabu chache sana zinauwezo wa kushinda na city ulaya arteta kaleta mabadiliko makubwa sana ndani ya arsenal lazima tuseme ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom