Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

IMG_4729.jpg

Yaani Dah
 
Leo ndio leo msema kesho mchawi,

Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan huku U.S.A nao wakisogeza meli na manuari zao.

Ungana na maelfu ya watu kufuatilia kitakachojiri kwa kufuatilia safari kwa rada ya flightrader. Bofya link hapo chini

Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24View attachment 2312006
Duh, leo ndio nimethibitisha kumbe Wachina hawatengenezi bidhaa feki tu, bali hata maneno yao ni feki pia.

Yani Pelosi katua Taiwani kama anavyotuaga pale Newyork tu.
 
Keshatua na mchina kaufyata.

USA ni super power jama, sijui wanomzodoa wana maana gani. USA kwenye ishu inayowagusa moja kwa moja huonesha ubabe wake.

China tatizo lao janja janja nyingi sana, ni super power wa uswahilini.

Ukiskia akina Mandonga basi ni hao wachina.

Mchina alimwambia USA kadandia mtumbwi wa vibwengo ona sasa hivi kaufyata.
Mchina mimi tangu amwage viruses za corona basi nimemvulia kofia

Kama USA alionyesha nguvu kwenye atomic bomb miaka hiyo sasa wao wamemuonyesha biological weapons yao

Duniani hakuna mbabe maadam kila nchi wanahakikisha wanatengeneza kwa kujihami hata kama raia wao baadhi watateketea

Nakumbuka hata Japan kuna wakati waliweka kwenye train zao na kuuwa watu pia yalikuwa majaribio

Na sisi wanapiga marufuku vumbi la Congo huo ndio uwezo wetu

Ila Ukimwi kama ilikuwa ni biological weapons wengi hawaamini pia

Eti ugonjwa mpya
My foot
 
Mchina mimi tangu amwage viruses za corona basi nimemvulia kofia

Kama USA alionyesha nguvu kwenye atomic bomb miaka hiyo sasa wao wamemuonyesha biological weapons yao

Duniani hakuna mbabe maadam kila nchi wanahakikisha wanatengeneza kwa kujihami hata kama raia wao baadhi watateketea

Nakumbuka hata Japan kuna wakati waliweka kwenye train zao na kuuwa watu pia yalikuwa majaribio

Na sisi wanapiga marufuku vumbi la Congo huo ndio uwezo wetu

Ila Ukimwi kama ilikuwa ni biological weapons wengi hawaamini pia

Eti ugonjwa mpya
My foot
hivi wewe unaongea mambo gani.
1. Either virusi vilitoka kwa wanyama hapo china
2. Au vilitoka maadata hapo china.

Kama vilitoka maabara, basi ni maabara iliyokuwa ikifadhiliwa na USA.
 
Then kama china hawata fanya actions zozote mbaka huyu mama akiondoka bila shaka Taiwan watapata kiburi mara mia zaidi.

Yani mbaka nashindwa kuelewa china wanavyo sema Taiwan nisehemu ya nchiyao alafu mtu mgeni anaingia kwenye nchiyako bila ruhusa yako tena kwa lazima!!.

It's more than pc of sht!.
 
Dah mbibi katua asee....hata ivo vita hizi sio nzuri tusianze kushabikia eti China achukue action
 
China imesema kuanzia alhamis itafanya mazoezi ya kijeshi katika maeneo sita kuzungumza kisiwa Cha Taiwan


The #PLA will conduct military exercises and training activities including live-fire drills in six regions surrounding the island of #Taiwan from Thursday to Sunday according to Chinese media.

Harassment season is about to start......

#Taiwanchina

My take:
hata Russia nao walianza hivi hivi kimasiharaView attachment 2312203

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu Hawa. Wamenifanya nukaunga bando la buku mbili. Najiunga nakuta Pelos anashuka. Wakati nikipanga nione vita live huko Twitter.

Hawa waendelee kuzaa simu vita hawawezi.
 
Hahahaha eti hawaamini kama kapanda ile ndege, hivi watu wanamchukuliaje US? Yaani wampandishe ndege nyingine ili ionekane kuwa wamemuogopa Mchina?
Kitu ambacho watu wengi hatujui ni kuwa USA kawekeza sana Taiwan na hata makampuni mengi ya Wazungu wayliyoko China yalianzia Taiwan, kwahiyo hicho kisiwa ni strategic area ya USA. Na China hawezi kuanzisha vita atajikuta anavipigania nyumbani kwake mjue kuwa Korea, Japan, military base za Ufaransa zitashiriki fasta kumshambulia kwahiyo ni ngumu sana Kwa China hapo
 
Huyu Kiduku hawezwi pigwa kirahisi sababu vita yake haiinufaishi US kwa chochote, ili Congress waidhinishe bajeti ya kupeleka jeshi vitani lazma ielezwe deep down US inanufaikaje.

Hawawezi kutumia fedha za walipa kodi hovyo kama huku kwetu, lazima iwepo justifiable reason.
Bosi leo US service men were out on Alert of war. Na wakaambiwa wakishambuliwa washambulie. Unahisi Congress ilikutana. Nooooo...kuna wakati mwingine rais anapower kulingana na mazingira na wakati.
 
Urusi huo mziki kauvagaa, hiyo vita haiishi leo west mpaka wahikikishe rusia ameishiwa materials za kutengeneza siraha halafu wanatinga Kremlin kwenda kumnyakuwa huyo chizi.

Vita bado vipo sn na Russia kashajazwa

Kati ya mitego ambayo China aliwekewa na kaikwepa huu ndio ulikuwa mkubwa, mungu wake kamsaidia Leo maana China ingekuwa kama Vietnam

Usicheze na Moto wa usa.
 
Back
Top Bottom