Kweli kabisa tena kuna wengine wanatengeneza bila kujulikana13000 hiyo ni official report yatakuwa zaidi ya hayo yamefichwa.
huyu kuchoto mwa Mama ni Austin?View attachment 2312373
Yaani Dah
Duh, leo ndio nimethibitisha kumbe Wachina hawatengenezi bidhaa feki tu, bali hata maneno yao ni feki pia.Leo ndio leo msema kesho mchawi,
Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan huku U.S.A nao wakisogeza meli na manuari zao.
Ungana na maelfu ya watu kufuatilia kitakachojiri kwa kufuatilia safari kwa rada ya flightrader. Bofya link hapo chini
Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24View attachment 2312006Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24
View flight from Kuala Lumpur to Taipei on Flightradar24www.flightradar24.com
Mchina mimi tangu amwage viruses za corona basi nimemvulia kofiaKeshatua na mchina kaufyata.
USA ni super power jama, sijui wanomzodoa wana maana gani. USA kwenye ishu inayowagusa moja kwa moja huonesha ubabe wake.
China tatizo lao janja janja nyingi sana, ni super power wa uswahilini.
Ukiskia akina Mandonga basi ni hao wachina.
Mchina alimwambia USA kadandia mtumbwi wa vibwengo ona sasa hivi kaufyata.
hivi wewe unaongea mambo gani.Mchina mimi tangu amwage viruses za corona basi nimemvulia kofia
Kama USA alionyesha nguvu kwenye atomic bomb miaka hiyo sasa wao wamemuonyesha biological weapons yao
Duniani hakuna mbabe maadam kila nchi wanahakikisha wanatengeneza kwa kujihami hata kama raia wao baadhi watateketea
Nakumbuka hata Japan kuna wakati waliweka kwenye train zao na kuuwa watu pia yalikuwa majaribio
Na sisi wanapiga marufuku vumbi la Congo huo ndio uwezo wetu
Ila Ukimwi kama ilikuwa ni biological weapons wengi hawaamini pia
Eti ugonjwa mpya
My foot
ukweli unaujua, kwani siku chache alizokaa pale unajua nini kiliwakuta , nenda kasome mambo ya bucha....Kumbuka Russia alikuwa amebakiza 10km to kiev.....leo hii amebakiza km ngapi baada ya USA kuingiza siraha
Hamna kitu Hawa. Wamenifanya nukaunga bando la buku mbili. Najiunga nakuta Pelos anashuka. Wakati nikipanga nione vita live huko Twitter.China imesema kuanzia alhamis itafanya mazoezi ya kijeshi katika maeneo sita kuzungumza kisiwa Cha Taiwan
The #PLA will conduct military exercises and training activities including live-fire drills in six regions surrounding the island of #Taiwan from Thursday to Sunday according to Chinese media.
Harassment season is about to start......
#Taiwanchina
My take:
hata Russia nao walianza hivi hivi kimasiharaView attachment 2312203
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii joint anafanya na nchi gani?Ngoja tuone,
Katangaza kuanza mazoezi usiku wa leo.
Tunaombea yasije kua ka.a Yale mazoezi ya NATO kule Ukraine, huwa hayaishiView attachment 2312205
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu ambacho watu wengi hatujui ni kuwa USA kawekeza sana Taiwan na hata makampuni mengi ya Wazungu wayliyoko China yalianzia Taiwan, kwahiyo hicho kisiwa ni strategic area ya USA. Na China hawezi kuanzisha vita atajikuta anavipigania nyumbani kwake mjue kuwa Korea, Japan, military base za Ufaransa zitashiriki fasta kumshambulia kwahiyo ni ngumu sana Kwa China hapoHahahaha eti hawaamini kama kapanda ile ndege, hivi watu wanamchukuliaje US? Yaani wampandishe ndege nyingine ili ionekane kuwa wamemuogopa Mchina?
Bosi leo US service men were out on Alert of war. Na wakaambiwa wakishambuliwa washambulie. Unahisi Congress ilikutana. Nooooo...kuna wakati mwingine rais anapower kulingana na mazingira na wakati.Huyu Kiduku hawezwi pigwa kirahisi sababu vita yake haiinufaishi US kwa chochote, ili Congress waidhinishe bajeti ya kupeleka jeshi vitani lazma ielezwe deep down US inanufaikaje.
Hawawezi kutumia fedha za walipa kodi hovyo kama huku kwetu, lazima iwepo justifiable reason.
Mambo ya nchi yako kama yapi.. ambayo ni ya msingi zaid. Hebu dadavuaUnashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Angefanya hivyo miaka 40 iliyopita wakati bado wa moto in term of umri, sasa hivi ana miaka 82 ndo anakumbuka, yaani ni sawa kwenye familia muambiwe atolewe mtu mmoja sadaka alafu anachaguliwa bibi au babu.......jokes kidogo anywayAmeamua kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yake; huo ni ushujaa