FT: Yanga 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup | Azam Complex | 01.05.2024

Ndio nini
Sidhani kama kuna mjadala wa maana wa kufanya hapa labda kama unataka tupoteze muda tu kupiga soga maana bado sijaelewa unachopinga ni nini wakati unakubali kuwa kuna hukumu ya FIFA inayomuhusu mchezaji wa Yanga halafu haujui hukumu inasemaje na haujui mchezaji huyo ni yupi.

Ningekushauri huu muda ungewasiliana na viongozi wako wakupe jina la mchezaji na nakala ya hukumu yake ili kama tunachosema ni kinyume na hukumu hiyo ndiyo uwe na uwezo wa kutusema.
Kwani TFF si walishweka wazi hili swala Au umeshavuta sigara bwege?
 
Sidhani kama kuna mjadala wa maana wa kufanya hapa labda kama unataka tupoteze muda tu kupiga soga maana bado sijaelewa unachopinga ni nini wakati unakubali kuwa kuna hukumu ya FIFA inayomuhusu mchezaji wa Yanga halafu haujui hukumu inasemaje na haujui mchezaji huyo ni yupi.

Ningekushauri huu muda ungewasiliana na viongozi wako wakupe jina la mchezaji na nakala ya hukumu yake ili kama tunachosema ni kinyume na hukumu hiyo ndiyo uwe na uwezo wa kutusema.
Mlivyosema ni Pacome, ni viongozi gani hao waliwapa taarifa
 
Nimegundua Utopolo ni Mbumbumbu+ na ndo maana walizolewa na upepo. Ukweli ni kwamba ile hukumu haimhusu Mchezaji bali klabu. Kwenye uhamisho wa Mchezaji, timu inayonunua Mchezaji inaweza kukubaliana na timu inayouza Mchezaji kulipa Ada ya Uhamisho kwa awamu. Sasa hayo makubaliano huwa yanasimamiwa na FIFA ili kuhakikisha Mdaiwa analipa. Ukichelewa kulipa ndo unakumbana na lile rungu walilopigwa Uto kama njia ya kuwashikiza. Makubaliano haya hayamhusu kabisa Mchezaji kwa sababu mchezaji anakuwa na makubaliano yake na timu mpya na klabu ya zamani na yenyewe huwa na makubaliano yake na klabu mpya. Na klabu zikishakubaliana tu kuhusu kulipana kwa awamu, Mchezaji husika anakuwa Mchezaji Halali wa klabu mpya na ataidhinishwa, na yatakayotokea baadae yeye hayamhusu.
Kwahiyo hao utopolo ndio walikuwa wanazusha mitandaoni kuwa mchezaji aliyehusishwa ni Pacome?
 
Nimegundua Utopolo ni Mbumbumbu+ na ndo maana walizolewa na upepo. Ukweli ni kwamba ile hukumu haimhusu Mchezaji bali klabu. Kwenye uhamisho wa Mchezaji, timu inayonunua Mchezaji inaweza kukubaliana na timu inayouza Mchezaji kulipa Ada ya Uhamisho kwa awamu. Sasa hayo makubaliano huwa yanasimamiwa na FIFA ili kuhakikisha Mdaiwa analipa. Ukichelewa kulipa ndo unakumbana na lile rungu walilopigwa Uto kama njia ya kuwashikiza. Makubaliano haya hayamhusu kabisa Mchezaji kwa sababu mchezaji anakuwa na makubaliano yake na timu mpya na klabu ya zamani na yenyewe huwa na makubaliano yake na klabu mpya. Na klabu zikishakubaliana tu kuhusu kulipana kwa awamu, Mchezaji husika anakuwa Mchezaji Halali wa klabu mpya na ataidhinishwa, na yatakayotokea baadae yeye hayamhusu.
Sasa kati ya Simba na Yanga nani hapo ni Mbumbumbu? Nyie Simba mlisema Yanga kachezesha mchezaji kinyume na utaratibu na mkasema ni Pacome na ndiyo maana hachezi. Sasa mmeanza kuelewa kidogo kidogo ujinga wenu ulipo. Rage alisema.
 
Kushabikia Yanga Rahaa,,,,,,,, , ,, , ,,,,,,,,,,, ,, ,,, , , ,,, , ,,,,, ,,,,,,,,,, ,,,,, , VVV Male living in Tanzania, Length like 15 Yellow Bananas
 
Back
Top Bottom