Vengivyo ni nini?Game inachezwa mda huu wana Simba ombeni Mungu galaxy afungwe vyengivyo bado itakua hamuko nafas nzur.
Wacha bwanaaaaa, hata nje ya Dar atashinda tu?Vengivyo ni nini?
Hamuko ni nini?
Chura unaandika kwa hasira hadi unakosea hovyo, huyo anapigwa tu na Simba ataendelea kushinda mechi zijazo.
🤣 Mtaliwa nyamnyamAshinde Assec, iwe sare.
Poleeeee weeMtaliwa nyamnyam
Ikiisha kwa Galaxy kufungwa inamaana kuelekea match day 5, timu tatu zitakuwa na nafasi kila mmoja kuvuka isipokuwa Asec atakuwa kafuzu moja kwa moja kwenye kundi lao.Game inachezwa mda huu wana Simba ombeni Mungu galaxy afungwe vyengivyo bado itakua hamuko nafas nzur.
Haijaisha mpaka iishePoleeeee wee
Na Mayele akiwemoPyramid kashalambwa kimoja
Wewe ni mjinga inafugwa man city akiwemo haland what special with mayele.?Na Mayele akiwemo
ILe mizee ya Yanga michawi sana, Mchezaji akihama ppale inafanya uswahili mwingi sana ili affeli mbele ya safari. Mayele atajuta kucheza Yanga. Akina Sibomana, Yikpe, Sarpong nk nk huko waliko ni magarasa vifungo vimebaki Utopoloni pale.Na Mayele akiwemo
Mi nimesema tu Mayele akiwemo sijasema kitu chochote cha ziada sa kwanini umeamua kunishambulia hivyo?Wewe ni mjinga inafugwa man city akiwemo haland what special with mayele.?
Poleee sanaaa,Haijaisha mpaka iishe