Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Wakuu, poleni na shughuli za hapa na pale za kujipatia liziki zenu, Naomba ushauri wenu kwani nipo katika mtihani mgumu, nimekuwa nikichat na msichana mmoja ambae ni mtanzania anayeishi Uganda kwa mwaka mmoja sasa, tulianza kama utani mpaka tukafikia stage ya kuwa tunaongea vitu vya kiutu uzima na kuchat kwa kutumia webcam, cha ajabu ni kwmba wakati tunapotumia webcam binti huwa anafanya vituko sana na amefikia stage ya kunionyesha umbo lake la ndani, mtoto analipa sana na she drive me crazzy. Mungu si athumani binti amekuja Tanzania na anataka tuonane na nikamchakachue siku hiyo hiyo. Swali Je kwa wale wataalamu wa desktop datin hii kitu uwa mnaifurahia?. Je kwa wale waishio Uganda au walioishi kule takwimu za VVU zikoje?. Wewe kama rafiki yangu na mshauri wangu wa karibu unanishauri nini?