Mkuu upo nchi gani? Hvi flyover ya TAZARA na Ubungo, standard gauge, Stieglers gorge, REA, Bomba la hoima, upanuzi wa barabara morogoro rd. N.k hii siyo miradi? Hao wakandarasi unaowaongelea watakua wale wa kampuni za dili za mifukoni.Miradi yenyewe haipo!
Wakandarasi wapo hoi!
Kama huamini we tangaza kandarasi ya kufukuza na kumkamata kuku. usishangae utitiri wa makampuni utakaoibuka!
Tena makampuni class 1, 2 na 3.