Foundation Foe Civil Society Yaibua Utitiri wa NGOs Tanzania

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,146
13,216
Pamoja na kupongeza jitihada za Ujio wa FCS ambazo zimeibua utitiri wa NGOs nchini (kwa tamini yangu ya haraka, karibu kila kona utakuta kibao cha NGO) NAJIULIZA IWAPO KUNA TIJA KWA JAMII KWA KUWEPO KWA ASASI HIZI au ndio vile wanasema ni Nothing Going On (NGO) .....niliona majuzi hata Ma DR. wameamua kukimbilia kufungua NGOs, TENA ZA UTAWALA BORA ALBEIT INGEKUWA KUHUSU MASUALA YA AFYA..........hata wafanyabiashara wengi tu nao wameamua kufungua NGO kutokana na ruzuku lukuki zainazomwagwa na NGO. Mathalani, kuna NGOs ZINAFANYA ADVOCACY YA MASUALA YA Ufuatiliaji wa Pesa za Umma lakini ndio kwanza CAG anasema zaidi ya 20% YA FEDHA ZA UMMA ZINATAFUNWA....najiuliza pia iwapo kuna ufuatiliaji wa jinsi NGOs HIZI ZINAVYOTUMIA RUZUKU MBALIMBALI KUTOKA KW WABIA WA MAENDELEO (charity begins at home) naamini kabisa kwamba uozo uliopo kwenye NGOs UNAZIDI ULE ULIOPO SERIKALINI.......

Ni suala linalohitaji mjadala..
 
Sasa kama NGO ina wafadhili wake from no where around the world,haija2mia hata sent 5 ya kodi yenu unaiingilia kati ukiwa kama nani?Tayari ni none governnent organization afu government ianze kuzichambua c wanataka 2 migomo icyokua na head wala tail?heb waacheni bana!
 
HAPA SI SAHIHI KABISA! Kwamba sio hela za kodi yetu, ni hela za kodi za wale, lazima kuwajibika! Binafsi nadhani accountability miongoni mwa NGOs zilizo nyingi una walakini. Wao kwa wao unakuta kuna rushwa kabla mtu hajapatiwa ruzuku...hii lazima wao au NACONGO walipiganie pia kuhakikisha kelele za uwajibikaji wa serikali wao pia lazima kuwajibika
Sasa kama NGO ina wafadhili wake from no where around the world,haija2mia hata sent 5 ya kodi yenu unaiingilia kati ukiwa kama nani?Tayari ni none governnent organization afu government ianze kuzichambua c wanataka 2 migomo icyokua na head wala tail?heb waacheni bana!
 
Back
Top Bottom