RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Ile bustani ya forodhani pale zanzibar kwa watanzania wote tuna la kujifunza. La kwanza ni USAFI, hili eneo usiku mambo yanayopatikana pale kwa waliofika ni bites,juice hata uwanja woote unajaa, lakini hupati kinyaa wala uchafu kuzagaa, ukija kesho yake panakuwa km vile hakanyagi mtu ndani mle, hata ganda la pipi chini hupati, kwani pale wanafanyaje? Hatuwezi kueneza kila mahali?
Secondly ni MAZINGIRA mazuri, mimi naamini wale watu wamepata culture nzuri tu ya kupenda mazingira na kuyatunza kwa kutoyafanyia fujo, kwa kukojoa, kutupa taka, kufanyia uwanja wa ngono , pombe n.k.
Ebu badala ya kwenda Ulaya kujifunza utunzaji wa mazingira tuige yaliyowezekana km znz, moshi, pia mwanza nilienda kuna maeneo masafi wanajitahidi, but Moshi no1, Znz pale forodhani excellent
Secondly ni MAZINGIRA mazuri, mimi naamini wale watu wamepata culture nzuri tu ya kupenda mazingira na kuyatunza kwa kutoyafanyia fujo, kwa kukojoa, kutupa taka, kufanyia uwanja wa ngono , pombe n.k.
Ebu badala ya kwenda Ulaya kujifunza utunzaji wa mazingira tuige yaliyowezekana km znz, moshi, pia mwanza nilienda kuna maeneo masafi wanajitahidi, but Moshi no1, Znz pale forodhani excellent