Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nacheka sana. Ni furaha kabisa nikipita humu naona discussions zinaendelea. Msione nimekaa kimya, hua nasoma kila post tangia post ya 1 hadi hii ya 3213. Nikiangalia comment kama hii naona mwanga, nilivyokuwa infant trader nilikua nina akili kama zako boss. Yani ulikua ukifungua charts zng unakuta kuna indicators kama 10 hivi, nilikua naziamini sana hizi makitu.

With time zikawa zinapungua. Leo hii ukiona analysis yangu hukuti indicator hata 1. That's being professional, hkn Pro anayetumia indicator, utakachokiona kwenye charts zake ni horizontal na inverted lines. Tena saa zingine mtu anaangalia tu hivi charts anajua nini kinaendelea bila ya mstari wwt. Hiyo ndio maana halisi ya Naked forex, yani charts ziwe uchi, zisizibwe zibwe na indicators. Patterns hazijawahi kumpoteza mtu, floor and ceiling ndio mchawi wa price action.

Na hii ndio strategy nataka team nzima itumie... The winning major keys!!

Kuhusu kitabu
Imenichukua muda mwingi kujibu kuhusu kitabu nilichokizungumza awali, sikutaka kujibu kitu ambacho sina uhakika nacho. Siku zote nipo Dar hapa kushughulikia mambo ya hii forex, kitabu nilikua sina access nacho, nilikiacha Bagamoyo.

Kile kitabu bana hata mimi sikukinunua bookshop, nilikichukua kwa mwanangu mmoja SA. Yeye alipewa alipokua ameenda forex course England kwenye darasa la AstroFX, so ukilipa $5000 kama fees unapewa na hicho kitabu as learning guideline.

Kitabu kimeandikwa na Aman Natt na Shaun Lee, kinaitwa learning guideline by AstroFX - mastering technical analysis. Kimetoka mwaka jana July kama sikosei. Kitabu kitamu sana hiki kwa level yenu - bado sijapata mawazo mazuri kutoka kwenu ili kila mtu ambae yupo interested akipate. Mimi mkiniambia nifanye chochote, I'll just do that kwa roho nyeupe, msiposema kitu pia nami nakausha, sina cha kupoteza, mimi nimeshakisoma mara 4.
4f5e467eea2c51868cec4ee1e6defcc8.jpg
Hapa screen shot ya cover page

cc7f2cd523ba7c934544700e16ccbe70.jpg
Hapa table of contents.


Zaidi ya yote - mambo yanaenda vizuri, mnaeza kudhani Ontario amelala tu kitandani anatrade account yake, but kiukweli nafight sana ili office iwe up and running ASAP. Msione nachukua muda mwingi, I am preparing the best thing for us all. Mambo yataanza soon. Let's keep the faith.

hahahahaaa, yaani hapa kaka baada ya kuingia deep katika hizo indicators nikajiona tayari naelekea kumaliza na kuanza kumaster trade. yaani hapa ukiona chart window yangu nimejaza maindicator macho yote yapo katika indicators.

ila mdogomdogo tutafika tuu.
 
Nacheka sana. Ni furaha kabisa nikipita humu naona discussions zinaendelea. Msione nimekaa kimya, hua nasoma kila post tangia post ya 1 hadi hii ya 3213. Nikiangalia comment kama hii naona mwanga, nilivyokuwa infant trader nilikua nina akili kama zako boss. Yani ulikua ukifungua charts zng unakuta kuna indicators kama 10 hivi, nilikua naziamini sana hizi makitu.

With time zikawa zinapungua. Leo hii ukiona analysis yangu hukuti indicator hata 1. That's being professional, hkn Pro anayetumia indicator, utakachokiona kwenye charts zake ni horizontal na inverted lines. Tena saa zingine mtu anaangalia tu hivi charts anajua nini kinaendelea bila ya mstari wwt. Hiyo ndio maana halisi ya Naked forex, yani charts ziwe uchi, zisizibwe zibwe na indicators. Patterns hazijawahi kumpoteza mtu, floor and ceiling ndio mchawi wa price action.

Na hii ndio strategy nataka team nzima itumie... The winning major keys!!

Kuhusu kitabu
Imenichukua muda mwingi kujibu kuhusu kitabu nilichokizungumza awali, sikutaka kujibu kitu ambacho sina uhakika nacho. Siku zote nipo Dar hapa kushughulikia mambo ya hii forex, kitabu nilikua sina access nacho, nilikiacha Bagamoyo.

Kile kitabu bana hata mimi sikukinunua bookshop, nilikichukua kwa mwanangu mmoja SA. Yeye alipewa alipokua ameenda forex course England kwenye darasa la AstroFX, so ukilipa $5000 kama fees unapewa na hicho kitabu as learning guideline.

Kitabu kimeandikwa na Aman Natt na Shaun Lee, kinaitwa learning guideline by AstroFX - mastering technical analysis. Kimetoka mwaka jana July kama sikosei. Kitabu kitamu sana hiki kwa level yenu - bado sijapata mawazo mazuri kutoka kwenu ili kila mtu ambae yupo interested akipate. Mimi mkiniambia nifanye chochote, I'll just do that kwa roho nyeupe, msiposema kitu pia nami nakausha, sina cha kupoteza, mimi nimeshakisoma mara 4.
4f5e467eea2c51868cec4ee1e6defcc8.jpg
Hapa screen shot ya cover page

cc7f2cd523ba7c934544700e16ccbe70.jpg
Hapa table of contents.


Zaidi ya yote - mambo yanaenda vizuri, mnaeza kudhani Ontario amelala tu kitandani anatrade account yake, but kiukweli nafight sana ili office iwe up and running ASAP. Msione nachukua muda mwingi, I am preparing the best thing for us all. Mambo yataanza soon. Let's keep the faith.
Astrofx walikua na live webinar jana. Pamoja na mengine walisema wanamalizia maandalizi ya ku-launch website yao...itaitwa everythingfx.Walionyesha pia demo ya hiyo website ambayo itazinduliwa July 1. Kwa jinsi ninavyoona hizo content za kitabu ni almost similar na content za website, plus other detailed weekly technical analysis...
 
Tuko pamoja kamanda.. Kuhusu hicho kitabu ushauri wangu ukiwa hapo dar naomba utusaidie kujua gharama ya copy na utoe copy kwa oder na kwa cash.. Nikiwa na maana atakae kihitaji atume hela umtolee copy na aje achukue mwenyewe.. Hi pia inaweza kua moja ya interview kwa wanafunzi..
ilo suala la kwamba kila mmoja aje kuchukua mwenyewe napingana nalo koz wengine tupo mikoan tutatumia ndugu kuagiza icho kitabu, kuhusu suala la interview halitawezekana kwasabab ya muda mwache ontario ashugulikia masuala ya ofisi interview watafanyiwa darasan.
ishu muhimu ni kitabu kipelekwe stationary tutakifata na namna yeyote tusicomplicate mambo
 
Kama unacho hiko kitabu mkononi, tafuta stationery yeyote inayotoa copy cheaply then uwaagize watu wakachukue copy hapo.
Mfano. Unatafuta stationary pale survey, unakiweka hapo, anaetaka copy anaenda kuchukua hapo kwa wakati wake.
I think this will be the best idea.
naunga mkonyo hoja, sor mfupa hauna ulimi
 
hahahahaaa, yaani hapa kaka baada ya kuingia deep katika hizo indicators nikajiona tayari naelekea kumaliza na kuanza kumaster trade. yaani hapa ukiona chart window yangu nimejaza maindicator macho yote yapo katika indicators.

ila mdogomdogo tutafika tuu.
indicatora hazijawah muacha mtu salama bro acha tujifunze kua naked traders
ila nadhan indicators zinasaidia kujua vtu vng mno so endelea kuzimaster hizo indicators
 
Astrofx walikua na live webinar jana. Pamoja na mengine walisema wanamalizia maandalizi ya ku-launch website yao...itaitwa everythingfx.Walionyesha pia demo ya hiyo website ambayo itazinduliwa July 1. Kwa jinsi ninavyoona hizo content za kitabu ni almost similar na content za website, plus other detailed weekly technical analysis...
Nimeona kitu kama hiko.
Ila ni vizuri kuona kitabu kinasemaje.
"Kiu ya Mafanikio haichagui cha kusoma"
 
ilo suala la kwamba kila mmoja aje kuchukua mwenyewe napingana nalo koz wengine tupo mikoan tutatumia ndugu kuagiza icho kitabu, kuhusu suala la interview halitawezekana kwasabab ya muda mwache ontario ashugulikia masuala ya ofisi interview watafanyiwa darasan.
ishu muhimu ni kitabu kipelekwe stationary tutakifata na namna yeyote tusicomplicate mambo
Mkuu hayo yalikua mawazo yangu Na ishu ya kua mkoani sio ishu sana coz me mwenyewe niko mkoani.. Ila ninachoamini penye nia pana njia.. Sijasena Ontario ndio atumie muda huo kwa interview laah hasha.. Ila we kujituma hata kufuata hicho kitabu.. Inaweza ikawa interview kwako.. Asante
Nawsilisha.
 
Binafsi natumia indicators kuangalia kama pair ipo oversold au overbought.
Miaka fulani indicator ilinipeleka chaka hadi leo sitaki tena kuziamini.

Hahahaha, mkuu indicators zilikufanya nini.? Zilikuchomea akaunti nini.?
 
Kuhusu kitabu
Imenichukua muda mwingi kujibu kuhusu kitabu nilichokizungumza awali, sikutaka kujibu kitu ambacho sina uhakika nacho. Siku zote nipo Dar hapa kushughulikia mambo ya hii forex, kitabu nilikua sina access nacho, nilikiacha Bagamoyo.

Kile kitabu bana hata mimi sikukinunua bookshop, nilikichukua kwa mwanangu mmoja SA. Yeye alipewa alipokua ameenda forex course England kwenye darasa la AstroFX, so ukilipa $5000 kama fees unapewa na hicho kitabu as learning guideline.

Kitabu kimeandikwa na Aman Natt na Shaun Lee, kinaitwa learning guideline by AstroFX - mastering technical analysis. Kimetoka mwaka jana July kama sikosei. Kitabu kitamu sana hiki kwa level yenu - bado sijapata mawazo mazuri kutoka kwenu ili kila mtu ambae yupo interested akipate. Mimi mkiniambia nifanye chochote, I'll just do that kwa roho nyeupe, msiposema kitu pia nami nakausha, sina cha kupoteza, mimi nimeshakisoma mara 4..

Kaka hamna Haja ya kusubiri watu watoe mawazo kuhusu kitabu maana hatutofika muafaka.

Kipeleke stationary inayo aminika kwa maana ya uwezo wake wa kuto copy ya spidi na ambayo ipo center ya mji panapo fikika kirahisi na kila mtu halafu kila mtu akanunue copy mwenyewe.

Wa mikoani mtatuma Jamaa zenu wa huku dar wawanulie na kuwatumia huko mlipo

Tufanye maamuzi tusonge mbele
 
Kaka hamna Haja ya kusubiri watu watoe mawazo kuhusu kitabu maana hatutofika muafaka.

Kipeleke stationary inayo aminika kwa maana ya uwezo wake wa kuto copy ya spidi na ambayo ipo center ya mji panapo fikika kirahisi na kila mtu halafu kila mtu akanunue copy mwenyewe.

Wa mikoani mtatuma Jamaa zenu wa huku dar wawanulie na kuwatumia huko mlipo

Tufanye maamuzi tusonge mbele
Sure.
 
Kama alivyosema mkuu bavaria, binafsi sina budi kukubaliana wazo la bavaria maana itakua njia rahisi zaidi isiyo na mlongolongo..
 
Nacheka sana. Ni furaha kabisa nikipita humu naona discussions zinaendelea. Msione nimekaa kimya, hua nasoma kila post tangia post ya 1 hadi hii ya 3213. Nikiangalia comment kama hii naona mwanga, nilivyokuwa infant trader nilikua nina akili kama zako boss. Yani ulikua ukifungua charts zng unakuta kuna indicators kama 10 hivi, nilikua naziamini sana hizi makitu.

With time zikawa zinapungua. Leo hii ukiona analysis yangu hukuti indicator hata 1. That's being professional, hkn Pro anayetumia indicator, utakachokiona kwenye charts zake ni horizontal na inverted lines. Tena saa zingine mtu anaangalia tu hivi charts anajua nini kinaendelea bila ya mstari wwt. Hiyo ndio maana halisi ya Naked forex, yani charts ziwe uchi, zisizibwe zibwe na indicators. Patterns hazijawahi kumpoteza mtu, floor and ceiling ndio mchawi wa price action.

Na hii ndio strategy nataka team nzima itumie... The winning major keys!!

Kuhusu kitabu
Imenichukua muda mwingi kujibu kuhusu kitabu nilichokizungumza awali, sikutaka kujibu kitu ambacho sina uhakika nacho. Siku zote nipo Dar hapa kushughulikia mambo ya hii forex, kitabu nilikua sina access nacho, nilikiacha Bagamoyo.

Kile kitabu bana hata mimi sikukinunua bookshop, nilikichukua kwa mwanangu mmoja SA. Yeye alipewa alipokua ameenda forex course England kwenye darasa la AstroFX, so ukilipa $5000 kama fees unapewa na hicho kitabu as learning guideline.

Kitabu kimeandikwa na Aman Natt na Shaun Lee, kinaitwa learning guideline by AstroFX - mastering technical analysis. Kimetoka mwaka jana July kama sikosei. Kitabu kitamu sana hiki kwa level yenu - bado sijapata mawazo mazuri kutoka kwenu ili kila mtu ambae yupo interested akipate. Mimi mkiniambia nifanye chochote, I'll just do that kwa roho nyeupe, msiposema kitu pia nami nakausha, sina cha kupoteza, mimi nimeshakisoma mara 4.
4f5e467eea2c51868cec4ee1e6defcc8.jpg
Hapa screen shot ya cover page

cc7f2cd523ba7c934544700e16ccbe70.jpg
Hapa table of contents.


Zaidi ya yote - mambo yanaenda vizuri, mnaeza kudhani Ontario amelala tu kitandani anatrade account yake, but kiukweli nafight sana ili office iwe up and running ASAP. Msione nachukua muda mwingi, I am preparing the best thing for us all. Mambo yataanza soon. Let's keep the faith.
Mkuu Ontario big up brother....keep on fighting, we are praying for you and may God be with u in all struggles...Nilikuwa nakubaliana na wazo lako la kufanya mpango wa kutoa hardcopy ili wale walio dsm waweze kuwa na access na kitabu hicho ktk stationery au sehemu ambayo itakuwa accessible kwa watu....na pia wale wote wa mikoani tuangalie utaratibu mzuri wa kuvisambaza huko according to people's needs...
Ahsante, nawasilisha boss
 
Pole kwa majumu mkuu Ontario sisi tuliopo mikoani tungepata hata kwa soft copy ama kwa njia yeyote utakayoipendekeza roho zitatulia.
 
Nacheka sana. Ni furaha kabisa nikipita humu naona discussions zinaendelea. Msione nimekaa kimya, hua nasoma kila post tangia post ya 1 hadi hii ya 3213. Nikiangalia comment kama hii naona mwanga, nilivyokuwa infant trader nilikua nina akili kama zako boss. Yani ulikua ukifungua charts zng unakuta kuna indicators kama 10 hivi, nilikua naziamini sana hizi makitu.

With time zikawa zinapungua. Leo hii ukiona analysis yangu hukuti indicator hata 1. That's being professional, hkn Pro anayetumia indicator, utakachokiona kwenye charts zake ni horizontal na inverted lines. Tena saa zingine mtu anaangalia tu hivi charts anajua nini kinaendelea bila ya mstari wwt. Hiyo ndio maana halisi ya Naked forex, yani charts ziwe uchi, zisizibwe zibwe na indicators. Patterns hazijawahi kumpoteza mtu, floor and ceiling ndio mchawi wa price action.

Na hii ndio strategy nataka team nzima itumie... The winning major keys!!

Kuhusu kitabu
Imenichukua muda mwingi kujibu kuhusu kitabu nilichokizungumza awali, sikutaka kujibu kitu ambacho sina uhakika nacho. Siku zote nipo Dar hapa kushughulikia mambo ya hii forex, kitabu nilikua sina access nacho, nilikiacha Bagamoyo.

Kile kitabu bana hata mimi sikukinunua bookshop, nilikichukua kwa mwanangu mmoja SA. Yeye alipewa alipokua ameenda forex course England kwenye darasa la AstroFX, so ukilipa $5000 kama fees unapewa na hicho kitabu as learning guideline.

Kitabu kimeandikwa na Aman Natt na Shaun Lee, kinaitwa learning guideline by AstroFX - mastering technical analysis. Kimetoka mwaka jana July kama sikosei. Kitabu kitamu sana hiki kwa level yenu - bado sijapata mawazo mazuri kutoka kwenu ili kila mtu ambae yupo interested akipate. Mimi mkiniambia nifanye chochote, I'll just do that kwa roho nyeupe, msiposema kitu pia nami nakausha, sina cha kupoteza, mimi nimeshakisoma mara 4.
4f5e467eea2c51868cec4ee1e6defcc8.jpg
Hapa screen shot ya cover page

cc7f2cd523ba7c934544700e16ccbe70.jpg
Hapa table of contents.


Zaidi ya yote - mambo yanaenda vizuri, mnaeza kudhani Ontario amelala tu kitandani anatrade account yake, but kiukweli nafight sana ili office iwe up and running ASAP. Msione nachukua muda mwingi, I am preparing the best thing for us all. Mambo yataanza soon. Let's keep the faith.

Mkuu najua upo tight sana na pm hujibu Ila Nina proposal Fulani ya biashara lakini naona kule kwenye uzi wa ushauri wa biashara haujibu kwahiyo nisamehewe kuja hapa maana najua sio mahala pake.

Naomba niku pm namba yangu tuonane tuongee.

Mnisamehe wadau wengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom