Siza Agropro
Senior Member
- Oct 2, 2016
- 114
- 148
Hujasoma hadi mwisho,Kama ungekuwa umefanya hivo usinge quote uzi wote,,mwishoni mwa Uzi Kuna angalizo la kutofanya hivo kuepusha usumbufu kwa wanaotumia simuMkuu Ontaria, nimeusoma uzi huu mwanzo mwisho, umetisha. Nahitaji kuwa miongoni mwa watu hao 300 kwani nimesoma Master Degree in Finance na FOREX Trading nimesoma theoretically, I want now to do practically because I like it.
BIG UP, usinisahau mkuu.