Ni idea great sana kusema kweli, tuisome kwanza tuelewe maana ulianza vizuri sana aiseee ila mwishoni ndio umekanyaga tope kwelikweli.. Hahahaaaaa pole mtani.
Maana hapo uliposema umeahirisha safari ya mwaliko wa world bank eti kwasababu unasajili, ni kama wale watu wa network marketing kila mtu anasema alikuwa Meneja wa Bank, mara sijui TRA, ila wakaacha kazi... Teh teh inahitaji ujasiri mkubwa sana.
No Debt shall remain unpaid
Mkuu Mahesabu, naheshimu sana mawazo yako...Enyi Wenzangu, ambao mnaonyeshwa TAMU SIDE ya hii kitu, nanyi mnaamini kila kilichopo mitandaoni.....
Niwaase kwa nia njema, hukatazwi ..... ila tumia akili zako zaidi kuliko za kushikiwa..... kumbuka hakuna mtu unayemjua , pindi inakula kwako utakuja humuhumu kulia......
TUSUBIRI KILIO KIKUU
Amejibu hilo swali angalau USD 200Ninaweza kuanza na kias gani kama mtaji mtaalamu wetu
Unazungumzia tuseme live broadcast kama zinavyorushwa na watu YouTube au FB. If that's it ni idea nzuri sana sana, we can think of it. Thanks!Kwa sababu ya ukuaji wa teknolojia huwezi kutafuta means ya ku broadcast darasa? Ili ambao hatutakuwepo darasani tuone nini kinaendelea? Tukiwa mbali?
Exactly.Unazungumzia tuseme live broadcast kama zinavyorushwa na watu YouTube au FB. If that's it ni idea nzuri sana sana, we can think of it. Thanks!
SawaaaNajua(kwa sababu fulani fulani) huwezi kukosa kwenye wale 300 wa free.....please unikumbuke kwa material ya huko hapo baadae!