cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,867
Kwa mbali inaonekana sasa dunia ni God forsaken place lakini rafiki tunaishi katika kipindi ambacho prophecy na maandishi mengine yanakitaja kama cha kuelekea kuhitimishwa kwa historia ya dunia hii Judgement time sasahivi tunashuhudia na kuthibitishwa kwa majanga makubwa ya kibinadamu na yale ya asili kuelekea kwenye ''grand finale" ya kuja kwa Yesu masihiSafi .. Sasa inakuwaje Asitokee Tu Mfano Kipindi cha Kuwatoa Waisrael Misri Aliweka Mlima Wa sinai moto na wingu zito.. haikujalisha kuna Waliokuwa Wanamuamini au Laaah
Atakuja ni hakika!