Foleni Dar Es Salaam Changamoto

tajirijasiri

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
2,864
3,851
Kipande Cha Daraja la Nyerere ukitokea Kigamboni Mpaka Ubungo usiku ni shida na tatizo kubwa kwenye msongamano wa magari. Na hakuna jitihada yoyote ya kidharura kuondoa tatizo.

Kipande Cha Mlimani City Usiku kuelekea Mwenge Mataa napo shughuli pevu. Hakuna Cha maana zaidi ya Traffic kushindwa kuongoza magari. Bora waziache taa za barabarani zifanye kazi.
 
Kipande Cha Daraja la Nyerere ukitokea Kigamboni Mpaka Ubungo usiku ni shida na tatizo kubwa kwenye msongamano wa magari. Na hakuna jitihada yoyote ya kidharura kuondoa tatizo.

Kipande Cha Mlimani City Usiku kuelekea Mwenge Mataa napo shughuli pevu. Hakuna Cha maana zaidi ya Traffic kushindwa kuongoza magari. Bora waziache taa za barabarani zifanye kazi.
Taratibu mambo yatakuwa mazuri tu!
 
Nchi ipo uchumi wa kati!tukiambiana ukweli kuwa barabara bado,wengi wetu tunapiga kelele za kisiasa,Dar tuna vipande vya barabara sio barabara na ili tukabiliane na tatizo hili la traffic jam ni muhimu tuongeze public transport ili kuondoa private cars ,malori yanayotoka bandarini yapangiwe muda maalum na muda huo traffic officer's wetu wa coordinate route nzima kutoka bandarini hadi kimara,tugeuze njia nyingi ziwe one ways sio kama sasa ni vurugu tu.
 
Back
Top Bottom