Flyover yazidiwa, foleni yake yashangaza watu

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
May 30, 2015
304
401
Leo kwa mara ya kwanza wakazi wa Dar Salaam hasa wameshangazwa na foleni ya magari katiki barabara ya Juu (Flyover).

"Tumekua tukiamini hii jia ya juu ndio suluhisho la foleni ajabu leo tunaona nayo ina foleni" alisikia mmachinga wa karibuna eneo hilo.

IMG_20210618_152033.jpg
 
Leo kwa mara ya kwanza wakazi wa Dar Salaam hasa wameshangazwa na foleni ya magari katiki barabara ya Juu (Flyover).

"Tumekua tukiamini hii jia ya juu ndio suluhisho la foleni ajabu leo tunaona nayo ina foleni" alisikia mmachinga wa karibuna eneo hilo.

View attachment 1822773
Wee ndio unaona leo?mbona ipo tangu siku ile imezinduliwa siku ile ile ilianza
 
Back
Top Bottom