Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nilishasema ipo siku tutaenda moshi na kurudi kwa alfuu sitini na hiyo inaelekea kuja wapenzi wamoshi pigen sala msiache ,..wakati precission walikwua wakiwakamua watanzania dar znz dar 120000 leo hii wameshusha bei ya aibu jiulize sababu sipati ati ndege ndege zimeshusha sana bei na zimekuwa nyingi...
Ndege ya 540 imeanza dar mwanza jamani na kwa wale wafanya biashara ni neema yenu ni sh 199,000 rt yaani kwenda na kuurudi,,kwenda pekee 99,000
huii jamani kwanini mlikuwa mnatutafuna hivi
Ndege ya 540 imeanza dar mwanza jamani na kwa wale wafanya biashara ni neema yenu ni sh 199,000 rt yaani kwenda na kuurudi,,kwenda pekee 99,000
huii jamani kwanini mlikuwa mnatutafuna hivi