Wakuu nisaidieni nina tatizo la flue isiyoisha, kila baada ya siku 3 nakua na flue yaani inanikera sana..kama mtu unaeza nisaidia nipate tiba wapi au nitumie dawa gani ntashukuru sana,..
Kwanza kabisa pole na matatizo yaliyokupata! Mafua ni katika maradhi mabaya kwakweli kwani sehemu
yenyewe ya pua ina mishikano na sehemu zote za uso, kwahivo husababisha maradhi zaidi ya mafua mfano
husababishwa kuumwa na kichwa mara kwa mara, masikio hata na meno pia. Mafua hutokana na sababu
nyingi tofauti nazo ni kama vumbi joto, na vitu vibaridi ambavyo hivi ndio huwa chanzo kwa mafua. Inshallah
nitajaribu kuandika dawa moja lakini inafanya kazi kwa mara moja na ni dawa nzuri kabisa
KITUNGUU SAUMU:
Kitunguu Saumu ni kinga ya maradhi mengi mno, na pia ni dawa ambayo ndani yake kuna vitu vinavyojulikana kwa "ALLICINE" NA "GARLICINE" ambavyo vina nguvu kubwa ya kupigana na wadudu.
Meza tembe (chembe) moja ya KitunguuSaumu kila baada ya chakula na pia unywe juice ya kitunguu Saumu iliyochanganywa na maji ya ndimu na pia unaweza kujifukiza mvuke wa Kitunguu Saumu.
Inshallah natumai dawa hii itakusaidia ila nakuomba kitu kimoja uwache kula vitu vibaridi sana na vitu vikali
sana. Hata hivo nitachangia kidogo juu ya madhara ya Thaum, kitu chochote ambacho utatumia zaidi au
utatumia bila mpango maalum basi lazima huleta madhara kwahivo kila kitu kitumiwe kwa kiwango fulani ili kujiepusha na madhara ya hicho kitu chenyewe.@Somochetumia kisha uje unipe Feedback tafadhali.
mkuu mzizi mkavu kakushauri vizuri mno yaani kama ushauri wake ukiungatia uapona but think oltenative kuna hii suplimentary ambayo ina mchanganyiko wa hivyo vitu Garlic Thyme Bidhaa hii ina Quercitin ambayo ni muhimu kwa matibabu ya
aleji ya mafua
Quercitin hupatikana pia katika vitunguu.
Vilevile ni kiondosha sumu na pia ina vitamin B na C.
ukila hiki ni sawa na mtu aliyekula vitunguu swaumu 5 kwa wakati mmoja pia itakusaidia kuondoa tatizo lako kwa haraka mno n pm kwa nitakushauri au nipigie 0683672508
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.