kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Fiston mayele huyu bwana ni mchezaji mkubwa saana nje ya Tanzania.
Kuna watu wanamuogopa saana
Na wengine kumsifia saana
Leo nimekuwa zangu fb kucheki cheki comment fulani kuhusu al hilal kilicho ni shangaza.
Nimekuta akaunti kibao za watu wa Sudan wana mpost fiston mayele
Wakiongelea ukali wake. Kwenye comment ndo kulinipa raha saana
Kuna watu walikuwa wanaomba eti Mwenyezi Mungu awaepushe na kiama cha fiston mayele wana mfatilia saana
Kila akisema kitu wana post kwenye page zao
Wewe ingia fb andikeni
Hivi
فيستون مايلي
Mtakutana na post zao
Kuna watu wanamuogopa saana
Na wengine kumsifia saana
Leo nimekuwa zangu fb kucheki cheki comment fulani kuhusu al hilal kilicho ni shangaza.
Nimekuta akaunti kibao za watu wa Sudan wana mpost fiston mayele
Wakiongelea ukali wake. Kwenye comment ndo kulinipa raha saana
Kuna watu walikuwa wanaomba eti Mwenyezi Mungu awaepushe na kiama cha fiston mayele wana mfatilia saana
Kila akisema kitu wana post kwenye page zao
Wewe ingia fb andikeni
Hivi
فيستون مايلي
Mtakutana na post zao