fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
Habari Wakuu?
Bado kuna utata uliojificha kuhusu nani aliruhusu kupitishwa/kusainiwa Mkataba mbovu wa Kampuni ya Kuzalisha umeme ya Richmond.
Kitendawili hiki tulitegemea kuwa kitateguliwa msimu huu wa kueleka Uchaguzi Mkuu 25-Oct-2015 hasa baada ya Lowassa kuihama CCM na kupewa ridhaa ya kugombea Urais kupitia Chadema/UKAWA.
Mpaka sasa haijafahamika ni nani alikuwa Mmiliki halali wa hii Kampuni kwa kutajwa jina bali imebakia kuwa mafumbo, mmoja akisema Mamlaka ya juu ndiyo yaliyoruhusu na mwingine akisema ni yule anayeongozana na Lissu kwenye Mikutano ya Kampeini huku wote wakikwepa kutaja majina.
Swali la kujiuliza, je,
1. Hawa watu wanajuana na wameamua kulindana?
2. Walishirikiana kwenye huu ufisadi?
Bado kuna utata uliojificha kuhusu nani aliruhusu kupitishwa/kusainiwa Mkataba mbovu wa Kampuni ya Kuzalisha umeme ya Richmond.
Kitendawili hiki tulitegemea kuwa kitateguliwa msimu huu wa kueleka Uchaguzi Mkuu 25-Oct-2015 hasa baada ya Lowassa kuihama CCM na kupewa ridhaa ya kugombea Urais kupitia Chadema/UKAWA.
Mpaka sasa haijafahamika ni nani alikuwa Mmiliki halali wa hii Kampuni kwa kutajwa jina bali imebakia kuwa mafumbo, mmoja akisema Mamlaka ya juu ndiyo yaliyoruhusu na mwingine akisema ni yule anayeongozana na Lissu kwenye Mikutano ya Kampeini huku wote wakikwepa kutaja majina.
Swali la kujiuliza, je,
1. Hawa watu wanajuana na wameamua kulindana?
2. Walishirikiana kwenye huu ufisadi?