Fisadi Ballali




Umeongelea mambo mengi nje ya hoja yangu ya msingi kusema kuwa JK aende kwa umakini mkubwa, ila naomba nipingane na wewe kuwa mpaka sasa dalili nyingi za kwamba hizi ni nyakati mpya bado hazijaonekana kwenye sanduku la kura.

Ni mpaka hilo litakapotoea ndipo wanasiasa watakuwa wanawaogopa wananchi na hawa mafisadi watakuwa nao tumbo joto kwani hawataweza tena kushinda Ubunge kwa kugawa khanga na pilau.2007 & 2008 yametokea mengi lakini tukijiuliza iwapo Lowassa, Chenge, Msabaha na Karamagi wataweza kurudi tena bungeni 2010; kweli tunaweza kusema haiwezekani? Si tutatukuwa tunajidanganya?

Ndugu yangu wewe unakuwa kama sio mtanzania. Uchaguzi wetu mara nyingi unakuwa ni janja yetu ya kuwazuga watu wa nje lakini ukweli ni kuwa kura mara nyingi(sio mara zote) hazireflect will of people. Unajua kabisa kuwa NEC, udiwani,Ubunge na hata Urais ujanja mwingi sana unafanywa. Sisi ni third world country ambako baadhi ya familia ndio zina haki ya kuwa watawala na nyingine ni wasaidizi na wasindikizaji.
Kwa msingi huo pamoja na kuwa ni wachache sana watakopenda kuona Maramba, Karamagi, Lowassa, Chenge etc etc wanaendelea na siasa lakini uwezekano huo ni mkubwa, naungana na wewe kuwa wanaweza kuendelea kuwepo 2010 kama sio kwa "kuchaguliwa" hata kwa njia nyingine, au kupewa nyadhifa za juu. This is how things work around here.
 


Umeongelea mambo mengi nje ya hoja yangu ya msingi kusema kuwa JK aende kwa umakini mkubwa, ila naomba nipingane na wewe kuwa mpaka sasa dalili nyingi za kwamba hizi ni nyakati mpya bado hazijaonekana kwenye sanduku la kura.

Ni mpaka hilo litakapotoea ndipo wanasiasa watakuwa wanawaogopa wananchi na hawa mafisadi watakuwa nao tumbo joto kwani hawataweza tena kushinda Ubunge kwa kugawa khanga na pilau.

2007 & 2008 yametokea mengi lakini tukijiuliza iwapo Lowassa, Chenge, Msabaha na Karamagi wataweza kurudi tena bungeni 2010; kweli tunaweza kusema haiwezekani? Si tutatukuwa tunajidanganya?

Wewe ndio unachanganya mambo na conceptual skills zako zinatia mashaka na ama huna.

Huwezi kuzungumzia kina chenge kurudi bungeni kabla hawajasafishwa na mahakama..Una mawazo ya kifisadi kwasababu unafikiria kuwahonga wananchi kabla hatujajuwa kuhusu haki.

Viongozi wanaweza kuondolewa kwa kutumia ballot box ama mahakama.

Na kwa taarifa yako naona wewe ni mwanafunzi mtoro na ulimiss darasa la lobbying nililolileta hapa jf...!

Sasa ni wakati wa kuwapiga chini wabunge wenye maslahi kwenye makampuni yaliyopewa mikataba isivyo halali...Na mikataba ya kinyonyaji.

Nyie bakieni na vyama vyenu na mafisadi wenu kwasababu mko kwenye link tayari... huko uingereza mnatia aibu kwani mko out of touch na hata michango yenu hapa jf iko wazi.

Kumsapoti mbunge mwenye maslahi na makampuni ya kinyonyaji ni UHAINI.


JMushi naona dhahiri kuwa wewe ni mgumu wa kuelewa. Unazungumzia haki inayotolewa na Mahakama, unasahau kuwa huko Mahakamani ni lazima kesi ifunguliwe na mshitakiwa ashindwe hiyo kesi. Mpaka leo umeona dalili zozote za kesi kufunguliwa dhidi Mramba, Karamagi, Lowassa, Chenge etc? Kwa taarifa yako Karamagi ndio kwanza yeye ameenda Mahakamani kuishitaki Serikali kuhusu mkataba wake wa contena terminal. Hapo ni dhahiri kuwa yale unayofikiria wewe, on the ground yanafanyika kinyume kabisa. Mfano mwingine; umesema "Sasa ni wakati wa kuwapiga chini wabunge wenye maslahi kwenye makampuni yaliyopewa mikataba isivyo halali...Na mikataba ya kinyonyaji" hao wabunge utawapiga chini wewe na nani maana Lowassa na Chenge walipokewa kwa vifijo na nderemo walipoenda majimboni mwao. Kwa kuongezea zaidi, mimi naifahamu Rombo vizuri, nikuambie kabisa labda Mramba asiamue kugombea lakini akigombea ule uchaguzi anashinda bila hata ya kufanya kampeni..!!

Umeendelea kutoka nje ya hoja kwa kukashifu michango ya wana JF wa Uingereza!!! Ila kwa kusisitiza hoja yangu ni kuwa juhudi zinazofanywa na wapinzania, wanaharakati, wana JF na wananchi mmoja mmoja bado hazijazaa matuka ya kuridhisha kwenye sanduku la kura. Ndio maana nikasema wote hao waliotuhumiwa kwa ufisadi n.k ikifika 2010 kuna uwezekano mkubwa sana wote wakarudi bungeni tena kwa mbwembwe.

Bongolander amefafanua vizuri kuhusu uchaguzi zetu, na hivyo ndivyo hali halisi ilivyo on the ground. Ni kuwa naive kusema kuwa 2010 wabunge wote wenye tuhuma za kufanya ufisadi watashindwa ubunge iwapo watagombea. Wapiga kura wengi sana vijijini wakisikia hela zimeibiwa BoT ni zaidi ya Milioni 150 USD hawajui uzito wa au thamani halisi ya kiasi hicho cha fedha. Tafakari...
 
Kuna ufisadi mwingi tu kwenye TAASISI/MASHIRIKA ya UMMA ambao kwa kiwango kikubwa unakuwa FACILITATED na WANASIASA wetu. usije ukashangaa kilicholipiwa hapa sio picha hizo ingawa hati za malipo zimeandikwa hivyo.
 
Ndugu yangu wewe unakuwa kama sio mtanzania. Uchaguzi wetu mara nyingi unakuwa ni janja yetu ya kuwazuga watu wa nje lakini ukweli ni kuwa kura mara nyingi(sio mara zote) hazireflect will of people. Unajua kabisa kuwa NEC, udiwani,Ubunge na hata Urais ujanja mwingi sana unafanywa. Sisi ni third world country ambako baadhi ya familia ndio zina haki ya kuwa watawala na nyingine ni wasaidizi na wasindikizaji.
Kwa msingi huo pamoja na kuwa ni wachache sana watakopenda kuona Maramba, Karamagi, Lowassa, Chenge etc etc wanaendelea na siasa lakini uwezekano huo ni mkubwa, naungana na wewe kuwa wanaweza kuendelea kuwepo 2010 kama sio kwa "kuchaguliwa" hata kwa njia nyingine, au kupewa nyadhifa za juu. This is how things work around here.

Mambo hapa bongo yanaweza kuwa yaliendeshwa hivyo siku za nyuma, lakini ninyi mnakosa moyo wakimapinduzi. Watu kama ninyi ni vigumu kuamini ingetokea siku moja kuwa na 50-50 chance ya Raisi wa Marekani awe mweusi. Just know that things are changing very rapidly now. And it is always a good thing to be hopeful. Some people are actually doing something about it, just watch if you cant.
 
...hii imenikumbusha juzi pale yule sijui mkuu wa habari ndugu mpenda aliposema wanabadili picha ya Raisi na kila ofisi wabadilishe kwa gharama ya 15-20,000 na tenda kapewa muhindi kwa mapicha ya nchi nzima na guess what? pesa za kununua kubadilisha maelfu na maelfu ya picha kwenye ofisi za serikali ni kodi zetu...kweli hawa wanatuona wendawazimu,halafu utakuta wamepewa karushwa kadogo tuu kwa mabilioni wanayotutia hasara na nilishangaa sana waandishi wa habari hawakumbana mbavu wakati anatangaza kubadilisha hiyo picha atuambie pesa zitatoka wapi na kiasi gani kitatumika kubadilisha picha nchi nzima...nasikia kutapika!
 
Huu wizi ulikuwa sio wa kawaida; ningekuwa JK ningeenda very slow katika kuubana huu mtandao wa maovu wa BoT. JK akienda papara anaweza kujikuta matatizoni; simply because hawa jamaa wamechukua hela nyingi sana; they can do almost anything katika nchi yetu masikini.

Kwa kifupi JK sasahivi anahangaika jinsi ya kuruka hiki kiunzi, maana mwenye pia ni mshika mkuu wa wizi wa BOT kupitia mwanae wa nje aitwai OMARY
 
Mambo hapa bongo yanaweza kuwa yaliendeshwa hivyo siku za nyuma, lakini ninyi mnakosa moyo wakimapinduzi. Watu kama ninyi ni vigumu kuamini ingetokea siku moja kuwa na 50-50 chance ya Raisi wa Marekani awe mweusi. Just know that things are changing very rapidly now. And it is always a good thing to be hopeful. Some people are actually doing something about it, just watch if you cant.

Mkuu you are very right things have changed and are still changing. Lakini on our changes have been so negative, to the extent that some of people like me would like to see Tanzania having a government which has discipline, respect and which serves the people. Mimi ni mmoja wa watu waliompigia kura JK hoping that change will bring maisha bora, lakini mpaka sasa naona mengi sana yamevurugika. Serikali ya JKN ilikuwa na weakness yake, lakini ilikuwa inaheshimika pamoja na kuwa na itikadi ambayo sasa tunaiona mbovu, at least alikuwa anajua tunaenda wapi na tunaenda vipi. Sure tulishindwa kufika.
Lakini can you just tell me, where are we headed now, do we have any respect as a country, do we have any respect as people. How can you be hopeful with this kind of mess we are in. Do you see any light at the end of the tunnel, watu wanafanya uhalifu wanatesa tu kwenye mashangingi, what hope do you get out of that.
Mtu anatubia mabilioni ya pesa halafu atajidai mbele yetu na kusema hivyo ni visenti. where is hope out of it?
Sijui ndugu yangu, tukubaliane kutokukubaliana kwenye hili. I do not see hope.
 
yeye mwenyewe JK alipigwa picha mpya juzi juzi hapa .......hatujui mpigaji picha tenda kaipata wapi wala gharama zake zilikuwa ngapi wala ulazima wa hizo picha ulikuwa upi.

tanzania ni kula kwenda mbele
 
Mkuu you are very right things have changed and are still changing. Lakini on our changes have been so negative, to the extent that some of people like me would like to see Tanzania having a government which has discipline, respect and which serves the people. Mimi ni mmoja wa watu waliompigia kura JK hoping that change will bring maisha bora, lakini mpaka sasa naona mengi sana yamevurugika. Serikali ya JKN ilikuwa na weakness yake, lakini ilikuwa inaheshimika pamoja na kuwa na itikadi ambayo sasa tunaiona mbovu, at least alikuwa anajua tunaenda wapi na tunaenda vipi. Sure tulishindwa kufika.
Lakini can you just tell me, where are we headed now, do we have any respect as a country, do we have any respect as people. How can you be hopeful with this kind of mess we are in. Do you see any light at the end of the tunnel, watu wanafanya uhalifu wanatesa tu kwenye mashangingi, what hope do you get out of that.
Mtu anatubia mabilioni ya pesa halafu atajidai mbele yetu na kusema hivyo ni visenti. where is hope out of it?
Sijui ndugu yangu, tukubaliane kutokukubaliana kwenye hili. I do not see hope.

Ninakuelewa vyema. The reason for failure is Lack of leadership. Nilisha-point out huko nyuma kuwa ni wazi walioko kwenye madaraka hawana uwezo wa kuongoza na kufanya maamuzi muhimu wakati muafaka. Chukulia EPA, Richmond, Rada, Mining contacts nknk

Just hoping and doing nothing is bad but suggesting hopelessness is even worse! Nimesema mambo yanabadilika kwa kuwa kipindi hiki kuna nafasi kubwa sana kuliko miaka mingine mingine ya nyuma kuwang'oa CCM kwa sababu nyingi baadhi ni Kufeli kwa CCM na serikali yake kuwatetea wananchi kiwazi wazi (watu wengi wanaamka sasa) na cha muhimu zaidi jinsi wananchi watakavyoweza kufikiwa kwa kutumia njia nyingi za kisasa.

Inaonesha wazi kuwa hawa viongozi wetu bado wanafikira mbovu kabisa za kutafuta nafasi za juu, ku-kampeni kwa nguvu zao zote wakati wa miezi ya uchaguzi halafu kusahau kila kitu walichoahidi kwa miaka mitano! Sasa ama zao ama zetu...
 
sh@#$%^*(_)+_+++)_*(&^$#@!!@!@#E%$^&*)())i. here they go again. blah blah blah nawachukia sana mafisadi jamani nisaidieni!!!!
 
Back
Top Bottom