First Class Economist! Huku ndio kuwekeza and what is short/long term goal?

Fitinamwiko

JF-Expert Member
Aug 13, 2012
4,803
1,416
Zaidi ya US $30,000 za CCM zimetumika kuwapeleka Mh Kinana, Msanii Diamond na wenzake watatu na ghalama za ufunguzi wa Tawi la CCM Washington DC. Mimi nikiwa kama Mwanauchumi (not 1st Class) sioni uwekezaji huu kama una tija kwa CCM au Nchi yetu Tanzania. Ukizingatia Katiba ya Tanzania hairuhusu Dual Citizenship na absentee ballot (wanaoishi nje ya Tanzania), hivyo mamilioni haya ni mengi mno kwa biashara hii kichaa (Monkey business).

Mh Mchumi Mkuu wa CCM, ni Falsafa gani ya uchumi umeitumia katika kughalamia TAWI la CCM ambalo wengi wa wanachama wake hawawezi kushiriki uchaguzi wowote Mkuu wa Rais either USA or TZ?

Mh Mwigulu! Wanauchumi wanasema "spend money, to make more money" sasa tufahamishe hili Tawi lenu pale DC, litazalisha ajira ngapi kwa sheria za Marekani, na faida gani mnategemea kuzipata?

Mh Mbunge! Kama hizi pesa zingepelekwa jimbo la Ubungo na kujenga jengo la kawaida lenye cubic kama 10, mngenunua vifaa vya kipima Blood pressure, blood sugar na mizani ya kupimia watoto, ambazo ghalama zake ni chini ya $30,000 na kuliita CCM Medical Center. Hili jengo lingetoa huduma kwa wananchi, ajira kwa wakereketwa na kama watafanya kazi kwa ufanisi matunda yake yangeonekana 2015. Je Mr. 1st class haukifikiria kitega Uchumi hiki?
 
First class ya kiwembe nchemba kwenye vyeti=gentle kwenye real life
 
Zaidi ya US $30,000 za CCM zimetumika kuwapeleka Mh Kinana, Msanii Diamond na wenzake watatu na ghalama za ufunguzi wa Tawi la CCM Washington DC. Mimi nikiwa kama Mwanauchumi (not 1st Class) sioni uwekezaji huu kama una tija kwa CCM au Nchi yetu Tanzania. Ukizingatia Katiba ya Tanzania hairuhusu Dual Citizenship na absentee ballot (wanaoishi nje ya Tanzania), hivyo mamilioni haya ni mengi mno kwa biashara hii kichaa (Monkey business).

Mh Mchumi Mkuu wa CCM, ni Falsafa gani ya uchumi umeitumia katika kughalamia TAWI la CCM ambalo wengi wa wanachama wake hawawezi kushiriki uchaguzi wowote Mkuu wa Rais either USA or TZ?

Mh Mwigulu! Wanauchumi wanasema "spend money, to make more money" sasa tufahamishe hili Tawi lenu pale DC, litazalisha ajira ngapi kwa sheria za Marekani, na faida gani mnategemea kuzipata?

Mh Mbunge! Kama hizi pesa zingepelekwa jimbo la Ubungo na kujenga jengo la kawaida lenye cubic kama 10, mngenunua vifaa vya kipima Blood pressure, blood sugar na mizani ya kupimia watoto, ambazo ghalama zake ni chini ya $30,000 na kuliita CCM Medical Center. Hili jengo lingetoa huduma kwa wananchi, ajira kwa wakereketwa na kama watafanya kazi kwa ufanisi matunda yake yangeonekana 2015. Je Mr. 1st class haukifikiria kitega Uchumi hiki?

Wewe ni mwana CCM?
 
It doesn't make no difference! Pointi ni za maaana au laa, don't worry about me?

It does make a big difference.

Unless you provide ample justification, kama si mwanachama wa CCM, kushikia bango matumizi ya hela za chama cha watu ni kama mtoto wa nyumba moja kushikia bango matumizi ya nyumba nyingine.

Utaonekana at the very least huna focus.

Kama wewe si mwana CCM, CCM ikitumia hela zake vibaya au vizuri, unachojali nini?
 
It does make a big difference.

Unless you provide ample justification, kama si mwanachama wa CCM, kushikia bango matumizi ya hela za chama cha watu ni kama mtoto wa nyumba moja kushikia bango matumizi ya nyumba nyingine.

Utaonekana at the very least huna focus.

Kama wewe si mwana CCM, CCM ikitumia hela zake vibaya au vizuri, unachojali nini?
Mimi nina kadi ya CCM.
 
Mimi nina kadi ya CCM.

Sema hivyo.

Usiseme "it does not make a difference".

Sasa ukija hapa kwa minajili ya uanachama wako wa CCM unawasema wakubwa wa chama chako, kwa kutumia fedha za chama chako- ambazo bila shaka zinajumuisha michango yako ya uanachama kama wewe ni mwanachama hai- uta make sense.

Kwa hiyo pingamizi lako la "it does not make a difference" halikuwa sahihi, kwa sababu ili uweze kukisema CCM kwa matumizi mabaya ya fedha inabidi uwe mwana CCM.

Ndiyo maana kabla ya kwenda kwenye mazungumzo zaidi nikataka kujua kama wewe ni mwanachama wa CCM au la.

Sasa First Class Economist akikwambia, kwa msingi wako mwenyewe wa "spend money to make money" wametumia $30,000 kwa safari lakini wanatarajia kupata michango ya $100,000 kutoka kwa wanachama wapya, na kuhuisha chama nje, na kupata wasomi wenye mikakati ya kimataifa, utamwambiaje?
 
It does make a big difference.

Unless you provide ample justification, kama si mwanachama wa CCM, kushikia bango matumizi ya hela za chama cha watu ni kama mtoto wa nyumba moja kushikia bango matumizi ya nyumba nyingine.

Utaonekana at the very least huna focus.

Kama wewe si mwana CCM, CCM ikitumia hela zake vibaya au vizuri, unachojali nini?

Aliyekwambia ccm wana hela ni nani? Hiki ni chama cha wezi, hizi hela wanachota BOT; ni hela za watanzania!! Anyway Mwigulu sio first class economist bali alikuwa economist grade 1!!!!!
 
Aliyekwambia ccm wana hela ni nani? Hiki ni chama cha wezi, hizi hela wanachota BOT; ni hela za watanzania!! Anyway Mwigulu sio first class economist bali alikuwa economist grade 1!!!!!

Swala si whether CCM wana hela au hawana hela, that is a totally different angle that needs a separate discussion.

Swala ni kwamba aliyeleta mada kaileta kwa minajili ya kwamba hela za CCM zimetumiwa vibaya, bila kutueleza kama yeye ni mwanachama au la.

Now, angesema kwamba hela zenyewe zimeibiwa BOT zetu sote, angejenga legitimacy ya Mtanzania yeyote kuulizia. Na kitu cha kuuliziwa hapa kingekuwa hiyo kesi ya kuibiwa hela BOT, sio matumizi yake.

Huwezi kuwa na mwizi wako, halafu umekaa unamuangalia tu, siku akizitapanya fedha alizokuibia ndo unalia "unajua wewe mwizi ni mwizi mbaya sana, umekwiba fedha zangu nikakaa kimya nikifikiri utazitumia vizuri, leo naona unazitapanya naumia sana".

Utaonekana mwehu.
 
Huyo ni mchumi uchwara, elimu yake bado haija msaidia.
 
Sasa First Class Economist akikwambia, kwa msingi wako mwenyewe wa "spend money to make money" wametumia $30,000 kwa safari lakini wanatarajia kupata michango ya $100,000 kutoka kwa wanachama wapya, na kuhuisha chama nje, na kupata wasomi wenye mikakati ya kimataifa, utamwambiaje?
Kwa sheria za marekani, wakisema wamepata $100,000 kutoka kwa wanachama nitawauliza risiti, uhalali wao kwa sheria za marekani kukusanya michango, na Tax kiasi gani wamelipa? Then nitingia IRS website kuuliza these money transaction kabla sijakubali.
Kuhusu wasomi wenye mikakati ya kimataifa mhhh? Wasomi gani hao na huo mkakati wa kuwatafuta umeanza lini. Nilimsikia Mwenyekiti Akiwa Waziri wa Nje)kwa masikio yangu akisema pale nyumbani kwa Balozi "Nyinyi wasomi bakini hapa mtufundishie watoto zetu" Sasa $30,000 zinaweza kubadili fikra za wasomi?
 
Kwa sheria za marekani, wakisema wamepata $100,000 kutoka kwa wanachama nitawauliza risiti, uhalali wao kwa sheria za marekani kukusanya michango, na Tax kiasi gani wamelipa? Then nitingia IRS website kuuliza these money transaction kabla sijakubali.
Kuhusu wasomi wenye mikakati ya kimataifa mhhh? Wasomi gani hao na huo mkakati wa kuwatafuta umeanza lini. Nilimsikia Mwenyekiti Akiwa Waziri wa Nje)kwa masikio yangu akisema pale nyumbani kwa Balozi "Nyinyi wasomi bakini hapa mtufundishie watoto zetu" Sasa $30,000 zinaweza kubadili fikra za wasomi?

Inaonyesha hata hujui tofauti ya "wamepata" na "wanatarajia kupata".

Na huelewi kwamba wasomi kufanya mikakati ya kimataifa si lazima warudi Tanzania.

Don't get me wrong, I think this entire "matawi ya diaspora" thing is a big charade. But I also respect Tanzanian's constitutional freedom of association

But when you come, come correct, or don't come at all.

Sasa hata kama wameshapata hizo hela, kakuonyesha risiti zote na kila kitu chelea pina, ndo utafanya nini sasa?

Investigate first, then if you have something solid bring it here. Kwa wanaoijua USD msafara wa watu kadhaa wa chama, kwa siku kadhaa US, $30,000 si hela, nashangaa hawakupiga zaidi!

Why, mtu mmoja tu kuja bongo for three weeks anaweza kutumia $15,000 to $20,000, tena bila any purchase of asset, kununua vizawadi vidogovidogo kwa familia na kutembea bongo tu. Hiyo ni kuja bongo, mtu mmoja. I should know about that,I just did that.

You risk crying wolf in a manner that will make Mwigulu Nchemba look intelligent for atoms sake.

And ruin it for us when we have something concrete to blast him about.

Come again, come correct, or don't come at all.
 
Inaonyesha hata hujui tofauti ya "wamepata" na "wanatarajia kupata".

Na huelewi kwamba wasomi kufanya mikakati ya kimataifa si lazima warudi Tanzania.

Don't get me wrong, I think this entire "matawi ya diaspora" thing is a big charade. But I also respect Tanzanian's constitutional freedom of association

But when you come, come correct, or don't come at all.

Sasa hata kama wameshapata hizo hela, kakuonyesha risiti zote na kila kitu chelea pina, ndo utafanya nini sasa?

Investigate first, then if you have something solid bring it here. Kwa wanaoijua USD msafara wa watu kadhaa wa chama, kwa siku kadhaa $30,000 si hela, nashangaa hawakupiga zaidi!

Why, mtu mmoja tu kuja bongo for three weeks anaweza kutumia $15,000 to $20,000, tena bila any purchase of asset, kununua vizawadi vidogovidogo kwa familia na kutembea bongo tu. Hiyo ni kuja bongo, mtu mmoja. I should know about that,I just did that.

You risk crying wolf in a manner that will make Mwigulu Nchemba look intelligent for atoms sake.

And ruin it for us when we have something concrete to blast him about.

Come again, come correct, or don't come at all.
I do respect your opinions Mkuu. Thanx and you have a good nite
 
I do respect your opinions Mkuu. Thanx and you have a good nite

These are not mere opinions and calling them so will betray a patronizing trait in your entire outlook.

These are fact based bouts of mental jujitsu that you could not counter, and if you do respect them, it should be because they carry a heavier line of reason, not because they are "my opinions".

Katafute habari iliyokamilika halafu urudi hapa, ama sivyo sepa kiulaini.

Hapa ni JF, I would hate to see a half baked conspiracy theory that would make a nincompoop like Mwigulu Nchemba look like the innocent intelligent victim he isn't.

Jina lako hapa JF ni "Fitinamwiko", please live up to it's lofty ideal.
 
Why, mtu mmoja tu kuja bongo for three weeks anaweza kutumia $15,000 to $20,000, tena bila any purchase of asset, kununua vizawadi vidogovidogo kwa familia na kutembea bongo tu. Hiyo ni kuja bongo, mtu mmoja. I should know about that,I just did that.

Daaah...mshikaji una mkwanja kumbe wewe eeeh...

15K - 20K kuziunguza kwenda Zenji na kwingineko si mchezo ujue...

Wengine hapa tukienda bongo huwa tunaenda na vidola 800 - 1200 vya matumizi kwa wiki tatu.

Sasa hapo sijui ile Evoque nayo ulishavuta...manake ulisema wewe mambo ya car note hutaki which means kama ulivuta basi ni ulilipa cash money.

You da man dude.
 
Daaah...mshikaji una mkwanja kumbe wewe eeeh...

15K - 20K kuziunguza kwenda Zenji na kwingineko si mchezo ujue...

Wengine hapa tukienda bongo huwa tunaenda na vidola 800 - 1200 vya matumizi kwa wiki tatu.

Sasa hapo sijui ile Evoque nayo ulishavuta...manake ulisema wewe mambo ya car note hutaki which means kama ulivuta basi ni ulilipa cash money.

You da man dude.

Ponda mali, hasara maisha, you only live once.Dude anazishadadia $30,000 mpaka anaweza kumfanya Romney atoe tax returns za maika 10. I merely wanted to put those figures in perspective.

A million dollar ain't what it used to be, plus I got nephews to look after.

On a serious tip, international trip ya watu kadhaa, kama kweli chama kina mission ya nguvu $30,000 si hela nyingi.

My beef ni kwamba I doubt kuna chochote cha maana kinafanyika.
 
Back
Top Bottom