Fire waambulia matusi mbz beach

IsangulaKG

JF-Expert Member
Oct 14, 2010
706
386
Nipo hapa maeneo ya Mbezi Beach jirani na Baraza la Mitihani, kuna nyumba ya bibi mmoja imeungua, wananchi kwa bidii zao kwa kutumia vifaa kama ndoo, mabeseni na vyovyote vile vilivoonekana vinafaa hadi wameweza kuzima moto japo mali nyingi zimeteketea. Fire department imefika baada kama ya saa nzima......wameambulia matusi toka kwa wananchi, almanusura wapondwe mawe.

Hii inadhihirisha kuwa watunga sera na mifumo ya kudhibiti majanga hawajaweza kuweka mipango sahihi kukabiliana na majanga ya aina hii...
 
Nipo hapa Mbz Beach jirani na Baraza la Mitihani, kuna nyumba ya bibi mmoja imeungua, wananchi kwa bidii zao kwa kutumia ndoo sufuria sahani hadi vijikonwameweza kuzima moto japo mali nyingi zimeteketea. Fire department imefika baada kama ya saa nzima......wameambulia matusi toka kwa wananchi, almanusura wapondwe mawe.
Hii inadhihirisha kuwa watunga sera na mifumo ya kudhibiti majanga hawajaweza kuweka mipango sahihi kukabiliana na majanga ya aina hii...
Mkuu hao fire wamepita njia ipi, mbona mimi sijawaona na nilikuwa sehemu hizo?
Ile njia ya kupanda huk nasikia inatunzwa na jamaa mmoja, una mfahamu?
 
Ila in real sense hata wakichelewa ni sawa cuz dar folen na hakunaga emergency roads sa wao wapae?
 
Watanzania
Acheni uvivu wa kufikiri ile fire station was designed for 40,000 inhabitants Leo hii Dar has expanded 100 times and you fools think of the same station. The fire tender can't serve half of the CBD and even the fire Hydrants are dry. Kuna haja ya Kawambwa kuanzisha Somo la Fire fighting kwenye mitaala ya Shule. Mji unakua with Skyscraper but nobody is thinking of fire fighting. Kutoka pale fire has Mbezi is almost 20 Km na barabara zimewekwa matuta ya viazi in the name of speed humps. And there is no water that means the fire truck has to carry water all the way. It's only by miracle if they arrive and attend or extinguish any fire so it's bazaar???

Itafika mahali those three to four trucks won't be able to move apart from fetching water for their bosses. Nimeishiwa maneno I don't what I can advise you. Actually all Tanzanian towns might all burn out as no fire fighting is functional just on scratching your heads.
 
Umenena vema mkuu lakini ninachojua hasa kwa wenzetu wana mini fire stations nyingi sana ktk almost kila sehemu. Haya mafunzo ya basic fire fighting ni mazuri but hayatakuwa na tija iwapo vifaa na nyenzo muhimu kv. Maji, mchanga, mitungi ya CO2 haipo.



Watanzania
Acheni uvivu wa kufikiri ile fire station was designed for 40,000 inhabitants Leo hii Dar has expanded 100 times and you fools think of the same station. The fire tender can't serve half of the CBD and even the fire Hydrants are dry. Kuna haja ya Kawambwa kuanzisha Somo la Fire fighting kwenye mitaala ya Shule. Mji unakua with Skyscraper but nobody is thinking of fire fighting. Kutoka pale fire has Mbezi is almost 20 Km na barabara zimewekwa matuta ya viazi in the name of speed humps. And there is no water that means the fire truck has to carry water all the way. It's only by miracle if they arrive and attend or extinguish any fire so it's bazaar???

Itafika mahali those three to four trucks won't be able to move apart from fetching water for their bosses. Nimeishiwa maneno I don't what I can advise you. Actually all Tanzanian towns might all burn out as no fire fighting is functional just on scratching your heads.
 
Watanzania hatuna utamaduni wa kujihami na majanga ya moto. Nyumba nyungi za kuishi hazina fire extinguisers ingawa zimejengwa kwa gharama kubwa moto ukianza utatishia usalama wa mali na uhai wa wahusika. Kutegemea kikosi cha zimamoto pekee ni kujidanganya kwa kuwa kuna factirs nyingi zinapunguza ufanisi wa kikosi hiki. Kuzuia ni bora kuliko kuponya.
 
Watanzania
Acheni uvivu wa kufikiri ile fire station was designed for 40,000 inhabitants Leo hii Dar has expanded 100 times and you fools think of the same station. The fire tender can't serve half of the CBD and even the fire Hydrants are dry. Kuna haja ya Kawambwa kuanzisha Somo la Fire fighting kwenye mitaala ya Shule. Mji unakua with Skyscraper but nobody is thinking of fire fighting. Kutoka pale fire has Mbezi is almost 20 Km na barabara zimewekwa matuta ya viazi in the name of speed humps. And there is no water that means the fire truck has to carry water all the way. It's only by miracle if they arrive and attend or extinguish any fire so it's bazaar???

Itafika mahali those three to four trucks won't be able to move apart from fetching water for their bosses. Nimeishiwa maneno I don't what I can advise you. Actually all Tanzanian towns might all burn out as no fire fighting is functional just on scratching your heads.

Who are these wavivu wa kufikiri and fools are you refering to? Those who saw the city expand and didn't upgrade the fire and rescue team, or those who called for assistance from the zimamoto kikosi?
 
Back
Top Bottom