IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Nipo hapa maeneo ya Mbezi Beach jirani na Baraza la Mitihani, kuna nyumba ya bibi mmoja imeungua, wananchi kwa bidii zao kwa kutumia vifaa kama ndoo, mabeseni na vyovyote vile vilivoonekana vinafaa hadi wameweza kuzima moto japo mali nyingi zimeteketea. Fire department imefika baada kama ya saa nzima......wameambulia matusi toka kwa wananchi, almanusura wapondwe mawe.
Hii inadhihirisha kuwa watunga sera na mifumo ya kudhibiti majanga hawajaweza kuweka mipango sahihi kukabiliana na majanga ya aina hii...
Hii inadhihirisha kuwa watunga sera na mifumo ya kudhibiti majanga hawajaweza kuweka mipango sahihi kukabiliana na majanga ya aina hii...