Elections 2010 Finally: Tanzania (Tanganyika) hatuna Rais wala Rais mtarajiwa

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,893
11,290
Yes:

Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye personal and tabloids, mara kikwete hivi, Lipumba mdini, slaa kapora etc!!! these types of campaigns could be relevant in countries with stable and clean systems, not our fragile personal-based country
Kila nikiamka na kusoma habari za kampeni naishia kujiuliza, hivi hizi ni kampeni za urais na ubunge na kuongoza wananchi au ni kampeni za kutafuta mabibi, pesa na mipasho??

We have lost it... big time; we have fallen into non essential stuff, we hvae fallen short of (even) Mwl. Nyerere who never had a clear succession strategy, that his motos were being demolished right before his very own eyes...

Zanzibaris have seen it, they have made a milestone, to delineate from Tanganyika political rubbish

Now, what is wrong with us?? jibu ni simpo, hatuna long term strategy ya chochote
 
Yes:

Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye personal and tabloids, mara kikwete hivi, Lipumba mdini, slaa kapora etc!!! these types of campaigns could be relevant in countries with stable and clean systems, not our fragile personal-based country
Kila nikiamka na kusoma habari za kampeni naishia kujiuliza, hivi hizi ni kampeni za urais na ubunge na kuongoza wananchi au ni kampeni za kutafuta mabibi, pesa na mipasho??

We have lost it... big time; we have fallen into non essential stuff, we hvae fallen short of (even) Mwl. Nyerere who never had a clear succession strategy, that his motos were being demolished right before his very own eyes...

Zanzibaris have seen it, they have made a milestone, to delineate from Tanganyika political rubbish

Now, what is wrong with us?? jibu ni simpo, hatuna long term strategy ya chochote
na hapa ndipo mantiki inapopotea. Badala ya kuwa na socio economic political focus, tunapata mipashonic umbeanic politics zisizo na tija. Hapa i call upon viongoz wetu kurudi kwene hoja za msingi
 
Yes:

Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye personal and tabloids, mara kikwete hivi, Lipumba mdini, slaa kapora etc!!! these types of campaigns could be relevant in countries with stable and clean systems, not our fragile personal-based country
Kila nikiamka na kusoma habari za kampeni naishia kujiuliza, hivi hizi ni kampeni za urais na ubunge na kuongoza wananchi au ni kampeni za kutafuta mabibi, pesa na mipasho??

We have lost it... big time; we have fallen into non essential stuff, we hvae fallen short of (even) Mwl. Nyerere who never had a clear succession strategy, that his motos were being demolished right before his very own eyes...

Zanzibaris have seen it, they have made a milestone, to delineate from Tanganyika political rubbish

Now, what is wrong with us?? jibu ni simpo, hatuna long term strategy ya chochote

Kwani Presidential Material kwa Zanzibar ni ipi? Mbona na wao ni maskini tu kama sisi?
 
Kwani Presidential Material kwa Zanzibar ni ipi? Mbona na wao ni maskini tu kama sisi?
at least nimeona kama [personal perspective] vile wameweza kuweka utashi na siasa vizuri... huku kwetu vitu shaghalabaghala... ni personal menaces, siasa uchumi, nk.

Kwa yanayoendelea kwa sasa [mmoja anatuhumiwa uzinzi, mwingine alioa kwa ajili ya public, mwingine kapora], itakua ngumu sana kufundisha watoto wetu maadili ya kiafrika kwa staili hi

personal integrity ni very key kwa leader yeyote yule hata kama ni wa nyumba kumi
 
na hapa ndipo mantiki inapopotea. Badala ya kuwa na socio economic political focus, tunapata mipashonic umbeanic politics zisizo na tija. Hapa i call upon viongoz wetu kurudi kwene hoja za msingi
siku zote huwa tunapotea kwa sababu hatuna dira au mwelekeo
 
Mkuu acid, sera zote zinazosemwa kwenye kampeni huzioni?

Au basi tu unataka kulinganisha Kikwete na Slaa (no equivalence at all)?
 
Yes:

Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye personal and tabloids, mara kikwete hivi, Lipumba mdini, slaa kapora etc!!! these types of campaigns could be relevant in countries with stable and clean systems, not our fragile personal-based country
Kila nikiamka na kusoma habari za kampeni naishia kujiuliza, hivi hizi ni kampeni za urais na ubunge na kuongoza wananchi au ni kampeni za kutafuta mabibi, pesa na mipasho??

We have lost it... big time; we have fallen into non essential stuff, we hvae fallen short of (even) Mwl. Nyerere who never had a clear succession strategy, that his motos were being demolished right before his very own eyes...

Zanzibaris have seen it, they have made a milestone, to delineate from Tanganyika political rubbish

Now, what is wrong with us?? jibu ni simpo, hatuna long term strategy ya chochote


Mkuu hili linafanyika makusudi kudivert attentions za watanzania badala ya kujadili issue za Kitaifa tujadili hayo. Hili linampa nafasi sana Kikwete aendelee kufanya kampeni chafu na ahadi zisizokuwa na tija.

Ni aibu kubwa sana kwa raisi kuanguka hadharani, mijadala ya namna hii huwa inakwepeshwa na hadithi ya nani kalala na nani! Hivi uliisha jiuliza Dr Mfisi amesomea wapi? Madaktari wa raisi wanajulikana tukianzia enzi za Nyerere Dr Honoli, Mwasha, Mwakyusa, Alivyoingia Mwinyi akina Dr Mtulia na wenzake Alivyoingia Mkapa aliwatumia kidogo wa Mwinyi baadaye akaweka shemejie Dr Kimaro, alivyoingia Mkwere alikuja na hawa Dr Mfisi ambaye nimeshindwa kujua kama ni kweli Dr kwa taaluma! Anashindwa kumshauri Kikwete aachane na kazi kubwa ya urais sababu za medical grounds ...jamaa is mentally incapacitated na hicho kifafa alicho nacho.

Sasa inabadilishwa eti ni swaumu....waislam wanajua faida za swaumu kiimani hata kiafya. Maana simply kufunga ni kubadili physiology kidogo ya mwili bada ya kula mchana wafanya hayo usiku.

Badala ya kujadili suala la afya ya raisi na matatizo ya EPA, na ufisadi kila siku Kikwete wanatuwekea ngonjera za Rahma Al kharoos, na mambo mengine ya kwenye chupiz. Hayo hatuyataki na hayana faida kwa watanzania.

Mch Masa K
 
Mkuu acid, sera zote zinazosemwa kwenye kampeni huzioni?

Au basi tu unataka kulinganisha Kikwete na Slaa (no equivalence at all)?
sina maana hiyo....

we have two strong contestants so far, huyo wa tatu hajakaa vizuri sana

Tatizo nimesema president, sijasema chama au sera; presidency is beyond policies and law enforcement, i was more focused on integrity and utekelezaje: hata pia tukija kwenye sera, wote wanaongea lakini "the hows" ziko very minimum... chunguza utaona

constructive criticism ni sawa but should be a norm kila sehemu, na pia kudanganya umma ni mbaya zaidi....

simuoni JK kama rais wangu na napata wasiwasi mkubwa kumuona slaa kama rais wangu

Nadhani ni wakati muafaka tuanze kuandaa rais wa 2015, mwenye utashi, sifa, vision na utaalam uliotukuka
 
sina maana hiyo....

we have two strong contestants so far, huyo wa tatu hajakaa vizuri sana

Tatizo nimesema president, sijasema chama au sera; presidency is beyond policies and law enforcement, i was more focused on integrity and utekelezaje: hata pia tukija kwenye sera, wote wanaongea lakini "the hows" ziko very minimum... chunguza utaona

constructive criticism ni sawa but should be a norm kila sehemu, na pia kudanganya umma ni mbaya zaidi....

simuoni JK kama rais wangu na napata wasiwasi mkubwa kumuona slaa kama rais wangu

Nadhani ni wakati muafaka tuanze kuandaa rais wa 2015
, mwenye utashi, sifa, vision na utaalam uliotukuka

Kwa hiyo, meanwhile nchi ikae bila uongozi until 2005? Narudia tena Acid, huwezi kumlinganisha Kikwete na Slaa kwa lolote lile
 
Mkuu acid, sera zote zinazosemwa kwenye kampeni huzioni?

Au basi tu unataka kulinganisha Kikwete na Slaa (no equivalence at all)?

Kabisa hakuna equivalence hapo. Kikwete alianguka live Jangwani wakati Dr Slaa hakuanguka.
 
Kwa hiyo, meanwhile nchi ikae bila uongozi until 2005? Narudia tena Acid, huwezi kumlinganisha Kikwete na Slaa kwa lolote lile
I will never that, kulinganisha kikwete na slaa ni sawa na kulinganisha zuma na askofu tutu.. My point ni kwamba wote wana issues zao

Presidency sio surprise package
 
Kwa hiyo, meanwhile nchi ikae bila uongozi until 2005? Narudia tena Acid, huwezi kumlinganisha Kikwete na Slaa kwa lolote lile
Nchi ikae na bora kiongozi wakati tunatafuta kiongozi bora.... My point is that, tungekua maandalizi ya maana kwa mipango yetu, basi vetting zingekua namaana sio kama tufanyavyo sasa tunapoteua watu kama wagombea wa nafasi za michezo
 
Kabisa hakuna equivalence hapo. Kikwete alianguka live Jangwani wakati Dr Slaa hakuanguka.

Mkuu nimeenda zaidi ya kuanguka... Umesahau bush aliondolewa vinyama huko nyumani? Hapa nazungumzia quality na utasha, ni lazma vyote vitoshe... In short nazungumzia proper vetting
 
Mkuu hili linafanyika makusudi kudivert attentions za watanzania badala ya kujadili issue za Kitaifa tujadili hayo. Hili linampa nafasi sana Kikwete aendelee kufanya kampeni chafu na ahadi zisizokuwa na tija.

Ni aibu kubwa sana kwa raisi kuanguka hadharani, mijadala ya namna hii huwa inakwepeshwa na hadithi ya nani kalala na nani! Hivi uliisha jiuliza Dr Mfisi amesomea wapi? Madaktari wa raisi wanajulikana tukianzia enzi za Nyerere Dr Honoli, Mwasha, Mwakyusa, Alivyoingia Mwinyi akina Dr Mtulia na wenzake Alivyoingia Mkapa aliwatumia kidogo wa Mwinyi baadaye akaweka shemejie Dr Kimaro, alivyoingia Mkwere alikuja na hawa Dr Mfisi ambaye nimeshindwa kujua kama ni kweli Dr kwa taaluma! Anashindwa kumshauri Kikwete aachane na kazi kubwa ya urais sababu za medical grounds ...jamaa is mentally incapacitated na hicho kifafa alicho nacho.

Sasa inabadilishwa eti ni swaumu....waislam wanajua faida za swaumu kiimani hata kiafya. Maana simply kufunga ni kubadili physiology kidogo ya mwili bada ya kula mchana wafanya hayo usiku.

Badala ya kujadili suala la afya ya raisi na matatizo ya EPA, na ufisadi kila siku Kikwete wanatuwekea ngonjera za Rahma Al kharoos, na mambo mengine ya kwenye chupiz. Hayo hatuyataki na hayana faida kwa watanzania.

Mch Masa K
Masa mchungaji

Mfisi ntamlaumu tu kama bado anang'ang'ani kubaki kama dr wa rais wakati hasikilizwi, its unethical na tunajua kwamba daktari hulazimishwi na mgonjwa bali wewe ndio driver

Lawama nyingi naelekeza kwenye ve(n)tting system yetu, basi!!!!
 
Kwa hiyo, meanwhile nchi ikae bila uongozi until 2005? Narudia tena Acid, huwezi kumlinganisha Kikwete na Slaa kwa lolote lile
Wanalingana kwa "umalaya" kama yanayosemwa juu ya Dr Slaa na vimada wake ni kweli. Maadili ya UONGOZI yanaanza na maisha binafsi ya KIONGOZI mwenyewe. Inaelekea Dr Slaa useminari na hatimaye upadre kwa miaka kadhaa ulimnyima fursa ya kuhangaika na akina mama?
 
ceteris peribus {other things kept constant} vyombo vya habari ndio vinaleta haya yote,,jaribu kuangalia slaa akimwaga sera hawatuoneshi wataonesha hakuna kulala mpaka kieleweke,helkopta yashindwa kuendelea na kampeni,slaa atumia kipanya,kwa mara ya kwanza huenda nchi ikaongozwa na darasa la saba,padre slaa ni kiboko,slaa apora mke,slaa awautanisha rose kamili na josephine jukwaa moja,na pale anapochapia kuzungumza ndipo panaoneshwa kwenye TV. watanzania hatupendi ukweli makala hizi niliandika nikiwa chuoni lakini zilichanwa siku hiyo hiyo
 

Attachments

  • KIKWETE NA URAISI.doc
    43 KB · Views: 96
  • reflection.doc
    27.5 KB · Views: 71
Back
Top Bottom