TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
Yes:
Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye personal and tabloids, mara kikwete hivi, Lipumba mdini, slaa kapora etc!!! these types of campaigns could be relevant in countries with stable and clean systems, not our fragile personal-based country
Kila nikiamka na kusoma habari za kampeni naishia kujiuliza, hivi hizi ni kampeni za urais na ubunge na kuongoza wananchi au ni kampeni za kutafuta mabibi, pesa na mipasho??
We have lost it... big time; we have fallen into non essential stuff, we hvae fallen short of (even) Mwl. Nyerere who never had a clear succession strategy, that his motos were being demolished right before his very own eyes...
Zanzibaris have seen it, they have made a milestone, to delineate from Tanganyika political rubbish
Now, what is wrong with us?? jibu ni simpo, hatuna long term strategy ya chochote
Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye personal and tabloids, mara kikwete hivi, Lipumba mdini, slaa kapora etc!!! these types of campaigns could be relevant in countries with stable and clean systems, not our fragile personal-based country
Kila nikiamka na kusoma habari za kampeni naishia kujiuliza, hivi hizi ni kampeni za urais na ubunge na kuongoza wananchi au ni kampeni za kutafuta mabibi, pesa na mipasho??
We have lost it... big time; we have fallen into non essential stuff, we hvae fallen short of (even) Mwl. Nyerere who never had a clear succession strategy, that his motos were being demolished right before his very own eyes...
Zanzibaris have seen it, they have made a milestone, to delineate from Tanganyika political rubbish
Now, what is wrong with us?? jibu ni simpo, hatuna long term strategy ya chochote