UPIU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 602
- 111
Mijadala migumu eeh? Mnataka.msifiwe. Kwani hamkupoteza viti kwenye huo.uchaguzi? Kama una maembe kumi, ukapokonywa na aliekuwa na mawili moja, huwezi kujisifia kuwa i still have 8! Mibhange tu hii.
Ivi Mkuu hujastuka tuu, kwamba rating ya CDM inashuka kwa kasi sana over a very short period of time. Tizama hata hapa kijiweni kwenu JF your on the defensive. Tanzania bado upinzani ngoja hadi 2014 utaona viongozi wangapi wa CDM watarudi CCM