kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Mkuu uko tungi nini- Ritz for President!!
L Mutuz
Mkuu uko tungi nini- Ritz for President!!
L Mutuz
Haya maneno yamenifanya niamini kumbe kweli kaka ni umbo la mwili tu, ubongo haupo, nadhani ulichelewa kulia ulipozaliwa, no wonder kila unapogombea unapigwa chini.
Ndio maana Salama kikwete, Riziwani kikwete, chama kinana, Nape Nnauye n.k. wataendelea kupita bila kupingwa, kweli mnafanya uchaguzi lakini ndani ya bedroom ya mkulu.Mkuu unafuatilia habari za kile chama makini CCM? Fuatilia chaguzi zetu utaona Le Mutuz amechaguliwa kwa kishindo; sisi tunafanya uchaguzi hatufanyiwi maamuzi na baba mkwe!
Chama
Gongo la mboto DSM
- HA1 ha! ha! ha1 ha! sasa unaanza kuboa bro kwa nini usikae pembeni!
Le Mutuz!!
- Hongereni Wana-CCM wote mlioko kila kona za online political activism, ninafarijika na jinsi recently ambavyo tumekuwa tukjibu mashambulizi ya ndugu zetu wa upande wa pili, in many cases siku hizi tunawaweka on defensive end sasa kwa vile hawakuzoea kujibiwa unawaona wakitoka mapovu kama nyoka kifutu, saafi sana inaitwa kumkoma nyani giladi yaani ukitaka kumpiga nyani usimuangalie usoni, tuendeelee kuwatwanga hasa kwa ile lugha wanayojulikana kuilewa zaidi yaani ya za uso! Lakini sometimes huwa wana hoja so tuwajibu kwa hoja, lakini wakija kwa viroja please tuwape za uso tu!!
- Salute kwa Makamanda Ritz, Chama, na wengineo wembe ni ule ule hakuna kulala wala kuwapa nafasi, yaani finally tumeanza kuleta balance ndani ya Mitandao inapokuja the game na hawa wenzetu wa huko Upande wa pili, ndio maana hasa ya Demokrasia, siku zote nia na madhumuni yao ni wote tuwe na mawazo kama wao, hapana na mbarikiwe wote!!
- KIDUMU CCM! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
Le Mutuz!! THE KING OF ALL BONGO SOCIAL NETWORK MEDIA!!
Mkuu unafuatilia habari za kile chama makini CCM? Fuatilia chaguzi zetu utaona Le Mutuz amechaguliwa kwa kishindo; sisi tunafanya uchaguzi hatufanyiwi maamuzi na baba mkwe!
Chama
Gongo la mboto DSM
Ndio maana nikapoint out umri, na ndivyo ilivyotokea...........Mawazo yako yoote unadhani mimi CDM. Si mwanachama wala shabiki wa chama chochote.
Na bado narudia nilichoandika: "Honestly kuna tofauti kubwa sana kati ya umri na uelewa"
Tafakari.
Jaribu kutafakari kabla ya kuandika
Kijana tulia ongeza familia mali ya uridhi،unayo ya kutosha.Vijana watakutisha mwishowe ulie kama mama yako mdogo bungen.Kwa afya hiyo mda si mrefu shemeji utakuwa unamwekea mkono tuu
Daaa huyu lemutuz alichaguliwa kimakosa kabisa nadhani wana juta kumchagua! Huyu alitakiwa kuwa mwana mitindo au mcheza filamu!
In CCM we trust!!!
Ni mzee lakini hajitambui analazimisha ujana, siasa za ccm kazikwelikweli watu kwa kulazimisha ujana,wengine hadi wanafoji umrihuyu le mutuz ni mtu mzima ama mtoto? maana sielewielewi
Ndio maana Salama kikwete, Riziwani kikwete, chama kinana, Nape Nnauye n.k. wataendelea kupita bila kupingwa, kweli mnafanya uchaguzi lakini ndani ya bedroom ya mkulu.
Watu wa rika la William Malecela sio vijana. Wanalazimisha kuitwa vijana wakati umri ushawatupa.
Hoja yako imekosa mshiko Le Mutuz hakuteuliwa kacahagulia na wajumbe wa mkutano upo hapooo!!!!!!
Chama
Gongo la mboto DSM