VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Katika mjadala uliokuwa ukiendeshwa hivi punde na BBC Kiswahili chini ya Suluma Khasim,Mbunge Deo Filikunjombe amefunguka na kukubali kuwa nchi za Afrika Mashariki kuna ombwe la uongozi.
Filikunjombe alikuwa akijadili hoja ya Nini hatma ya Wapigakura. Mjadala huo ulimhusisha pia Mh. Halima Mdee na washiriki wengine toka Kenya na Uholanzi.
Haogopi?
Filikunjombe alikuwa akijadili hoja ya Nini hatma ya Wapigakura. Mjadala huo ulimhusisha pia Mh. Halima Mdee na washiriki wengine toka Kenya na Uholanzi.
Haogopi?