Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 312
Kosa La Unyang'anyi Wakati Alipania Kuua?
Hawa Waendesha Mashtaka Waache Ujinga. Hilo Ni Jaribio La Kuua Apigwe Maisha Kabisa.
Usishangae kusikia yuko mtaani baada ya siku kadhaa tu
Kosa La Unyang'anyi Wakati Alipania Kuua?
Hawa Waendesha Mashtaka Waache Ujinga. Hilo Ni Jaribio La Kuua Apigwe Maisha Kabisa.
Wewe from nowhere nenda buguruni halafu kwapua uone kama hujachomwa moto huyo ni mwenyeji wa hapo hvy wanamuogopa na siyo kama waneogopa sheria.Kisheria when attacked or provoked hutakiwi kuretaliate iyo ni kazi ya vyombo vya dola. Nadhan ndio maana watu wabugurun walisita kumchukulia hatua.
Pia kisheria ni polisi pekee yake mwenye uniform ndie anahusika kumtia nguvun mtuhumiwa.
itabidi nibadili jina...sipendi ujinga
Mm nataka angetobolewa tu macho halafu akaachwa. Kumuua ni letting him off easy!Mimi binafsi nilitegemea hivi mkuu. Ana bahati sana huyo nyang'au. Maana kikosi kazi kilikuwa kazini. Eti mtaalamu wa ngumi anapendelea watu wakija wengi!!!! WTF!!??
Haina haja ya kupoteza hela ya walipa kodi....huyu jamaa ilibidi atumbukizwe kwenye cyanide kule mgodini.
Hapo bugurini inatakiwa pasafishwe. Maana inaonekana bado kuna hao wapolimpo wenzake.
Hivi mbona rummors has it kuwa aliwahi kuua akaweka mtu barabarani agongwe na gari kuondoa ushahidi?Kosa La Unyang'anyi Wakati Alipania Kuua?
Hawa Waendesha Mashtaka Waache Ujinga. Hilo Ni Jaribio La Kuua Apigwe Maisha Kabisa.
Wamtoboe machoDaaah.., amekamatwa?! What a relief!
MKUU YAAN HII DAR INASIKITISHA SANA AISEE,SIJUI NAN KAWAROGA HAO WANAUME,USHAURI WANGU POLISI WAMUACHIE AJE MARA AFANYE UJINGA WAKE HUO,AISEE WATU WAZIM HAWATASUMBUKA NAE,ATAUAWA NA WATOTO TU UNDER 18!!.Sipati picha hao wanaume wa buguruni walivyo yaan mtu anatolewa macho wao wanaangalia tu yaan hakukua Na mpini wa jembe, nondo, mawe, koleo nk hapo karibu na tukio.