Kuna mahali nimeuliza swali kama hilo. Hivi hivi viwanja vina mafuta sisi hatujui au vipi. May be valuation system yetu ina matatizo, ukichukulia kwamba ardhi TZ ni mali ya serikali.
Kama kuna viwanja vyenye thamani ya 1 billion, nafikiri uchumi wetu usingekuwa hoi kiasi hiki. Hiyi ina maana kwamba serikali inaweza kuuza viwanja 30 tu na kupata pesa za kuendesha wizara mmoja.
Nafikiri itabidi tuwe tunatembelea Bongo mara kwa mara la sivyo tutaachwa kwenye mataa kwa kufikiria tunasave huku ughaibuni kumbe ni visenti tu.
hakimu mwankenja tayari keshawahukumu washtakiwa hawa, nilikuwa mmoja wa watu walioenda kushughukia dhamna ya wale wafanyakazi wa bot, yeye anasema leteni hard cash pale mahakamani 104m, hata tulipokwisha kumuonya kuhusu hatari ya kutembea na 104m cash, tukamwomba tupeleke bankers draft ambayo ni sawa na cash, alikataa na kudai kuwa nyie mmezoea kubeba mabilioni mnawezaje kuogopa 104m? alipotakiwa kuandika removal order ili washtakiwa waletwe mahakamani siku ya ijumaa, (ilikuwa alhamisi tulipoomba), alikubali lakini badaye akasaini kuwa waletwe jumatatu.
leo kama ameandika removoa order ya akinamramba iwe jumanne sishangai, ni mzee tunayemfahamu anayejifanya kuokoka huku akimaamini majungu au kuhukume watu kwa hisia tu
ni vema watuhumiwa walio na kesi mbeke yake wajiandae kwenda jela kwa kuwa huyu anayo hukumu yao tayari
yetu ni macho mtasikia
Let's give them a benefit of doubt and make some silly assumptions. Let's also make ourselves crazy by saying that Daniel Yona was getting a salary and fringe benefits equivalent to $1000 per month throughout the entire period he served as a civil servant. For one year, he would win $12,000 and for 40 years he would get a total of $480,000. Making a further funny thinking that he was not eating or paying any bill, the amount he would have in terms of cash and assets should not exceed $0.5m. But now the guy has over $2.4 in terms of assets. We don't know yet how much he owns terms of cash or other assets. If I therefore recommend that he should be asked to give an account of where he got the money, will I be wrong? Was he paying all the government taxi and levies? Will it be unfair to him if the public decides to take back its money i.e confiscate all the things he cannot account for?
I think this saga will continue to create more questions than anyone in this country can answer. I bet more drama is yet to come, let keep our squint eyes open!!
hakimu mwankenja tayari keshawahukumu washtakiwa hawa, nilikuwa mmoja wa watu walioenda kushughukia dhamna ya wale wafanyakazi wa bot, yeye anasema leteni hard cash pale mahakamani 104m, hata tulipokwisha kumuonya kuhusu hatari ya kutembea na 104m cash, tukamwomba tupeleke bankers draft ambayo ni sawa na cash, alikataa na kudai kuwa nyie mmezoea kubeba mabilioni mnawezaje kuogopa 104m? alipotakiwa kuandika removal order ili washtakiwa waletwe mahakamani siku ya ijumaa, (ilikuwa alhamisi tulipoomba), alikubali lakini badaye akasaini kuwa waletwe jumatatu.
leo kama ameandika removoa order ya akinamramba iwe jumanne sishangai, ni mzee tunayemfahamu anayejifanya kuokoka huku akimaamini majungu au kuhukume watu kwa hisia tu
ni vema watuhumiwa walio na kesi mbeke yake wajiandae kwenda jela kwa kuwa huyu anayo hukumu yao tayari
yetu ni macho mtasikia
hakimu mwankenja tayari keshawahukumu washtakiwa hawa, nilikuwa mmoja wa watu walioenda kushughukia dhamna ya wale wafanyakazi wa bot, yeye anasema leteni hard cash pale mahakamani 104m, hata tulipokwisha kumuonya kuhusu hatari ya kutembea na 104m cash, tukamwomba tupeleke bankers draft ambayo ni sawa na cash, alikataa na kudai kuwa nyie mmezoea kubeba mabilioni mnawezaje kuogopa 104m? alipotakiwa kuandika removal order ili washtakiwa waletwe mahakamani siku ya ijumaa, (ilikuwa alhamisi tulipoomba), alikubali lakini badaye akasaini kuwa waletwe jumatatu.
leo kama ameandika removoa order ya akinamramba iwe jumanne sishangai, ni mzee tunayemfahamu anayejifanya kuokoka huku akimaamini majungu au kuhukume watu kwa hisia tu
ni vema watuhumiwa walio na kesi mbeke yake wajiandae kwenda jela kwa kuwa huyu anayo hukumu yao tayari
yetu ni macho mtasikia
Mzee, Hakimu Mwankenja ni mmoja kati ya mahakimu wachache sana tulionao ambao wanafanya kazi kwa uadilifu na MAADILI ya hali ya juu sana. Ni mchungu sana kwa wabadhirifu, wezi, ...,. Badala ya kumponda kwa kuwa tu ndugu, jamaa, rafiki kanyimwa dhamana tuangalie na tutangulize maslahi ya nchi kwanza.
anachosema mwakimbi ni 100%, mzee ni mtu aliyechanganyikiwa. Matendo yake na matamshi yake vina tofauti kubwa sana, judiciary inagawanyika kimamlaka ila mgawanyiko huo haundoi wajibu na haki za uhuru ktk maamuzi ya kisheria, mimi nilichosisitiza ni style ya u-radical wake hata pale sheria inapotoa fursa kwa mshitakiwa, mtenda haki ni lazima awe tayari kusikiliza pande zote bila kuruhusu utashi wake binafsi ktk kusikiliza na kuamua, alipowakomoa wale jamaa wa epa baadae akataka kubadilisha masharti kama alivyosema mwakimbi lakini wenzake wakamuonya kuwa hiyo hatari na kuidharirisha mahakama maana walimwambia tayari kuna watu wametoa cash kama ulivyotaka sasa huruma hii inatoka wapi sasa!! Akanywea na ndio maana yule mzee akaenda mahakama kuu, hii ya mramba na yona alipotoka tu mahakamani kama kawaida yake hutaka ku seek opinion za wenzake wote wakawa cool, akaona tayari kesharikologa akataka kubadili masharti kabla wale wazee hawajaondoka kuna mama mtu mzima pale akamuonya kuwa asithubutu maana tayari keshaipa public walichotaka na isingelikuwa salama kwake na mahakama, kwahiyo huyu si mtu makini bali ametawaliwa emotional things ktk maamuzi yake, kitendo cha jana hakikuwa cha kistaarabu kwa mahakama yenyewe, yeye ijumaa aliingia mitini na kuzima simu yake, walio juu yake wakamsurubu na kutoa maelekezo alichopaswa ni ku comply na remove order ile ile ya mahakama kuu na ku note kuwa shauri hili la zamana lilipata sura tofauti ijumaa na kwa udhuru wake siku hiyo yeye kama hakimu ameamua kuendelea na kile kilichofanyika ijumaa, lakini akaweka msimamo wa kihuni eti aonekane ni mtu thabiti ktk maamuzi yake kitu ambacho si kweli maana tayari mahakama kuu wamemtoa dosari kwa kutengua baadhi ya masharti na maamuzi yake.
Ilitosha kwake kuanza kuonyesha kuwa naye ni mnyenyekevu na mwenye kukubali kukosolewa ktk utendaji.
Ni hatari sana ktk sheria unapokuwa na mtu asiye makini kama huyu mzee wetu.
Huwa wanaweka bond yenye thamani sawa ana kiasi cha fedha zilizotajwa na si fenda taslim, nadhani Kina Mramba waliamua kuwakomoa ndio wakataka cash.
Wakubwa mkumbuke tu kuwa mapato ya mtu si mshahara peke yake. Mie pia ni mfanyakazi wa serikali lakini nina miradi yangu inanipatia kila mwezi zaidi ya mara 3 ya mshahara wa serikali ninaopata. Ninafuga nguruwe na kuku, tuna mgahawa (niwe mkweli tu, 'mama ntilie'), genge la mbogamboga, baa (inayosapotiwa sana na kitimoto ninaofuga), na tangu mwanangu mkubwa amalize chuo amekuwa akiniunga mkono kwenye biashara ya internet cafe na mambo ya secretarial tuliyomwanzishia apate ajira. Sasa hapo ukinikadiria mapato yangu kwa kutumia mshahara wangu wa serikalini utakuwa unanishusha sana. Siwatetei hao jamaa kwa kuwa na hela hizo, lakini kabla ya kuhukumu kama ni za halali au la, tuangalie kwanza vyanzo vyao vyote vya mapato na kiasi kinachozalishwa humo.