Fatuma Karume: Mwanasheria Mkuu anapanga hila za kuwavua uwakili Jebra Kambole na Edson Kilatu

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,911
6,562
Ameandika Shangazi Fatma Karume kwenye ukurasa wake wa Twitter:

"Kilangi kawapeleka Jebra Kambole na Edson Kilatu mbele ya Kamati ya Maadili ili na wao WAVULIWE UWAKILI na majina yao yafutwe kwenye ORODHA ya Mawakili. Kosa lao: Kutoa maoni yao Mtandaoni. Kilangi, AG kuwa Advocate no. 1 ni HONORARY. Haina maana unaweza kutuCONTROL na kututesa"

My Take: Ninachojiuliza, je haya mambo ya freedom of speech bado yako mfukoni? Kilangi si ndo AG wa Mwendazake? Bado yupo tu madarakani au anahitaji kusagiwa kunguni kwanza?
 
A.G Kilanga sio wakumsagia kunguni, huyu ni wakumsagia fuko la mavi kabisa usoni.

Mwendazake ameiharibu sana field ya sheria, wanasheria wengi wameacha kupractice sheria kwasababu ya hujuma na vitisho vya marehemu, ila hakutambua kwamba anawanyima wafungwa na washtakiwa "CONSTITUTIONAL RIGHTS TO BE HEARD & RIGHTS REPRESENTED". Na alikua anaingilia Judiciary wazi wazi kabisa kibabe. Halafu mwisho wa siku akawa anajipa point kwa kuwaachia wafungwa magerezani.

Kesi nyingi zimeharibiwa kwa vitisho vya marehemu, wanasheria kutishiwa na kuambiwa wajitoe kwenye hizo kesi, wanasheria kubambikizwa kodi za ajabu ajabu, ofisi za wanssheria kulipuliwa mabomu. Wanasheria wengine wameishia kukimbilia siasa.
 
Kumsagia Kunguni Tu Ili Anuke Tanzania Nzima
😃😂😊😅😆😄😃😁😁😀😀
 
Wait!

Magufuli si keshakufa!??
kafa kaacha wanae baadhi yao washausoma mchezo wameacha yasiyopendeza ila bado wapo wanaosumbua nao watashuglikiwa kila mtu kwa wakati wake na kwa namna yake, mfano sabaya, chalamila n.k
 
Back
Top Bottom