Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Tunataka Katiba Mpya kwanza.
Baada ya hapo tutajua wa kushirikiana nao, kwa vigezo na masharti gani.
Well, Inawezekana Mh Samia kashauriwa vibaya au wajanja walimset.
Pamoja na hayo muhimu kwa sasa tunataka Katiba Mpya ili mambo hayo yasitokee tena. Rasilimali za Tanzania ziwafaidishe Watanzania kwanza na siku zote.
Baada ya hapo tutajua wa kushirikiana nao, kwa vigezo na masharti gani.
Well, Inawezekana Mh Samia kashauriwa vibaya au wajanja walimset.
Pamoja na hayo muhimu kwa sasa tunataka Katiba Mpya ili mambo hayo yasitokee tena. Rasilimali za Tanzania ziwafaidishe Watanzania kwanza na siku zote.