Nimatumaini yangu kwamba jf hakuna wababaishaji kama fb coz mnajiita great thinkers.kwa kipindi hichi ninachongoja matokea nina imani kuwa mtaona ni namna gani kichwa changu kimefanya kazi kwa miaka 4 ya o-level kwa kuona mawazo yangu nitakayotoa ndani ya huu mtandao.i hpe we r as 1 family.. Wana JF nipokeeni.,