Faraja: Matokeo Ya Ufugaji Wa Kuku

pH 7

Member
Aug 10, 2014
89
29
Habari Wadau wenzangu!

Nina siku 15 (Wki 2 nasiku 1) tokea nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nilianza na Majike 15 na jogoo 1, nashukuru leo tarehe 21/09/2014 nimekamilisha trei moja la mayai na kupata mteja mara moja (Inaonyesha biasara ya mayai ya kuku wa kienyeji ni nzuri kuwa yana hitajika kwa wingi).

Plani yangu Mpaka mwisho wa mezi huu ninunue mitetea 10 mingie na jogoo 1 jumla ya uku wote iwe 27, ili niongeze uzalshaji wa mayai. Na kufikia mwezi wa 11 ninunue eneo kubwa la kufugia kibiashara maana hapa ni kama natafuta uzoefu.

Kimenistua kitu kimoja niliona juzi Mtetea mmoja una chechemea nikamshika baada ya kumchunguza nikamkuta anakidonda chini ya nyayo zake (Kama inavyo onekana kwenye picha ya tatu hako kakidonda kanjano hivi) kwa sasa hali yake si mbaya yupo karibu kurecover.

Naomba ushari juu ya hili tatizo la huyu mtetea ili niweze kulikabili lisiudie tena maana nahisi hajisiki vizuri na anaweza punguza utagaji.

Nashukuru wadau wote walio nihamasisha kuingia kwenye ufuaji kwa amna Tofauti tofauti.


-----------------------------------------------------------UPDATES--------------------------------------------------------------------------------

Habari Wadau kwa mara nyingine.

Yule mtetea aliye kuwa ana chechemea kwa sasa kapona kabisa na sikutumia dawa yeyote, ila naona mwingine pia aliye anza kutaga juzi anachechemea na hana kidonda sehemu yeyote miguuni sasa hapa ndipo ninapo shindwa kuelewa. May be Wanapigana(lakini ka kipndi chote nilicho kaa nao sijaona hii tabia) au ni uzito wa jogoo anapo wakmbiza maana ni jogoo kubwa.

Nimeendelea kutafuta case kama hii kwenye nyuzi nyingine ila bado sijapata.

Wenu katika UJASIRIAMALI: pH 7
 

Attachments

  • IMG_20140921_131234_0.jpg
    IMG_20140921_131234_0.jpg
    194 KB · Views: 1,779
  • IMG_20140904_164538_0.jpg
    IMG_20140904_164538_0.jpg
    305.6 KB · Views: 1,731
  • IMG_20140919_095123_0.jpg
    IMG_20140919_095123_0.jpg
    142.1 KB · Views: 1,692
  • IMG_20140912_071359_0.jpg
    IMG_20140912_071359_0.jpg
    243.3 KB · Views: 1,704
  • IMG_20140925_092531_0.jpg
    IMG_20140925_092531_0.jpg
    349.9 KB · Views: 1,446
Mkuu hongera sana kwa hatua uliyopiga.Pole kwa huyo anaumwa hope watakuja wataalamu na kuadvice nini ufanya.
Pole pole ndo mwendo
 
Mkuu hongera sana kwa hatua uliyopiga.Pole kwa huyo anaumwa hope watakuja wataalamu na kuadvice nini ufanya.
Pole pole ndo mwendo

Shukran Mkuu TO2004, nasubiri kwa hamu kupata ushauri na njia bora wanazo tumia wadau wengine.
 
hongera sana mkuu,kuna nyuzi mbalimbali ximo humu pitia upate ujuzi...hasa zilizowekwa sticky
 
hongera sana mkuu,kuna nyuzi mbalimbali ximo humu pitia upate ujuzi...hasa zilizowekwa sticky

Shukrani mkuu, Nimejitahidi mpaka sasa kuzipitia sijaona sehemu zenye case kama hii ila ninazidi kuzipitia.
 
nilicho kifanya nilikuwa nikiatamiza mf. kuku 6 wakitotoa kuku 3 wanalea. 3 naziwekea mayai mengine toka kwa wafugaji wengine. trei 9,000 nilhkuwa napata vifaranga 20 -25. usinunue mayai ya sokoni mengi yamepita mda wake yasizid siku 14 toka kutagwa,
 
Nakushauri totolesha vifaranga. hautapata faida kwa kuuza mayai zaidi ya hasara siku ukipiga hesabu ya garama utawauza. mi nilianza rasimi ufugaji na jike 10 na jogoo 1 mwakajana mwezi wa 8. sasa ninao kuku 120. vifaranga 60 walio atamia wapo 6

nilicho kifanya nilikuwa nikiatamiza mf. kuku 6 wakitotoa kuku 3 wanalea. 3 naziwekea mayai mengine toka kwa wafugaji wengine. trei 9,000 nilhkuwa napata vifaranga 20 -25. usinunue mayai ya sokoni mengi yamepita mda wake yasizid siku 14 toka kutagwa,

Shukrani kwa ushauri Ndugu!
Nitajitahidi kutotolesha ilakwa sasa nina banda moja (Nimepangishwa) lakini nime plan kulifanyia partition ambamo nitalea vifaranga pindi nikianza rasmi utotoleshaji. Nadhani changamoto itakuweo wenye kulea vifaranga ndani ya banda la kuku wakubwa.

Ila plan yangu kubwa ilikuwa kununua kiwanja nje kidogo ya mji alafu ndio nianze utotoleshaji kwa wingi.

Vipi unanishaurje kuhusu kujenga kibanda ndani ya banda la kuku wakubwa kwa ajili ya vifaranga.
 
kulea vifaranga wala si tatizo. kwahao kuku wako banda la bati 3 za mita 3 au 2.5 litakutosha. PM namba yako nikuelekeze cha kufanya dhidi ya vifaranga na kama utakuwa karibu na nilipo naweza kukutumia kitabu (bule) bila malipo nilicho toa SUA
 
kulea vifaranga wala si tatizo. kwahao kuku wako banda la bati 3 za mita 3 au 2.5 litakutosha. PM namba yako nikuelekeze cha kufanya dhidi ya vifaranga na kama utakuwa karibu na nilipo naweza kukutumia kitabu (bule) bila malipo nilicho toa SUA

Shukran Ndugu, Nime kupm tayari.
 
Nakushauri totolesha vifaranga. hautapata faida kwa kuuza mayai zaidi ya hasara siku ukipiga hesabu ya garama utawauza. mi nilianza rasimi ufugaji na jike 10 na jogoo 1 mwakajana mwezi wa 8. sasa ninao kuku 120. vifaranga 60 walio atamia wapo 6

Strategy nzuri!,hongera sana mkuu!
 
Habari Wadau wenzangu!

Nina siku 15 (Wki 2 nasiku 1) tokea nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nilianza na Majike 15 na jogoo 1, nashukuru leo tarehe 21/09/2014 nimekamilisha trei moja la mayai na kupata mteja mara moja (Inaonyesha biasara ya mayai ya kuku wa kienyeji ni nzuri kuwa yana hitajika kwa wingi).

Plani yangu Mpaka mwisho wa mezi huu ninunue mitetea 10 mingie na jogoo 1 jumla ya uku wote iwe 27, ili niongeze uzalshaji wa mayai. Na kufikia mwezi wa 11 ninunue eneo kubwa la kufugia kibiashara maana hapa ni kama natafuta uzoefu.

Kimenistua kitu kimoja niliona juzi Mtetea mmoja una chechemea nikamshika baada ya kumchunguza nikamkuta anakidonda chini ya nyayo zake (Kama inavyo onekana kwenye picha ya tatu hako kakidonda kanjano hivi) kwa sasa hali yake si mbaya yupo karibu kurecover.

Naomba ushari juu ya hili tatizo la huyu mtetea ili niweze kulikabili lisiudie tena maana nahisi hajisiki vizuri na anaweza punguza utagaji.

Nashukuru wadau wote walio nihamasisha kuingia kwenye ufuaji kwa amna Tofauti tofauti.

Wenu katika UJASIRIAMALI: pH 7

kama unafikiria kutotolesha, idadi ya matetea isizidi kumi kwa kila jogoo ili kupata mayai yaliyo chavulishwa vema.
 
kama unafikiria kutotolesha, idadi ya matetea isizidi kumi kwa kila jogoo ili kupata mayai yaliyo chavulishwa vema.

Shukrani Mkuu, Kwa sasa ninalo jogoo moja sababu idadi ya mitetea yenye uwezo wa kutaga haizidi kumi. Ila nimejipanga kuongeza majogoo yawe angalau mawili wakati wa kuongeza mitetea.
 
Iko poa sana mkuu biashara ya ufugaji wakuku inalipa ukizingatia kanuni zake kama usafi, chanjo zidi ya magonjwa na nyinginezo kaza mwendo utafika
 
Shukrani Mkuu, Kwa sasa ninalo jogoo moja sababu idadi ya mitetea yenye uwezo wa kutaga haizidi kumi. Ila nimejipanga kuongeza majogoo yawe angalau mawili wakati wa kuongeza mitetea.

Safi sana. Binafsi navutiwa sana na hii project ya ufugaji wa Kuku. Nakutakia mafanikio zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom