Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,482
- 40,495
- Uanzishapo biashara ya bucha, hakikisha pia una kijiwe cha nyama choma.
- Hii itakusaidia nyama kutokubaki, na kufanya fedha yako kuwa kwenye mzunguko.
- Hakikisha pia una wateja wako angalau kumi wa kudumu, iwe mama ntilie au wachoma mishikaki n.k
- Malengo kwa siku, angalau uuze kilo 50 na hakuna haja ya kuchukua/kununua kilo nyingi kwa siku (unaweza kununua kila 70 kwa siku).
- Na faida kwa kila kilo ni shilingi 1000; kwa hiyo kama utafanikiwa kwa kila mwezi, utakuwa unapata milioni 1.5, ukitoa gharama za uendeshaji unaweza kubaki na faida yako ya laki 8.
- Ukiwa nazo tano, utakuwa unatengeneza milioni 4
- Aya ingia mzigoni.