Familia yaishtaki Google baada ya baba yao kufariki dunia kwa kutumia Google Maps iliyomwelekeza kwenye daraja lililovunjika

Siku atakufa mtu kisa amekunywa dawa aliyoshauriwa atumie na wanafacebook tutalalamika Meta imemsababishia kifo.

Google map si tunaiupdate wenyewe watumiaji, tunafunga barabara, tunasema duka flani lipo, njia flani mbaya etc.

Sidhani kama kosa lao Google hapa.

Poleni wafiwa.
Kwa Wazungu ni kosa lao hilo ila Afrika hakuna kosa hapo Mkuu na goggle watashindwa kesi hiyo...
 
Siku atakufa mtu kisa amekunywa dawa aliyoshauriwa atumie na wanafacebook tutalalamika Meta imemsababishia kifo.

Google map si tunaiupdate wenyewe watumiaji, tunafunga barabara, tunasema duka flani lipo, njia flani mbaya etc.

Sidhani kama kosa lao Google hapa.

Poleni wafiwa.
Watalipa.
 
1: Kama hajafanya update ya hy app bc google hawana kesi hapo.

2: kuweka taarifa fulani kwenye Google map sometimes inategemea na ukubwa wa hy project, Mfano umejenga nyumba yako ghafla tuu huwezi kuikuta kwenye ramani labla kama n project kubwa utaikuta Hata kabla haijamalizika.

3: Nadhani Google map wana muda wao fulani wa kufanya update ya maeneo.

NB: Kibongo-bongo hapati hata 100 ila kwa kuwa ni mbele, em tusubiri
Kwa kifupi, accuracy hutokana na matumizi ya mara kwa mara. Wao huweza ku update baadhi ya maeneo kwa usahihi. Nje ya maeneo hayo hutegemea watumiaji, katika kuutumia mfumo ndipo na yenyewe unafanya self learnung na kuweka taarifa sahihi.
Mfano , ikitokea watu watatu wameenda destination fulani kutoka pande au route tofauti, yenyewe itaanza pale kutafuta njiza sahihi na umbali ili waweze ky update taarifa zao, so watumiaji wakiwa wachache au hakuna ni obviously utapotea, lakini wanapoongezeka nayo ina learn na ku update.
 
Back
Top Bottom