projectman
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 349
- 484
kama ujawai ona bandama zako lakini unaamini unazo! inakuwaje humuamini Mungu! au unafikili kila kitu lazima ukione! ndio uamini!?ikiwa huamini uwepo wa Mungu kwa kuwa hujamwona basi huna akili kwa sababu hujawahi kuuona ubongo wala wakili yako mwenyewe