Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,347
- 2,019
From now nalala mtupu, tena natanua na miguu kabisaaaaa....!!!!!!
?????????????/Mi akiwepo....... Ndio napenda Kulala uchi maana muda wote inazama .
Mkuu yoyote ile ikifikia mwisho naomba unitagnaona alikuwa na mishe zake tu, kapita juu kwa juu
mtaalamu wa hiyo kitu wwumesahau
9. inakupa mzuka wa kupiga selfie
noted!Mkuu yoyote ile ikifikia mwisho naomba unitag
Huko sasa ni kuloweka....Kina wekwa chenyewe hakuna mbwembwe
Ha ha ha haHuko sasa ni kuloweka....
Uko single ulale uchi ni balaa nafuu ukiwa na mke unagusagusa kimya kimya bila kumwomba anageuka taratibuuuuuumesahau
9. inakupa mzuka wa kupiga selfie
basi mimi nipo kwenye nafasi nzuri sana aiseee,... nalala uchi yani kabisa sitaki kabisa hata chupi
Dah!ctaki hata kukumbuka,kuna jamaa alivamiwa cku1 na majambaz akiwa amelala uchi na mke wake,majambaz walivutiwa sana muonekano mzur wa yule mwanamke,basi majambaz wakajisevia!1. Usingizi mzuri.
Joto la mwili litakuwa regulated more efficiently.Hamna distruption na joto inayosababishwa na nguo hivyo usingizi wa pono.
2. Self-esteem booster.
Watu wengi hawajiamini sababu hawapendi jinsi walivyoumbwa.
Kulala uchi kutakufanya uuamini na uukubali mwili wako.
Itasadia pia kuupenda mwili wako.
3. Utazidi kuwa mchanga.
Kulala uchi kunafanya kuwa na joto la mwili linalostahili ambalo growth hormones na anti-aging hormones zitafanya kazi vyema.
4. Fungal infections
Wanawake wako prone to fungal infections zinazosababishwa na joto na unyevunyevu kwenye sehemu zao za siri.
5. Increases virility.
Joto ndio adui mkubwa wa utengenezaji wa mbegu za kiume.Na ndio sababu testes imeumbwa nje ya mwili.
Kulala uchi kunafanya testes kupata ideal temperature ya utengenezaji na uhifadhi wa sperms.
6. Happier relationship
Kuwa na skin-to-skin contact kunafanya kureleasiwa kwa homoni ya oxytocin hivyo kuwa na uhusiano wenye furaha na more sex.
7. Keeps you active.
8. Saves money.