Faida za kulala uchi

Hasara za kulala uchi

1. Unakuwa katika hali ikiwa Nyoso atakutokea wakati umelala

2. Kwa maeneo ya znz ni kumraishia kazi popobawa.

3. Ukitokea moto utajikuta umemwaga radhi mbele ya watoto wako, mama yako, etc

4.
 
Kuna jamaa alikuwa ana mtoto mdogo so walikuwa wanalala chumbani na mwanao mtoto akilala ucku ndo wanapata wasaa wa kumenya tunda, siku moja wakiwa wamemaliza kumenya tunda jamaa akajisahau hakulala na Boxa na make akawa amewahi kuamka na kumuacha jamaa na mtoto bila jamaa kujua kama make ameamka, mtoto akaamka akaona jogoo LA baba limewika akaanza kuchezea huku jamaa akijua make anataka huduma kuna kugeuka laulaaa! Mtoto huko bize kucheza na jogoo
 
Nilipokuwa Advance kuna jamaa alikuwa analala uchi mwanzo mwisho watu tulikuwa hatujastuka sasa kuna kipindi watu wametoka kupiga msuli usiku, jamaa blanket ilikuwa imedondoka chini sasa na lile baridi la Kibosho jamaa kajikunja kama kijusi watu wakaamshana bweni zima. Wakamuamsha nae akaanza kushuka faida za kulala uchi hiyo topic ili geuka mada mpaka kuna kucha afu shule yenyewe Boys watupu.
 
Mi sikumbuki nililala lini nikiwa na.nguo. Mi sivai nguo yoyote na hata underwear. Ukweli najisikia huru kuwa uchi nikiwa nimelala.
 
basi mimi nipo kwenye nafasi nzuri sana aiseee,... nalala uchi yani kabisa sitaki kabisa hata chupi

Nasikia kuna majini wao kazi yao ni kutafuta wanawake wanaolala uchi wa mnyama wawaingilie,ukiona hukai na wanaume linakuhusu hilo,majini yanakutengenezea mazingira ya wewe kutopata wanaume ili waendelee kukugegeda,endelea tu kulala uchi uwe chakula ya majini,cc mshana jr
 
1. Usingizi mzuri.
Joto la mwili litakuwa regulated more efficiently.Hamna distruption na joto inayosababishwa na nguo hivyo usingizi wa pono.

2. Self-esteem booster.
Watu wengi hawajiamini sababu hawapendi jinsi walivyoumbwa.
Kulala uchi kutakufanya uuamini na uukubali mwili wako.
Itasadia pia kuupenda mwili wako.

3. Utazidi kuwa mchanga.
Kulala uchi kunafanya kuwa na joto la mwili linalostahili ambalo growth hormones na anti-aging hormones zitafanya kazi vyema.

4. Fungal infections
Wanawake wako prone to fungal infections zinazosababishwa na joto na unyevunyevu kwenye sehemu zao za siri.

5. Increases virility.
Joto ndio adui mkubwa wa utengenezaji wa mbegu za kiume.Na ndio sababu testes imeumbwa nje ya mwili.
Kulala uchi kunafanya testes kupata ideal temperature ya utengenezaji na uhifadhi wa sperms.

6. Happier relationship
Kuwa na skin-to-skin contact kunafanya kureleasiwa kwa homoni ya oxytocin hivyo kuwa na uhusiano wenye furaha na more sex.

7. Keeps you active.

8. Saves money.
Dah!ctaki hata kukumbuka,kuna jamaa alivamiwa cku1 na majambaz akiwa amelala uchi na mke wake,majambaz walivutiwa sana muonekano mzur wa yule mwanamke,basi majambaz wakajisevia!
 
Mtu kama Lemutuz ma ule mtumbo ikitokea nymba imewaka lemutuz atoke nje akiwa uchi watu si watakimbia? Wengine tuko kama lemutuz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom