Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Ewe mwanaume, kamwe mwanamke asikwambie kuwa hawezi kukutunuku mpaka pale mtakapofunga ndoa. Usikubali.
Inaweza tokea mkashindwa ku match code. Unaweza kuwa aina ya mwanaume unayesukuma ukuni kwa muda mrefu, kumbe mkeo akawa ni wa dakika tatu hoi ukajikuta ishakula kwako. Hii ilinifanya nioe mke wa pili.
Sio hivyo tu, baada ya kumuoa unaweza kuta anayo kubwa ukashindwa kufit, au ndogo sana ikashindwa kuingia, au inaweza isiwepo kabisa.
Hali kadhalika, unaweza kuwa mwanaume wa kushelega kwa muda wa dakika tatu, kumbe uliyemuoa anahitaji masaa nane kuridhika, mwisho wa siku ukachapiwa huko nje.
Pia ewe mwanamke, kamwe usimtamkie kauli ya tutafanya baada ya kuoana. Huwezi jua ni kipi utakachokutana nacho huko mbele.
Unaweza kukutana na ndingo na usiweze kulimudu, au ukakutana na kipisi cha sigara ukashindwa kutimiza haja zako. Au ukakuta hana risasi za kutosha ikala kwako.
Ewe mwanamke, akikwambia kuwa mtafanya baada ya ndoa, jua wazi anakwenda kukuvika mabomu. Kunakuwa na tatizo la kiufundi mahali.
Ni vyema kufanyiana majaribio kwanza kabla ya kufunga pingu za maisha. Ndoa ni gereza.
Vijana tuoe, ndoa ni baraka.
Inaweza tokea mkashindwa ku match code. Unaweza kuwa aina ya mwanaume unayesukuma ukuni kwa muda mrefu, kumbe mkeo akawa ni wa dakika tatu hoi ukajikuta ishakula kwako. Hii ilinifanya nioe mke wa pili.
Sio hivyo tu, baada ya kumuoa unaweza kuta anayo kubwa ukashindwa kufit, au ndogo sana ikashindwa kuingia, au inaweza isiwepo kabisa.
Hali kadhalika, unaweza kuwa mwanaume wa kushelega kwa muda wa dakika tatu, kumbe uliyemuoa anahitaji masaa nane kuridhika, mwisho wa siku ukachapiwa huko nje.
Pia ewe mwanamke, kamwe usimtamkie kauli ya tutafanya baada ya kuoana. Huwezi jua ni kipi utakachokutana nacho huko mbele.
Unaweza kukutana na ndingo na usiweze kulimudu, au ukakutana na kipisi cha sigara ukashindwa kutimiza haja zako. Au ukakuta hana risasi za kutosha ikala kwako.
Ewe mwanamke, akikwambia kuwa mtafanya baada ya ndoa, jua wazi anakwenda kukuvika mabomu. Kunakuwa na tatizo la kiufundi mahali.
Ni vyema kufanyiana majaribio kwanza kabla ya kufunga pingu za maisha. Ndoa ni gereza.
Vijana tuoe, ndoa ni baraka.