Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Jamani namuulizia huyu jamaa Fahmi Dovutwa aliyejiingiza kwenye kinyang'anyiro cha kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama chake cha United Peoples Democratic Party (UPDP) yuko wapi na anafanya nini sasa hivi? Jamaa alinikuna sana na sera zake za kua akichaguliwa atajenga kiwanda cha silaha.