Hapo kwenye redi ndugu ni kuwa nilikuwa nakohoa sana na kikohozi changu kilikuwa kikavu na sio kwamba nilikuwa siombi Mungu aniponye ndo yalikuwa maombi yangu kila uchao. Ila kwa kuwa tayari hiyo ilikuwa ndo hali yangu ya kukohoa sana so kama nina safari nikiingia kwenye daladala nafikiri na ule msongamano wa watu, vumbi na harufu mbalimbali za pafyumu na majasho hata kama wakati naingia nilikuwa sikohoi basi gari ikianza kuondoka tu nami naanza kukohoa kama safari ni ya mbali kwa kweli nilikuwa napata shida sana.
Hivyo nilikuwa najitahidi kukaa siti za mbele kwenye dirisha ili nipate hewa safi isichanganyike na manukato mengine kwa sababu tayari nilikuwa najijua udhaifu wangu na nikikohoa sana lazima ile hali ya kutapika inanijia sasa hapo hapo ndo niliuwa najisemea moyoni Mungu nisaidie nisitapike maana hapo nilikuwa najua nikitapika kama ndo nimetoka kunywa chai uwezekano wa kutapikia watu ni mkubwa. Ndugu utapike kwenye basi na hapo labda naende kazini au shule huoni kuwa ni usumbufu itabidi uanze kujikinga na Mitandio na ni hali inayokosesha raha si unajua kutapika kulivyo unavyojifosi na kutumia nguvu, lakini kikitulia kama sikohoi huwezi jua nakoa ila kwa ajili ya ule ukavu wa kikohozi kulikuwa na kitu kana kinanitekenya kwenye koo au nakua kama napaliwa theni nakiamsha. Eeh ndugu usiseme wanaosema Mapenzi kikohozi kuficha huwezi hawakukosea, unaweza ukafisha mapunye yaliyoko miguuni au kichwani kwa kuvaa suruali au wigi lakini sio kikohozi.
Kuna wakati ofisini walikuwa wananitania kuwa tukisikia tu mtu anakohoa tunajua umefika. Ukilala ukiamka asubuhi unasikia mtu anakwambia pole hivyo usiku wote amenisikia nakohoa halafu kikohozi hakilainiki aah ndugu, Mungu aeupushe duniani kuna mengi. Ukiwa Mzima shukuru Mungu. yaani kama sasa nilishasahau imebaki histori kuna watu wakikohoa vikohozi haviponi huwa wanakuja kuniuliza nilichotumia lakini kwa kuwa nilitumia mchanganyiko wa vitu nashindwa kusema direct kwa sababu hata kwangu kupona ilikuwa kama miujiza ya Muumba nilikuwa nimeshaikubali hali kuwa ndio sehemu ya maisha yangu na watu walishanizoea kuwa mimi mwana kikohozi.
Kwa hiyo jamani Mungu ni Mwema tusiache kumwomba kila uchao paliposhindikana yeye anaweza. Pia namshukuru dk. aliyenishauri kunywa maji mengi na dk. aliyegundua kuwa nina aleji ya vumbi so nijitahidi kujiepusha na mavumbi ingawa hayaepukiki barabarani lakini ndani hasa chini ya kitanda unauwezo wa kuyaepuka na nyakati za usiku tukiwa tumelala ndio tunavuta vingi mjue na ndio maana wanaokohoa wengi nafikikiri ikifika usiku ndo inakuwa balaa. Siku hizi aa niko happy maana bila hivyo ningemaliza mabucha kutafuta tiba.
Samahani Rubi nilikuwa naomba uniambie hospital uliyogundua alegi yako pls if posbo!!
MUNGU ni MWEMA!!!!
ndio mdalasini kwa kiingereza unaitwa Herb Cinnamonmdalasini ndiyo cinamon au ?
nipo huku Ughaibuni baridi kali sana MkuuSafi sana mzizi mkavu naona umetoka kivingine ..upo kwenye baridi au vumbi!
Wakati wa kucheza game ndio unapakaa mtalimbo wako basi huyo mwanamke atajisikia raha tupu na joto litazidi na ndizi yako itakuwa na nguvu zaidi.Hii ya kupakaa asali ktk mtalimbo ndo naiskia leo. Scientfically imekaaje hii na unapakaa wakati wa game au kabla ?
nimemtowa yule nyani mvuta bangiThanx, lakini mbona yule nyani mfuta bangi tulikuwa tumemzoea.:smile-big: