Uchaguzi 2020 Fadhila za Lissu kwa majasusi wa kibepari na kisingizio cha uwekezaji nchini

Ni wazi Tundu Lissu anajiamini na ameshaaminishwa na wale waliomtuma kuwa atakuwa Rais, imefika hatua anasema wajaribu waone, hapatatosha na hapatakalika dunia nzima inaitazama Tanzania nini watafanya, amekuwa akitishia kuwa maamuzi yoyote ya kutokuwa yeye Rais yatawapeleka watu ICC..
Tundu Lissu tumetuma sisi watanzania huyo wenu katumwa na shetani gani ?
 
Hasemi mshindi atangazwe anasema nisipo tangazwa

Msitufanye mapunguani kuwa hatusikii wala kuelewa anachosema. Mnalazimisha tafsiri zenu ili mpate kuficha uhuni wenu. Nadhani nyie ndio mlikuwa mnazunguka na sinema za vita vya Rwanda, enzi mfumo wa vyama vingi umeingia hapa nchini, ili kuhadaa wananchi kuwa wapinzani wataleta vita. Shubamiit.
 
Kwani mwaka huu ndio Mara ya kwanza kufanya uchaguzi mbona wenzake hawakuwai kutoa mikwara ya namna hiyo na wala hawakuamasisha watu waingie barabarani, na hata huko marekani trump alipopita kuna mengi yalizungumzwa kuwa ameiba kura na hakuna mwananchi yeyote au mwanasiasa aliyeamasisha kuwa wavuruge nchi yao licha ya kwamba wapo wasiompenda.

Wakati huo uliwahi kuona uchaguzi wote wa SM ccm wakipita bila kupingwa? Hizo chaguzi zote uliwahi kuona zaidi ya nusu ya wagombea wa upinzani wakishindwa kujaza fomu, na ccm kupatia bila kukosea. Nyie mnatakiwa mfurahishwe ndio tuheshimu wote box la kura.
 
Waamue wao ni nani?hatutokubali taifa liangamie kwa tamaa za madaraka ya lissu,mataifa yote yaliokubali mabeberu kuingilia mambo yao ya ndani ndani hayajawai kukaa sawa mpaka leo.

Mkuu na wenzako, subirini Lissu ashindwe kwa kura. Akizoa kura za ushindi huo utakuwa ni uamuzi wa Watanzania wenyewe. Unasema “hamtokubali”. Sasa sijui “nyinyi” mtawezaje kukataa uamuzi wa wananchi?
 
Ni wazi Tundu Lissu anajiamini na ameshaaminishwa na wale waliomtuma kuwa atakuwa Rais, imefika hatua anasema wajaribu waone, hapatatosha na hapatakalika dunia nzima inaitazama Tanzania nini watafanya, amekuwa akitishia kuwa maamuzi yoyote ya kutokuwa yeye Rais yatawapeleka watu ICC..
Kumbe ccm sisi mnapenda sana muwe mnadhurumu afu mnaowadhulumu wakidai haki yao mnawaona wanatumwa na watu. Kwa nini usiamasishe NEC wamtangaze mshindi halali ili haya yote yasitokee.
 
Kumbe ccm sisi mnapenda sana muwe mnadhurumu afu mnaowadhulumu wakidai haki yao mnawaona wanatumwa na watu. Kwa nini usiamasishe NEC wamtangaze mshindi halali ili haya yote yasitokee.
Ccm vichwa vya panzi, akili hamna
 
Lissu na Trippi hawawezi kufanikisha malengo yao, hii sio Zimbabwe hii ni nchi iliyokabidhiwa kwa Mungu siku moja kabla ya uhuru mwaka 1961.

Hao wenye nia zilizojificha kwa ufupi wasahau.

Kwa mtazamo huu, inaelekea Lissu akipata kura za ushindi toka kwa Watanzania, basi itahesabika ni kukamilika kwa “malengo ya wenye nia zilizojificha”! Bila shaka wasiwasi Huu unatokana na uwezekano mkubwa wa Lissu kupata kura nyingi sana. Isingekuwa hivyo, naamini Lissu angepuuzwa kama kina Lipumba, Rungwe, Membe, nk.

Miaka yangu yote nimekuwa nikisikia kauli za aina hii katika nchi za kikomunisti. Nafikiri mtazamo wa serikali ya awamu hii ni kurejea kwenye enzi hizo na kuwa na “vanguard party” kabisa yenye kikundi cha makada wanaoamua nani wawe viongozi wa taifa. Kwa nini tusifanye hivyo rasmi ili kuwazibia kabisa mabeberu na vibaraka wao?
 
Kwa mtazamo huu, inaelekea Lissu akipata kura za ushindi toka kwa Watanzania, basi itahesabika ni kukamilika kwa “malengo ya wenye nia zilizojificha”! Bila shaka wasiwasi Huu unatokana na uwezekano mkubwa wa Lissu kupata kura nyingi sana. Isingekuwa hivyo, naamini Lissu angepuuzwa kama kina Lipumba, Rungwe, Membe, nk.

Miaka yangu yote nimekuwa nikisikia kauli za aina hii katika nchi za kikomunisti. Nafikiri mtazamo wa serikali ya awamu hii ni kurejea kwenye enzi hizo na kuwa na “vanguard party” kabisa yenye kikundi cha makada wanaoamua nani wawe viongozi wa taifa. Kwa nini tusifanye hivyo rasmi ili kuwazibia kabisa mabeberu na vibaraka wao?
Vibaraka wanadhibitiwa vyema tu kwa boksi la kura.

Hawajaanza jana wala juzi kuizingua nchi hii lakini huwa wanadhibitiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom