zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Hamisi Kigwangalla
Madaktari wameamua kuwa nafaka ya Ngano, wafe ili wazae nafaka nyingi zaidi! Serikali imeweka pamba masikioni, miwani ya mbao machoni...nani anaumia hapa sasa? Hebu nendeni mezani jamani, myazungumze, myamalize...kuna mpiga kura wangu anahitaji surgery pale MOI...hana kosa lolote huyu ndg yangu! Baba Pinda, Mtoto wa Mkulima, tumia busara zako vizuri waite hawa watu wako Mzee!
COMMENTS ZAKE
Like Unfollow Post Share 51 minutes ago
23 people like this.
1 share
o
Rogers Machimu siyo awaite awafuate si walimfuata akajifanya jeuri
49 minutes ago Like 5
o
Juma Magayane Khalfani hii ni hatari
47 minutes ago Like
o
Eliningaya Kweka
hakuna aliye na uwezo busara hizo kwa sasa, tungoje maafa tu kwa wakulima.
47 minutes ago Like
o
Edward Malando
Awafuate hata kama hawakumuita. Uongozi sio kiburi jamani.
46 minutes ago Like
o
Hamidu Said
Madaktari inabidi wajue wanaoumia hawana hatia ndio wanamadai ya mcng lakini hii co njia muafaka ya kudai haki wanawaumiza na wengne wanakufa wanyonge wenze2 watafute njia nyingne ya kuishindikiza serikali na co hii
45 minutes ago Like 1
o
Felista Steven
Ligwa jamani,thamani ya utu kwao haipo,lakini,wasisahau kwamba hapa duniani tunapita tu
45 minutes ago Like
o
Julius Kalanga
toa posho yako we unayejilipa kukaa ikawalipe madaktari.we mh unatafuta umaarufu usistahili.leo uko mstari wa mbele kuhamasisha mgomo lakin .kule bungeni wakati wa kupitisha posho zenu ulikaa kimya na kukuabaliana na udhalimu mnaowafanyia watz na cha ajabu unakuja ktk media kipinga posho ambayo ulipitisha bumgeni
45 minutes ago Like 1
o
Baraka Mwago
Serikali na maafisa wao waandamizi hawaoni madhara ya mgomo huo kwa kuwa wakiiumwa hata kichwa tu wanakwenda India, kidole kikiuma anaita private dr nyumbani kwake, wengine wana Health Insurance za AAR, Strategies na zingine nyingi
44 minutes ago Like 1
o
Florah Amon Nkondola Sport
Nkya ndo anajifanya kiburi sana kaona unaibu wazir ndo kamaliza kila k2,c aliitwa don bosco,yeye kaenda kukodi ukumbi wake,sasa hawaumii wao tunaumia sisi 2lio chini na vpm vng hspl zngn hakuna mpaka mhimbil km vile TC Hind mandal hakuna mpaka mhimbili hapo Serikali watumie busara vngnvy hal itakuwa mbaya
44 minutes ago Like
o
Andrerw Zefania
niviongozi wachache wanaoweza kuiona busara hii,viongozi waserikali wameamua kumwaga ugali sasa madaktari wanamwaga mboga na wanao umia niwapiga kura wao,ila hii ndio safi maana watanzania wana endelea kujifunza kwa utendaji wa ccm
44 minutes ago Like
o
Kheri L. William
Sikatai mtu kudai haki yake but wewe kama kiongozi sikutegemea kufuraia vifo vya watanzania wenzako kwa kukosa uduma ya matibabu.imeonyesha unavyodhamin pesa kuliko uhai wa wenzeka.waliokupa dhamana du nawasikitikia.weka uzalendo mbele.nini pesa mbele ya uhai wa wezetu.
42 minutes ago Like 1
o
Mrimia Humphrey
dah ni hatari sana jana nimefiwa na mdogo wangu mwananyamala kwa mgomo wa madaktari hivi Dk kingwangala maslah yanasababisha misiba kwa maskini wasio na uwezo wa kwenda private hospital...
42 minutes ago Like 1
o
Kheri L. William
Sikatai mtu kudai haki yake but wewe kama kiongozi sikutegemea kufuraia vifo vya watanzania wenzako kwa kukosa uduma ya matibabu.imeonyesha unavyodhamin pesa kuliko uhai wa wenzeka.waliokupa dhamana du nawasikitikia.weka uzalendo mbele.nini pesa mbele ya uhai wa wezetu.
41 minutes ago Like
o
Ibrahim Silas
Kweli kaka
40 minutes ago Like
o
Julius Kalanga
mhamasishaji mkuu wa mgomo huu tangu mwanzo kwa kauli yake ni kigangwala.lakn naye ni dk aliyekimbia fani akaingia ktk siasa kwa kufuata maslahi.je yy km mwanataalum amewasaidiaj ktk kudai maslahi ya doctors kupitia uwakilishi wake bungeni
39 minutes ago Like 1
o
Monica Muhandikila
hapa ndo nimeamini fahari wawili wagombanapo ziumiazo ni nyasi. kila kukicha PINDA ANADAI SERIKALI YETU NI SIKIVU nashindwa kuelewa kama kwa sasa imekua kiziwi.
38 minutes ago Like
o
Geofrey Raymond
Dk Hamisi serikali ni nani na serikali ni ya nani!? ulitakiwa kufanya zaidi ya unavyofikiri chukua hatua acha kujaza jazba watu.
36 minutes ago Like 1
o
Richard Ntigwa
Hawana mpango hawa jamaa wa serikali wanaona halali kulipa posho za masaburi(makalio) bungen na kushindwa kuwalipa watu wanaovuja jasho la damu kuanzia kwenye masomo hadi kwenye kutoa huduma! Shame apon jk,pinda,mponda,nkya,nyoni na wale wo...See More
34 minutes ago Like
o
Salim 'Malcom X' Mshana
Kiukweli madaktari wetu wanapata tabu sana, ila nyia wanayotumia pia ina madhara makubwa sana.
33 minutes ago Like 1
o
Stephen Nyagonde Nilijua tu watasema wewe ndiyo muhamasishaji mkuu pole lakini.... ndiyo changamoto za kudai haki............ Hamisi Kigwangalla
33 minutes ago Like
o
Job Mkama Mhe. Hamisi Kigwangalla,
napenda sana ukweli na uwazi wako...viva mwana wa Kigwangalla!
32 minutes ago Like
o
Emmanuel Joseph Ntoga
We Dr. Mbona huoneshagi mfano Mjengoni? Kila hoja ni "ngu ngu ngu"unagonga meza na hao green shart wenzako.
Unatakiwa saa ingine unapinga mihoja isiyokuwa na tija kwa wananchi ikibidi hata kwa kutoka nje.
Hawa mambo yako ya kuja kutuandikia humu kwenye fb haisaidii ujue, tumekuchagua wewe ili uwaeleze viongozi wa SIRIKALI matatizo yetu kisha watusaidiem
31 minutes ago Like
o
Saul Mwaisenye
Ninaumizwa sana na hii khali, lakini naogopa kumlaumu Mama Nyoni au Lucy Nkya, kwani nahisi tatizo lipo nje ya uwezo wao, Mungu jalia Kigwangalla aukwae uwaziri tema wa afya tuone njia atakayo tumia, the system is worst my brother, na Romance zawewe kupata uwaziri kitaa zimezagaa sana, lets pray together,
28 minutes ago Like
o
Calvin Kelvin Adolph
Kila m1 kajifanya yupo kimya, pesa ipo ila inatumika sivyo,. Na ndipo akili inapofikiria mbali zaidi!!
28 minutes ago Like
o
Neema Wa Nyahari
HATA SISI WATANZANIA TUMEZIDI KUZUBAA. KAMA MADAKTARI WAMEGOMA, SERIKALI INAJITIA UKIIZIWI FAKE BASI NASIYE MASKINI WALALA HOI TUNGEKWENDA KULALA BARABARA ZOTE HAKUNA YOYOTE KWENDA POPOTE MPAKA WAGONJWA WETU WAPATE WA KUWATIBU HUKO MAHOSPI...See More
28 minutes ago Like 2
o
Shabir Issa Galula
Ukiacha unafiki na propaganda unaweza kuwa kiongozi kwa kiasi fulani.
26 minutes ago Like
o
Olivia Sanare
-mwanaharakati Kigwangala acha kutufanya wananchi wajinga jamanilabda unisaidie ubunge wako ni wa nin?wewe ni mmja wapo wa serikali umekuwa ukilalamika tuu humu fb bila kuchukua hatua,nyie endeleeni kucheza na akili zetu ipo siku umma utasimama
26 minutes ago Like
o
Neema Wa Nyahari
Kwani NYUMBA YA MIZENGO PINDA IKO MITAA IPI JAMANI? MI NATAKA NIKAMCHUKULIE KAMA WAGONJWA ISHIRINI MAHUTUTI NIMPELEKEE MLANGONI, NAMUACHIA HAPO. LABDA AKISHUHUDIA HIYO HALI AKILI YAKE ITAWAZA NA KUJUA NINI KINAENDELEA TANZANIA.
24 minutes ago Like 1
o
Ocemound Dyegura A
jamani cyo nia ya mgomo huu watu wafe, kumbuka unaongelea watu wanaooga damu, mikojo na vnyesi vya wagojwa kila cku na hatimaye kuweka maisha yao hatarini. Serikali imeambiwa muda mrefu japo serikali haitaki kuelewa. Ultaka wao wafanyeje uk...See More
22 minutes ago Like 1
o
Ramadhan Keya
Chanzo cha matatizo hapa ni ukimya ambao nadhani hauna tija. mm nadhan hata katka ngazi ya familia baba ukiwa na hali ngumu ya kiuchumi halafu usiwaambie wanafamilia, aidha unaruhusu mama akatafute njia za kujikimu nje, na watoto wataanza k...See More
21 minutes ago Like
o
Ocemound Dyegura A
jamani cyo nia ya mgomo huu watu wafe, kumbuka unaongelea watu wanaooga damu, mikojo na vnyesi vya wagojwa kila cku na hatimaye kuweka maisha yao hatarini. Serikali imeambiwa muda mrefu japo serikali haitaki kuelewa. Ultaka wao wafanyeje uk...See More
21 minutes ago Like
o
Hamisi Kigwangalla
Neema umenena. Ningetegemea wananchi waungane na madaktari waibane serikali na siyo wananchi wawalaumu madaktari kwa kudai haki yao. Wengi wao hapo walipo wameishaamua kuacha kazi serikalini baada ya hii crisis, sasa ulitegemea nini? mimi n...See More
19 minutes ago Like 4
o
Hamisi Kigwangalla
Katiba ya JMT, ibara ya 63 inasema serikali itawajibika kwa wananchi, pia bill of rights zilizomo kwenye katiba hiyo kuanzia ibara ya 14 - 17 zinaelezea haki za msingi za watanzania, na afya ikiwa ni mojawapo. sasa kama wananchi hawapati ha...See More
17 minutes ago Like 3
o
Emmanuel Joseph Ntoga
Hoja nzito sana imetolewa humu ndani kwaba WALALA HOI tutoke tukalale barabara zote muhimu nadhani hapo MaDr. Watasikilizwa?!NIMEIPENDA hiyo!
17 minutes ago Like
o
Olivia Sanare-
mwanaharakati sio unapingwa unashangaza coz wewe ni serikali na wewe ni dr ulitakiwa uoneshe juhudi zako katika kutatua hili jambo si kuja kuandika hapa fb play ur part as a mp kumbuka hili liko hadi nzega huwa unaniboa kuiattack serikali wakati wewe ni mmoja wapo and u can do something mbona kina january makamba wanauthubutu?
14 minutes ago Like 1
o
Uwesu Msanzya
sijui hii nchi ielekeapo kwa kweli maana kila mtu amekua mwanasiasa sikutegemea kama madaktari ambao mmesomeshwa kwa kodi za hao walala hoi ambao mishahara yao hata laki mbili haifiki leo mnawasaliti kwa kukataa kuwahudumia tafadhali tangulizeni ubinaadamu kwanza
13 minutes ago Like
o
Hamisi Kigwangalla
oliver sanare, nimeishachukua hatua za kuishauri kamati ya huduma za jamii iende kuwasikiliza madaktari! na iwahoji serikali wanasemaje?
11 minutes ago Like 1
o
Said Bombey
Kushika kinyesi ndio fani aliyochagua,tutatibiwa hata kwamitishamba watanzania tumekariri migomo.ma dr wote wanamaroho ya kinyama tu.huwezi ona mtu anakufa umpite kisa pesa kwani hawalipwi?au hawana viongozi.nikutaka kuonyesha kikwete hafai hakuna lolote.
9 minutes ago Like 1
o
Charles Matemba
Watanzania wasahaulifu sana,kumbukeni madaktari walishagoma nchi nzima na rais wakati huo mzee rhuksa akawa mgeni rasmi diamond onyesho la kanda bongoman,Pinda tunamwonea tu
8 minutes ago Like
o
Mrimia Humphrey
ambacho mimi ckielewi kingwangwala unalalamika kama co kiongozi,unapaswa utoe solution,wewe ni sehemu ya serikali inayolalamikiwa,unaacces na viongozi wa serikali hebu washauri jamani ndugu zetu wanaumia sana
7 minutes ago Like 1
o
Emmanuel Joseph Ntoga
MaMp wantaka posho sh 200,000/= per day MaDr mishahara yao ni...naogopa hata kusema maana ni aibu, afu wanafanya kazi siku zote na masaa yote!
Jamani serikali isiwe kiziwi iwasikie hawa MaDr wanateseka sana!
7 minutes ago Like 1
o
Joseph Kundy
Chonde chonde ,pande zote mbili zikutane zikubaliane ,hapa watanzania wengi watazidi kuumia
5 minutes ago Like
o
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, wewe unafanya kazi yako bila kulipwa? ama kwa vile kazi ya Dr ni kutibu wagonjwa ndiyo maana yeye analazimika kufia hospitali kwa njaa? acheni ubinafsi jamani, toeni kauli za kuitaka serikali iwapeni haki ya kutibu maana hao m...See More
5 minutes ago Like
o
Uwesu Msanzya
hivi kweli mnayo hakika kuwa madaktari wanateseka? hebu fanya utafiti kwanza kati ya madaktari na walimu na wao nani anateseka? sema na wao wamekua wanasiasa thuswhy hawana uzalendo wala ubinaadamu miyoni mwao
3 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
hebu jiulize katika miaka mitano iliyopita wamezalishwa madaktari zaidi ya 2000, walioajiriwa serikalini kuhudumia watanzania hawafiki 100, unadhani ni kwa nini? Na walioacha kazi ni zaidi ya 100, walioenda nje ya nchi na ambao mimi ninawafahamu ni zaidi ya 20, na walioacha kazi na kufanya biashara kariakoo ni watatu, walioingia kwenye mashirika ya miradi ni zaidi ya 1000! Bado tu kaka haulioni tatizo hapo?????
3 minutes ago Like 1
Said Bombey
Muheshimiwa wakitoka hao ma dr watakuja police tena na wanajesheshi ndio tunapoelekea hizo posho zenu ndio zinaleta mambo.
about a minute ago
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, speaking of posho: Daktari anafanya kazi masaa 36 akiwa zamu na analipwa TZS 10,000 na Mbunge akiwa kazini kwenye shughuli ya Bunge anafanya kazi masaa 8 tu kwa siku, analipwa TZS 200,000! Wakati huo huo Mkurugenzi na Engineer wa Halmashauri wakikaa kwenye Road Board wanalipwa zaidi ya 300,000 kwa siku! Sitaki kuongelea hapa wataalamu wengine wote ambao wanashirikia kwenye masemina na mawarsha elekezi kwa masaa machache wanalipwa sh ngapi!
a few seconds ago Like
Neema Wa Nyahari
KINACHONISHANGAZA NIJINSI GANI HUYU HAMISI ANALAUMIWA KWANINI HAJAISHAURI SERIKALI. Ahahahaahahaahaah! Duh! Serikali ya JK na mwenzie MPP. Inasikia la mkuu hiyo???? Kama watu wanakufa na wanasikia wala hawashtuki ndo Hamisi akaongee!!! Wata...See More
a few seconds ago Like
Emmanuel Joseph Ntoga
Hata walimu wakiuvaa ujasiri kidogo tu, mbona watagoma maana nao wako kwenye fukuto hili la mgomo sema tu huwa wanaogopa kidogo!
Rogers Machimu
‎Hamisi Kigwangalla unajua watu wanazungumza hapa hawajua kinagaubaga haya madai siyo mapya ni ya siku nyingi ila watu wamejitia ukiziwi.....mimi nasema wanaolaumu madaktari ni kwa sababu KITANDA USICHOKILALIA HUJUI KUNGUNI WAKE......
a few seconds ago Like
Amon Petro
Sidhani kama kuna haja ya kumlaumu Dr. Hamisi Kigwangalla, kuna haja ya kuangalia hili tatizo la migomo isiyokwisha kwa mapana yake, tukiamua kuwaangalia madokta waliogoma kama tatizo tunakosea, mgomo wa madokta ni matokeo ya tatizo, la msingi hapa ni kutatua hicho kiini cha matatizo ili mwisho wa siku hii migomo iwe historia.
2 seconds ago Like
Hamisi Kigwangalla
Neema umenena. Ningetegemea wananchi waungane na madaktari waibane serikali na siyo wananchi wawalaumu madaktari kwa kudai haki yao. Wengi wao hapo walipo wameishaamua kuacha kazi serikalini baada ya hii crisis, sasa ulitegemea nini? mimi niunge mkono serikali, kwa nini haswa kwenye hili? Steve, usijali sana kuna watu hawaelewi na kuna wengine ni wapinga Kigwangalla kwenye kila kitu, sasa hao hawaninyimi usingizi! Nilishawaacha tu. Nawaonea huruma. Huwezi kumlazimisha Daktari akiwa ana njaa eti kwa kuwa kazi yake ni ya wito, mpe wito card sasa awe anatumia! Article 23 ya Universal delcalartion of human rights inatambua haki za kila anayefanya kazi, kwa kutaka apewe ujira unaoendana na kazi yake. Kumnyima mshahara ni sawa na kumnyima haki ya kula ama ya kuishi!
about an hour ago Like 6
Hamisi Kigwangalla
Katiba ya JMT, ibara ya 63 inasema serikali itawajibika kwa wananchi, pia bill of rights zilizomo kwenye katiba hiyo kuanzia ibara ya 14 - 17 zinaelezea haki za msingi za watanzania, na afya ikiwa ni mojawapo. sasa kama wananchi hawapati haki yao, wanatakiwa wakaidai kwa serikali na wala siyo kwa madaktari! Daktari hana dhamana yoyote ile kwa wananchi wagonjwa...ninarudia tena mwenye dhamana hiyo ni serikali! ni serikali! ni serikali! Tusichanganye mambo kama vile hatukwenda shule ama hatusomi na kuelewa vitabu
59 minutes ago Like 3
Emmanuel Joseph Ntoga
Hoja nzito sana imetolewa humu ndani kwaba WALALA HOI tutoke tukalale barabara zote muhimu nadhani hapo MaDr. Watasikilizwa?!NIMEIPENDA hiyo!
59 minutes ago Like
Olivia Sanare-mwanaharakati sio unapingwa unashangaza coz wewe ni serikali na wewe ni dr ulitakiwa uoneshe juhudi zako katika kutatua hili jambo si kuja kuandika hapa fb play ur part as a mp kumbuka hili liko hadi nzega huwa unaniboa kuiattack serikali wakati wewe ni mmoja wapo and u can do something mbona kina january makamba wanauthubutu?
57 minutes ago Like 1
Uwesu Msanzya sijui hii nchi ielekeapo kwa kweli maana kila mtu amekua mwanasiasa sikutegemea kama madaktari ambao mmesomeshwa kwa kodi za hao walala hoi ambao mishahara yao hata laki mbili haifiki leo mnawasaliti kwa kukataa kuwahudumia tafadhali tangulizeni ubinaadamu kwanza
55 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla oliver sanare, nimeishachukua hatua za kuishauri kamati ya huduma za jamii iende kuwasikiliza madaktari! na iwahoji serikali wanasemaje?
55 minutes ago Like 1
Said Bombey Kushika kinyesi ndio fani aliyochagua,tutatibiwa hata kwamitishamba watanzania tumekariri migomo.ma dr wote wanamaroho ya kinyama tu.huwezi ona mtu anakufa umpite kisa pesa kwani hawalipwi?au hawana viongozi.nikutaka kuonyesha kikwete hafai hakuna lolote.
53 minutes ago Like 1
Said Bombey Kushika kinyesi ndio fani aliyochagua,tutatibiwa hata kwamitishamba watanzania tumekariri migomo.ma dr wote wanamaroho ya kinyama tu.huwezi ona mtu anakufa umpite kisa pesa kwani hawalipwi?au hawana viongozi.nikutaka kuonyesha kikwete hafai hakuna lolote.
52 minutes ago Like
Charles Matemba Watanzania wasahaulifu sana,kumbukeni madaktari walishagoma nchi nzima na rais wakati huo mzee rhuksa akawa mgeni rasmi diamond onyesho la kanda bongoman,Pinda tunamwonea tu
52 minutes ago Like
Mrimia Humphrey ambacho mimi ckielewi kingwangwala unalalamika kama co kiongozi,unapaswa utoe solution,wewe ni sehemu ya serikali inayolalamikiwa,unaacces na viongozi wa serikali hebu washauri jamani ndugu zetu wanaumia sana
51 minutes ago Like 1
Emmanuel Joseph Ntoga MaMp wantaka posho sh 200,000/= per day MaDr mishahara yao ni...naogopa hata kusema maana ni aibu, afu wanafanya kazi siku zote na masaa yote!
Jamani serikali isiwe kiziwi iwasikie hawa MaDr wanateseka sana!
51 minutes ago Like 1
Joseph Kundy Chonde chonde ,pande zote mbili zikutane zikubaliane ,hapa watanzania wengi watazidi kuumia
49 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, wewe unafanya kazi yako bila kulipwa? ama kwa vile kazi ya Dr ni kutibu wagonjwa ndiyo maana yeye analazimika kufia hospitali kwa njaa? acheni ubinafsi jamani, toeni kauli za kuitaka serikali iwapeni haki ya kutibu maana hao madaktari wengi wao wameishakata tamaa na hawataki tena ajira za hapa nchini! sasa mtatitibiwa na nani anyway? Ukijua ni kwa muda wa miaka mingapi wamekuwa wakifuatilia haya madai yao kwa kutuma wawakilishi ungeshangaa kwa nini hawakuacha kazi siku nyingi!
49 minutes ago Like 1
Uwesu Msanzya hivi kweli mnayo hakika kuwa madaktari wanateseka? hebu fanya utafiti kwanza kati ya madaktari na walimu na wao nani anateseka? sema na wao wamekua wanasiasa thuswhy hawana uzalendo wala ubinaadamu miyoni mwao
47 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla hebu jiulize katika miaka mitano iliyopita wamezalishwa madaktari zaidi ya 2000, walioajiriwa serikalini kuhudumia watanzania hawafiki 100, unadhani ni kwa nini? Na walioacha kazi ni zaidi ya 100, walioenda nje ya nchi na ambao mimi ninawafahamu ni zaidi ya 20, na walioacha kazi na kufanya biashara kariakoo ni watatu, walioingia kwenye mashirika ya miradi ni zaidi ya 1000! Bado tu kaka haulioni tatizo hapo?????
46 minutes ago Like 2
Lubango Joshua hawa wanaokabidhiwa hizi nyzifa wana sifa hizo.....
45 minutes ago Like
Said Bombey Muheshimiwa wakitoka hao ma dr watakuja police tena na wanajesheshi ndio tunapoelekea hizo posho zenu ndio zinaleta mambo.
45 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, speaking of posho: Daktari anafanya kazi masaa 36 akiwa zamu na analipwa TZS 10,000 na Mbunge akiwa kazini kwenye shughuli ya Bunge anafanya kazi masaa 8 tu kwa siku, analipwa TZS 200,000! Wakati huo huo Mkurugenzi na Engineer wa Halmashauri wakikaa kwenye Road Board wanalipwa zaidi ya 300,000 kwa siku! Sitaki kuongelea hapa wataalamu wengine wote ambao wanashirikia kwenye masemina na mawarsha elekezi kwa masaa machache wanalipwa sh ngapi!
40 minutes ago Like 1
Neema Wa Nyahari
KINACHONISHANGAZA NIJINSI GANI HUYU HAMISI ANALAUMIWA KWANINI HAJAISHAURI SERIKALI. Ahahahaahahaahaah! Duh! Serikali ya JK na mwenzie MPP. Inasikia la mkuu hiyo???? Kama watu wanakufa na wanasikia wala hawashtuki ndo Hamisi akaongee!!! Wata...See More
40 minutes ago Like 2
Emmanuel Joseph
Ntoga Hata walimu wakiuvaa ujasiri kidogo tu, mbona watagoma maana nao wako kwenye fukuto hili la mgomo sema tu huwa wanaogopa kidogo!
39 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
walimu madai yao yamelipwa last wiki!
39 minutes ago Like
Rogers Machimu ‎Hamisi Kigwangalla unajua watu wanazungumza hapa hawajua kinagaubaga haya madai siyo mapya ni ya siku nyingi ila watu wamejitia ukiziwi.....mimi nasema wanaolaumu madaktari ni kwa sababu KITANDA USICHOKILALIA HUJUI KUNGUNI WAKE......
39 minutes ago Like
Amon Petro Sidhani kama kuna haja ya kumlaumu Dr. Hamisi Kigwangalla, kuna haja ya kuangalia hili tatizo la migomo isiyokwisha kwa mapana yake, tukiamua kuwaangalia madokta waliogoma kama tatizo tunakosea, mgomo wa madokta ni matokeo ya tatizo, la msingi hapa ni kutatua hicho kiini cha matatizo ili mwisho wa siku hii migomo iwe historia.
38 minutes ago Like
Lubango Joshua wabunge kudai laki 2 ulikuwa ni ufinyu wa mawazo yenu na kuweka mbele matumbo na kufikiria miradi yenu bila kujari wengine.....tatizo ni kujiwazia nyie tu.....haya yote ni posho zenu....hii nchi inakwenda wapii
35 minutes ago Like
Mohamed Arfi TATIZO IZARA YA AFYA NI BLANDINA NYONI
35 minutes ago Like
Said Bombey Lazima tuwalaumu ma dr sababu hawana huruma,pesa wanalipwa sema wanataka kuwa wanasiasa.
34 minutes ago Like
Fortunatus Kudela Kama Gov wanazo hizo takwimu halafu hawataki kutafuta suluhu. Sisi walala hoi tunapata shida sana kuelewa. Na ndiyo maana migomo inapamba moto kila kona. Hebu serikali kaeni mezani na hao madaktari mtatue kero zao.
34 minutes ago Like
Said Bombey Lazima tuwalaumu ma dr sababu hawana huruma,pesa wanalipwa sema wanataka kuwa wanasiasa.
33 minutes ago Like
Fue F Fue CCM wote ni wanafiki na wahuni wahujumu na hamna huruma ni wasanii wauza roho za watanzania
32 minutes ago Like 1
Ramadhan Keya Neema nafikiri unaelekea pabaya zaidi, kwa sababu moto huwa hauzimwi kwa petroli bali maji, sasa naona wewe unataka kumwagia petrol. kudai haki siyo dhambi ila namna ya kudai haki ndiyo wote tunatakiwa tubrainstorm ili kila upande upate haki yake yaani win-win situation bila kuleta madhara makubwa zaidi, jatahidi kucontroll imotion zake, vinginevyo utaonekana kama mshabiki na sio mpigania haki.
32 minutes ago Like 1
Saul Mwaisenye
Haya unayo yaandika humu ungekuwa unayapeleka MJENGONI au kwa kuwa una access yakuchati na Ba Riz 1 ungemfikishia, kwani sisi hatuna chakufanya zaidi zaidi unaendelea kutuchanganya kwani nawewe ni sehemu ya watawala tena wakubwa, Gomeni tu ...See More
31 minutes ago Like 1
Neema Wa Nyahari Said Bombey nanukuu "KITANDA USICHOKILALIA HUJUI KUNGUNI WAKE".
31 minutes ago Like 1
Fue F Fue
Watanzania longolongo nyingi na wavivu wa kufikiri na hatuwezi kuchukua maamuzi magumu. Kwanini tusiandamane mpka ikulu???
29 minutes ago Like
David Amani Kinyongoh
Mkuu nina shaka kama hilo jimbo mwaka 2015 utalipata tena..kwa siasa za chuki za CCM unapoongea ukweli ni ngumu kuamini..ila nakupongeza kwa maamuzi magumu unayoyachukua.
27 minutes ago Like
Nelson Mmari
‎Hamisi Kigwangalla naumia sana kuona uozo huu wa serikali lakini muda ukifika msiseme hatukuwaonya
26 minutes ago Like
Deus Amani Jr.
Mlipoongezewa posho hamkukaa meza moja na serikali kujadili! Mishahara yenu ya kufuru hamkukaa meza moja na kujadili... Eti kwa madaktari mnataka watumie Busara wakakae mezani na serikali kujadili.. Wakajadili nini wakati Serikali ilishasem...See More
23 minutes ago Like
Zuberi Lujina
BUSARA ITUMIKE NDUGU ZANGUNI, HAKI YA MASLAHI NI MUHIMU BUT PIA HAKI YA MAISHA NI MUHIMU SANA. CHONDE CHONDE PANDE ZOTE.
21 minutes ago Like
Neema Wa Nyahari
Kama udaktari ni wito Mbona wengine wakimbia wamekwenda kuwa wabunge....hihihihihi! Samahani Dr. Hamis hapa kidpogo nimekosa uvumilivu.
20 minutes ago Like 1
Said Bombey
Mi nashauri mtembee kidogo nchi za afrika muone maisha ndio muiseme serikali vibaya.tushukuru mungu kuzaliwa tanzania.kitanda cha kunguni,chawa vyote nimelalia ndio mana nawasihi msivuruge nchi yenu.maandamano sio silaha mtazidi jiumiza tu
19 minutes ago Like
Shaaban Zangira
Nimekufuatilia sna,nimegundua kuwa ww ni m2 mwenyemsimamo thabit na uwez kuwaeuka wenzako kwaajili ya cheo/madalaka yko
17 minutes ago Like
Deus Amani Jr. ‎...
.Said najua unayasema hayo kwa kulinda kofia za waliokufanya ukawa ulivyo.... Wanaoumia nao wanatamani kukuona wakurarue wewe na unaowakingia kifua.. Take care!
15 minutes ago Like
Frank Mhilu
twafa, yarabi toba......
14 minutes ago Like
Rogers Machimu
watu mnasema madaktari watumie busara kuokoa maisha ya watanzania kwanini serikali nayenyewe isitumie busara hiyohiyo kuokoa maisha ya watanzania,Kabla mgomo kutukia serikali wamefuatwa mara ngapi kwa ajili ya mazungumzo au mnazani hawa ni wanasiasa?
13 minutes ago Like 1
Sefu Kulunge
MIMI NAZANI MADAKTARI WAKUIGE WEWE WARUDI MAJIMBONI ILI WAINGIE MJENGONI HUKO KILA KITU KAMA UNAKULA UGALI KWA MRENDA VILE
13 minutes ago Like 1
Maggid Mjengwa ‎
" Nendeni mezani, myazungumze, myamalize"- Hamis Kingwangalla. Hiyo ni hekima, yapaswa itangulizwe.
11 minutes ago Like 1
Innocent Kimaro
‎@Mh mbunge kwakuwa hapo yupo mpiga kura wako ndio maana unaongea siyo? Mi ningependa waendelee kugoma ili walipwe mshahara mzuri tofauti nyie mnaopiga makofi mnataka laki mbili
10 minutes ago Like
Nelson Mmari Maggid,
Hakuna cha kuzungumza wameshazungumza sana, sasa sisi wananchi tuifanya serikali izungumze, sms inazunguka jumtatu maandamano ya kitaifa
9 minutes ago Like 1
Grace Ngopola
jaman watu wanakufa kweli pale muhimbili, unajua serikali inajiangalia yenyewe na si wananchi wanaowatizama, kwan wao wanashida gan akitokea mmoja kazidiwa wanampeleka India ss tunakufa jaman tusaidiane nakuoneana huruma
9 minutes ago Like
Victor Ngukulu Nkonya
unajua Serikali inacheza na watu wake sisi ndo mwajiri wao, jamani tufanye maamuzi magumu watu wanaokufa si kwa mapenzi ya Mungu
8 minutes ago Like 1
Nelson Mmari
jumatatu barabarani ndio maamuzi magumu kama utalalama utakaa milele
7 minutes ago Like
Neema Wa Nyahari SAID BOMBEY "KAMA MBWAI NA IWE MBWAI" KITU GANI BHANA. NAWAKUMBUKA SANA WALE NDUGU ZANGU "WAGOSI WA KAYA" WALISEMA NA WALIJARIBU KUONESHA NINI KINAPASWA KIANGALIWE KUPITIA MASHAIRI YALE WALIYOTUNGIWA NA BABU YETU MZEE FUMBUKA LUBASA......NAWAKUMBUKA JAMANI NAWAKUMBUKA. TULIKUWA TUNAONA KAMA MZIIKI TU LAKINI MANENO YALE KAMA YANGEKUWA YAMEWAINGIA WATU VIZURI LABDA KUNGEKUWA KUMELEEWEKA JAMBO!
6 minutes ago Like 1
Innocent Kimaro wache watu wafe wangap wamekufa na serikali wamchukua hatua gani? Haina haja madaktari kwenda mezani waendelee kugoma tuone hiyo jeuri ya serikali na chama chake ''CHUKUA CHAKO MAPEMA''
Saul Mwaisenye Huu ni MGOMO wa madaktari kutotibu maskini, kwani matajiri wanakuja kwenye hospitali zenu BINAFSI, Maskini tunaendelea kusubiri mmalize SIASA zenu mtatukuta, mkikuta tumekufa basi mtuombee kwa MUNGU.
8 minutes ago Like
Neema Wa Nyahari Nelson Mmari tuwasiliane vizuri!
7 minutes ago Like
Edna Paul Viongozi wa serikali yetu hawana uchungu hata kidogo na mahospitali yetu wala madoctor wetu. Siku ambayo wafanyakazi wa hospitali ya Apollo huko India wakiGOMA kama hapa Tanzania, ndipo viongozi wetu watakapoanza kuzithamini hospitali zetu....lakini kama Apollo ya India hawatakuja kugoma basi tusahau huduma bora kwenye vituo vyetu vya afya! kwani wao wataendelea kutibiwa huko India.....Tafakari!
6 minutes ago Like
Innocent Kimaro ‎@saul saluti kwa point yako.Nchi hii imetumbukia shimoni bado mtu anasafiri kwa sfari ambazo hazina tija kwa taifa... Wao wakiumwa wanakwenda india wananchi tumien haki yenu katika mwaka 2015
5 minutes ago Like
Edna Paul Madaktani wapige marufuku serikali kutumia hospitali kuu nchini kama STAND za kuwapeleka wakubwa nje ya nchi kutibiwa na kupelekea kutohamasika kuboresha hospitali nchini, alaa
about a minute ago Like
Didier Abdallah Unajua wewe napata mashaka sana na u dr wako sijui uliupata wapi..? Wewe juzi si umeweka post hapa kuhimiza madaktari wagome leo unaanza kuongea matapishi hapa..hebu toa propaganda zako za sokoni hapa
Madaktari wameamua kuwa nafaka ya Ngano, wafe ili wazae nafaka nyingi zaidi! Serikali imeweka pamba masikioni, miwani ya mbao machoni...nani anaumia hapa sasa? Hebu nendeni mezani jamani, myazungumze, myamalize...kuna mpiga kura wangu anahitaji surgery pale MOI...hana kosa lolote huyu ndg yangu! Baba Pinda, Mtoto wa Mkulima, tumia busara zako vizuri waite hawa watu wako Mzee!
COMMENTS ZAKE
Like Unfollow Post Share 51 minutes ago
23 people like this.
1 share
o
Rogers Machimu siyo awaite awafuate si walimfuata akajifanya jeuri
49 minutes ago Like 5
o
Juma Magayane Khalfani hii ni hatari
47 minutes ago Like
o
Eliningaya Kweka
hakuna aliye na uwezo busara hizo kwa sasa, tungoje maafa tu kwa wakulima.
47 minutes ago Like
o
Edward Malando
Awafuate hata kama hawakumuita. Uongozi sio kiburi jamani.
46 minutes ago Like
o
Hamidu Said
Madaktari inabidi wajue wanaoumia hawana hatia ndio wanamadai ya mcng lakini hii co njia muafaka ya kudai haki wanawaumiza na wengne wanakufa wanyonge wenze2 watafute njia nyingne ya kuishindikiza serikali na co hii
45 minutes ago Like 1
o
Felista Steven
Ligwa jamani,thamani ya utu kwao haipo,lakini,wasisahau kwamba hapa duniani tunapita tu
45 minutes ago Like
o
Julius Kalanga
toa posho yako we unayejilipa kukaa ikawalipe madaktari.we mh unatafuta umaarufu usistahili.leo uko mstari wa mbele kuhamasisha mgomo lakin .kule bungeni wakati wa kupitisha posho zenu ulikaa kimya na kukuabaliana na udhalimu mnaowafanyia watz na cha ajabu unakuja ktk media kipinga posho ambayo ulipitisha bumgeni
45 minutes ago Like 1
o
Baraka Mwago
Serikali na maafisa wao waandamizi hawaoni madhara ya mgomo huo kwa kuwa wakiiumwa hata kichwa tu wanakwenda India, kidole kikiuma anaita private dr nyumbani kwake, wengine wana Health Insurance za AAR, Strategies na zingine nyingi
44 minutes ago Like 1
o
Florah Amon Nkondola Sport
Nkya ndo anajifanya kiburi sana kaona unaibu wazir ndo kamaliza kila k2,c aliitwa don bosco,yeye kaenda kukodi ukumbi wake,sasa hawaumii wao tunaumia sisi 2lio chini na vpm vng hspl zngn hakuna mpaka mhimbil km vile TC Hind mandal hakuna mpaka mhimbili hapo Serikali watumie busara vngnvy hal itakuwa mbaya
44 minutes ago Like
o
Andrerw Zefania
niviongozi wachache wanaoweza kuiona busara hii,viongozi waserikali wameamua kumwaga ugali sasa madaktari wanamwaga mboga na wanao umia niwapiga kura wao,ila hii ndio safi maana watanzania wana endelea kujifunza kwa utendaji wa ccm
44 minutes ago Like
o
Kheri L. William
Sikatai mtu kudai haki yake but wewe kama kiongozi sikutegemea kufuraia vifo vya watanzania wenzako kwa kukosa uduma ya matibabu.imeonyesha unavyodhamin pesa kuliko uhai wa wenzeka.waliokupa dhamana du nawasikitikia.weka uzalendo mbele.nini pesa mbele ya uhai wa wezetu.
42 minutes ago Like 1
o
Mrimia Humphrey
dah ni hatari sana jana nimefiwa na mdogo wangu mwananyamala kwa mgomo wa madaktari hivi Dk kingwangala maslah yanasababisha misiba kwa maskini wasio na uwezo wa kwenda private hospital...
42 minutes ago Like 1
o
Kheri L. William
Sikatai mtu kudai haki yake but wewe kama kiongozi sikutegemea kufuraia vifo vya watanzania wenzako kwa kukosa uduma ya matibabu.imeonyesha unavyodhamin pesa kuliko uhai wa wenzeka.waliokupa dhamana du nawasikitikia.weka uzalendo mbele.nini pesa mbele ya uhai wa wezetu.
41 minutes ago Like
o
Ibrahim Silas
Kweli kaka
40 minutes ago Like
o
Julius Kalanga
mhamasishaji mkuu wa mgomo huu tangu mwanzo kwa kauli yake ni kigangwala.lakn naye ni dk aliyekimbia fani akaingia ktk siasa kwa kufuata maslahi.je yy km mwanataalum amewasaidiaj ktk kudai maslahi ya doctors kupitia uwakilishi wake bungeni
39 minutes ago Like 1
o
Monica Muhandikila
hapa ndo nimeamini fahari wawili wagombanapo ziumiazo ni nyasi. kila kukicha PINDA ANADAI SERIKALI YETU NI SIKIVU nashindwa kuelewa kama kwa sasa imekua kiziwi.
38 minutes ago Like
o
Geofrey Raymond
Dk Hamisi serikali ni nani na serikali ni ya nani!? ulitakiwa kufanya zaidi ya unavyofikiri chukua hatua acha kujaza jazba watu.
36 minutes ago Like 1
o
Richard Ntigwa
Hawana mpango hawa jamaa wa serikali wanaona halali kulipa posho za masaburi(makalio) bungen na kushindwa kuwalipa watu wanaovuja jasho la damu kuanzia kwenye masomo hadi kwenye kutoa huduma! Shame apon jk,pinda,mponda,nkya,nyoni na wale wo...See More
34 minutes ago Like
o
Salim 'Malcom X' Mshana
Kiukweli madaktari wetu wanapata tabu sana, ila nyia wanayotumia pia ina madhara makubwa sana.
33 minutes ago Like 1
o
Stephen Nyagonde Nilijua tu watasema wewe ndiyo muhamasishaji mkuu pole lakini.... ndiyo changamoto za kudai haki............ Hamisi Kigwangalla
33 minutes ago Like
o
Job Mkama Mhe. Hamisi Kigwangalla,
napenda sana ukweli na uwazi wako...viva mwana wa Kigwangalla!
32 minutes ago Like
o
Emmanuel Joseph Ntoga
We Dr. Mbona huoneshagi mfano Mjengoni? Kila hoja ni "ngu ngu ngu"unagonga meza na hao green shart wenzako.
Unatakiwa saa ingine unapinga mihoja isiyokuwa na tija kwa wananchi ikibidi hata kwa kutoka nje.
Hawa mambo yako ya kuja kutuandikia humu kwenye fb haisaidii ujue, tumekuchagua wewe ili uwaeleze viongozi wa SIRIKALI matatizo yetu kisha watusaidiem
31 minutes ago Like
o
Saul Mwaisenye
Ninaumizwa sana na hii khali, lakini naogopa kumlaumu Mama Nyoni au Lucy Nkya, kwani nahisi tatizo lipo nje ya uwezo wao, Mungu jalia Kigwangalla aukwae uwaziri tema wa afya tuone njia atakayo tumia, the system is worst my brother, na Romance zawewe kupata uwaziri kitaa zimezagaa sana, lets pray together,
28 minutes ago Like
o
Calvin Kelvin Adolph
Kila m1 kajifanya yupo kimya, pesa ipo ila inatumika sivyo,. Na ndipo akili inapofikiria mbali zaidi!!
28 minutes ago Like
o
Neema Wa Nyahari
HATA SISI WATANZANIA TUMEZIDI KUZUBAA. KAMA MADAKTARI WAMEGOMA, SERIKALI INAJITIA UKIIZIWI FAKE BASI NASIYE MASKINI WALALA HOI TUNGEKWENDA KULALA BARABARA ZOTE HAKUNA YOYOTE KWENDA POPOTE MPAKA WAGONJWA WETU WAPATE WA KUWATIBU HUKO MAHOSPI...See More
28 minutes ago Like 2
o
Shabir Issa Galula
Ukiacha unafiki na propaganda unaweza kuwa kiongozi kwa kiasi fulani.
26 minutes ago Like
o
Olivia Sanare
-mwanaharakati Kigwangala acha kutufanya wananchi wajinga jamanilabda unisaidie ubunge wako ni wa nin?wewe ni mmja wapo wa serikali umekuwa ukilalamika tuu humu fb bila kuchukua hatua,nyie endeleeni kucheza na akili zetu ipo siku umma utasimama
26 minutes ago Like
o
Neema Wa Nyahari
Kwani NYUMBA YA MIZENGO PINDA IKO MITAA IPI JAMANI? MI NATAKA NIKAMCHUKULIE KAMA WAGONJWA ISHIRINI MAHUTUTI NIMPELEKEE MLANGONI, NAMUACHIA HAPO. LABDA AKISHUHUDIA HIYO HALI AKILI YAKE ITAWAZA NA KUJUA NINI KINAENDELEA TANZANIA.
24 minutes ago Like 1
o
Ocemound Dyegura A
jamani cyo nia ya mgomo huu watu wafe, kumbuka unaongelea watu wanaooga damu, mikojo na vnyesi vya wagojwa kila cku na hatimaye kuweka maisha yao hatarini. Serikali imeambiwa muda mrefu japo serikali haitaki kuelewa. Ultaka wao wafanyeje uk...See More
22 minutes ago Like 1
o
Ramadhan Keya
Chanzo cha matatizo hapa ni ukimya ambao nadhani hauna tija. mm nadhan hata katka ngazi ya familia baba ukiwa na hali ngumu ya kiuchumi halafu usiwaambie wanafamilia, aidha unaruhusu mama akatafute njia za kujikimu nje, na watoto wataanza k...See More
21 minutes ago Like
o
Ocemound Dyegura A
jamani cyo nia ya mgomo huu watu wafe, kumbuka unaongelea watu wanaooga damu, mikojo na vnyesi vya wagojwa kila cku na hatimaye kuweka maisha yao hatarini. Serikali imeambiwa muda mrefu japo serikali haitaki kuelewa. Ultaka wao wafanyeje uk...See More
21 minutes ago Like
o
Hamisi Kigwangalla
Neema umenena. Ningetegemea wananchi waungane na madaktari waibane serikali na siyo wananchi wawalaumu madaktari kwa kudai haki yao. Wengi wao hapo walipo wameishaamua kuacha kazi serikalini baada ya hii crisis, sasa ulitegemea nini? mimi n...See More
19 minutes ago Like 4
o
Hamisi Kigwangalla
Katiba ya JMT, ibara ya 63 inasema serikali itawajibika kwa wananchi, pia bill of rights zilizomo kwenye katiba hiyo kuanzia ibara ya 14 - 17 zinaelezea haki za msingi za watanzania, na afya ikiwa ni mojawapo. sasa kama wananchi hawapati ha...See More
17 minutes ago Like 3
o
Emmanuel Joseph Ntoga
Hoja nzito sana imetolewa humu ndani kwaba WALALA HOI tutoke tukalale barabara zote muhimu nadhani hapo MaDr. Watasikilizwa?!NIMEIPENDA hiyo!
17 minutes ago Like
o
Olivia Sanare-
mwanaharakati sio unapingwa unashangaza coz wewe ni serikali na wewe ni dr ulitakiwa uoneshe juhudi zako katika kutatua hili jambo si kuja kuandika hapa fb play ur part as a mp kumbuka hili liko hadi nzega huwa unaniboa kuiattack serikali wakati wewe ni mmoja wapo and u can do something mbona kina january makamba wanauthubutu?
14 minutes ago Like 1
o
Uwesu Msanzya
sijui hii nchi ielekeapo kwa kweli maana kila mtu amekua mwanasiasa sikutegemea kama madaktari ambao mmesomeshwa kwa kodi za hao walala hoi ambao mishahara yao hata laki mbili haifiki leo mnawasaliti kwa kukataa kuwahudumia tafadhali tangulizeni ubinaadamu kwanza
13 minutes ago Like
o
Hamisi Kigwangalla
oliver sanare, nimeishachukua hatua za kuishauri kamati ya huduma za jamii iende kuwasikiliza madaktari! na iwahoji serikali wanasemaje?
11 minutes ago Like 1
o
Said Bombey
Kushika kinyesi ndio fani aliyochagua,tutatibiwa hata kwamitishamba watanzania tumekariri migomo.ma dr wote wanamaroho ya kinyama tu.huwezi ona mtu anakufa umpite kisa pesa kwani hawalipwi?au hawana viongozi.nikutaka kuonyesha kikwete hafai hakuna lolote.
9 minutes ago Like 1
o
Charles Matemba
Watanzania wasahaulifu sana,kumbukeni madaktari walishagoma nchi nzima na rais wakati huo mzee rhuksa akawa mgeni rasmi diamond onyesho la kanda bongoman,Pinda tunamwonea tu
8 minutes ago Like
o
Mrimia Humphrey
ambacho mimi ckielewi kingwangwala unalalamika kama co kiongozi,unapaswa utoe solution,wewe ni sehemu ya serikali inayolalamikiwa,unaacces na viongozi wa serikali hebu washauri jamani ndugu zetu wanaumia sana
7 minutes ago Like 1
o
Emmanuel Joseph Ntoga
MaMp wantaka posho sh 200,000/= per day MaDr mishahara yao ni...naogopa hata kusema maana ni aibu, afu wanafanya kazi siku zote na masaa yote!
Jamani serikali isiwe kiziwi iwasikie hawa MaDr wanateseka sana!
7 minutes ago Like 1
o
Joseph Kundy
Chonde chonde ,pande zote mbili zikutane zikubaliane ,hapa watanzania wengi watazidi kuumia
5 minutes ago Like
o
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, wewe unafanya kazi yako bila kulipwa? ama kwa vile kazi ya Dr ni kutibu wagonjwa ndiyo maana yeye analazimika kufia hospitali kwa njaa? acheni ubinafsi jamani, toeni kauli za kuitaka serikali iwapeni haki ya kutibu maana hao m...See More
5 minutes ago Like
o
Uwesu Msanzya
hivi kweli mnayo hakika kuwa madaktari wanateseka? hebu fanya utafiti kwanza kati ya madaktari na walimu na wao nani anateseka? sema na wao wamekua wanasiasa thuswhy hawana uzalendo wala ubinaadamu miyoni mwao
3 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
hebu jiulize katika miaka mitano iliyopita wamezalishwa madaktari zaidi ya 2000, walioajiriwa serikalini kuhudumia watanzania hawafiki 100, unadhani ni kwa nini? Na walioacha kazi ni zaidi ya 100, walioenda nje ya nchi na ambao mimi ninawafahamu ni zaidi ya 20, na walioacha kazi na kufanya biashara kariakoo ni watatu, walioingia kwenye mashirika ya miradi ni zaidi ya 1000! Bado tu kaka haulioni tatizo hapo?????
3 minutes ago Like 1
Said Bombey
Muheshimiwa wakitoka hao ma dr watakuja police tena na wanajesheshi ndio tunapoelekea hizo posho zenu ndio zinaleta mambo.
about a minute ago
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, speaking of posho: Daktari anafanya kazi masaa 36 akiwa zamu na analipwa TZS 10,000 na Mbunge akiwa kazini kwenye shughuli ya Bunge anafanya kazi masaa 8 tu kwa siku, analipwa TZS 200,000! Wakati huo huo Mkurugenzi na Engineer wa Halmashauri wakikaa kwenye Road Board wanalipwa zaidi ya 300,000 kwa siku! Sitaki kuongelea hapa wataalamu wengine wote ambao wanashirikia kwenye masemina na mawarsha elekezi kwa masaa machache wanalipwa sh ngapi!
a few seconds ago Like
Neema Wa Nyahari
KINACHONISHANGAZA NIJINSI GANI HUYU HAMISI ANALAUMIWA KWANINI HAJAISHAURI SERIKALI. Ahahahaahahaahaah! Duh! Serikali ya JK na mwenzie MPP. Inasikia la mkuu hiyo???? Kama watu wanakufa na wanasikia wala hawashtuki ndo Hamisi akaongee!!! Wata...See More
a few seconds ago Like
Emmanuel Joseph Ntoga
Hata walimu wakiuvaa ujasiri kidogo tu, mbona watagoma maana nao wako kwenye fukuto hili la mgomo sema tu huwa wanaogopa kidogo!
Rogers Machimu
‎Hamisi Kigwangalla unajua watu wanazungumza hapa hawajua kinagaubaga haya madai siyo mapya ni ya siku nyingi ila watu wamejitia ukiziwi.....mimi nasema wanaolaumu madaktari ni kwa sababu KITANDA USICHOKILALIA HUJUI KUNGUNI WAKE......
a few seconds ago Like
Amon Petro
Sidhani kama kuna haja ya kumlaumu Dr. Hamisi Kigwangalla, kuna haja ya kuangalia hili tatizo la migomo isiyokwisha kwa mapana yake, tukiamua kuwaangalia madokta waliogoma kama tatizo tunakosea, mgomo wa madokta ni matokeo ya tatizo, la msingi hapa ni kutatua hicho kiini cha matatizo ili mwisho wa siku hii migomo iwe historia.
2 seconds ago Like
Hamisi Kigwangalla
Neema umenena. Ningetegemea wananchi waungane na madaktari waibane serikali na siyo wananchi wawalaumu madaktari kwa kudai haki yao. Wengi wao hapo walipo wameishaamua kuacha kazi serikalini baada ya hii crisis, sasa ulitegemea nini? mimi niunge mkono serikali, kwa nini haswa kwenye hili? Steve, usijali sana kuna watu hawaelewi na kuna wengine ni wapinga Kigwangalla kwenye kila kitu, sasa hao hawaninyimi usingizi! Nilishawaacha tu. Nawaonea huruma. Huwezi kumlazimisha Daktari akiwa ana njaa eti kwa kuwa kazi yake ni ya wito, mpe wito card sasa awe anatumia! Article 23 ya Universal delcalartion of human rights inatambua haki za kila anayefanya kazi, kwa kutaka apewe ujira unaoendana na kazi yake. Kumnyima mshahara ni sawa na kumnyima haki ya kula ama ya kuishi!
about an hour ago Like 6
Hamisi Kigwangalla
Katiba ya JMT, ibara ya 63 inasema serikali itawajibika kwa wananchi, pia bill of rights zilizomo kwenye katiba hiyo kuanzia ibara ya 14 - 17 zinaelezea haki za msingi za watanzania, na afya ikiwa ni mojawapo. sasa kama wananchi hawapati haki yao, wanatakiwa wakaidai kwa serikali na wala siyo kwa madaktari! Daktari hana dhamana yoyote ile kwa wananchi wagonjwa...ninarudia tena mwenye dhamana hiyo ni serikali! ni serikali! ni serikali! Tusichanganye mambo kama vile hatukwenda shule ama hatusomi na kuelewa vitabu
59 minutes ago Like 3
Emmanuel Joseph Ntoga
Hoja nzito sana imetolewa humu ndani kwaba WALALA HOI tutoke tukalale barabara zote muhimu nadhani hapo MaDr. Watasikilizwa?!NIMEIPENDA hiyo!
59 minutes ago Like
Olivia Sanare-mwanaharakati sio unapingwa unashangaza coz wewe ni serikali na wewe ni dr ulitakiwa uoneshe juhudi zako katika kutatua hili jambo si kuja kuandika hapa fb play ur part as a mp kumbuka hili liko hadi nzega huwa unaniboa kuiattack serikali wakati wewe ni mmoja wapo and u can do something mbona kina january makamba wanauthubutu?
57 minutes ago Like 1
Uwesu Msanzya sijui hii nchi ielekeapo kwa kweli maana kila mtu amekua mwanasiasa sikutegemea kama madaktari ambao mmesomeshwa kwa kodi za hao walala hoi ambao mishahara yao hata laki mbili haifiki leo mnawasaliti kwa kukataa kuwahudumia tafadhali tangulizeni ubinaadamu kwanza
55 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla oliver sanare, nimeishachukua hatua za kuishauri kamati ya huduma za jamii iende kuwasikiliza madaktari! na iwahoji serikali wanasemaje?
55 minutes ago Like 1
Said Bombey Kushika kinyesi ndio fani aliyochagua,tutatibiwa hata kwamitishamba watanzania tumekariri migomo.ma dr wote wanamaroho ya kinyama tu.huwezi ona mtu anakufa umpite kisa pesa kwani hawalipwi?au hawana viongozi.nikutaka kuonyesha kikwete hafai hakuna lolote.
53 minutes ago Like 1
Said Bombey Kushika kinyesi ndio fani aliyochagua,tutatibiwa hata kwamitishamba watanzania tumekariri migomo.ma dr wote wanamaroho ya kinyama tu.huwezi ona mtu anakufa umpite kisa pesa kwani hawalipwi?au hawana viongozi.nikutaka kuonyesha kikwete hafai hakuna lolote.
52 minutes ago Like
Charles Matemba Watanzania wasahaulifu sana,kumbukeni madaktari walishagoma nchi nzima na rais wakati huo mzee rhuksa akawa mgeni rasmi diamond onyesho la kanda bongoman,Pinda tunamwonea tu
52 minutes ago Like
Mrimia Humphrey ambacho mimi ckielewi kingwangwala unalalamika kama co kiongozi,unapaswa utoe solution,wewe ni sehemu ya serikali inayolalamikiwa,unaacces na viongozi wa serikali hebu washauri jamani ndugu zetu wanaumia sana
51 minutes ago Like 1
Emmanuel Joseph Ntoga MaMp wantaka posho sh 200,000/= per day MaDr mishahara yao ni...naogopa hata kusema maana ni aibu, afu wanafanya kazi siku zote na masaa yote!
Jamani serikali isiwe kiziwi iwasikie hawa MaDr wanateseka sana!
51 minutes ago Like 1
Joseph Kundy Chonde chonde ,pande zote mbili zikutane zikubaliane ,hapa watanzania wengi watazidi kuumia
49 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, wewe unafanya kazi yako bila kulipwa? ama kwa vile kazi ya Dr ni kutibu wagonjwa ndiyo maana yeye analazimika kufia hospitali kwa njaa? acheni ubinafsi jamani, toeni kauli za kuitaka serikali iwapeni haki ya kutibu maana hao madaktari wengi wao wameishakata tamaa na hawataki tena ajira za hapa nchini! sasa mtatitibiwa na nani anyway? Ukijua ni kwa muda wa miaka mingapi wamekuwa wakifuatilia haya madai yao kwa kutuma wawakilishi ungeshangaa kwa nini hawakuacha kazi siku nyingi!
49 minutes ago Like 1
Uwesu Msanzya hivi kweli mnayo hakika kuwa madaktari wanateseka? hebu fanya utafiti kwanza kati ya madaktari na walimu na wao nani anateseka? sema na wao wamekua wanasiasa thuswhy hawana uzalendo wala ubinaadamu miyoni mwao
47 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla hebu jiulize katika miaka mitano iliyopita wamezalishwa madaktari zaidi ya 2000, walioajiriwa serikalini kuhudumia watanzania hawafiki 100, unadhani ni kwa nini? Na walioacha kazi ni zaidi ya 100, walioenda nje ya nchi na ambao mimi ninawafahamu ni zaidi ya 20, na walioacha kazi na kufanya biashara kariakoo ni watatu, walioingia kwenye mashirika ya miradi ni zaidi ya 1000! Bado tu kaka haulioni tatizo hapo?????
46 minutes ago Like 2
Lubango Joshua hawa wanaokabidhiwa hizi nyzifa wana sifa hizo.....
45 minutes ago Like
Said Bombey Muheshimiwa wakitoka hao ma dr watakuja police tena na wanajesheshi ndio tunapoelekea hizo posho zenu ndio zinaleta mambo.
45 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
‎Said Bombey, speaking of posho: Daktari anafanya kazi masaa 36 akiwa zamu na analipwa TZS 10,000 na Mbunge akiwa kazini kwenye shughuli ya Bunge anafanya kazi masaa 8 tu kwa siku, analipwa TZS 200,000! Wakati huo huo Mkurugenzi na Engineer wa Halmashauri wakikaa kwenye Road Board wanalipwa zaidi ya 300,000 kwa siku! Sitaki kuongelea hapa wataalamu wengine wote ambao wanashirikia kwenye masemina na mawarsha elekezi kwa masaa machache wanalipwa sh ngapi!
40 minutes ago Like 1
Neema Wa Nyahari
KINACHONISHANGAZA NIJINSI GANI HUYU HAMISI ANALAUMIWA KWANINI HAJAISHAURI SERIKALI. Ahahahaahahaahaah! Duh! Serikali ya JK na mwenzie MPP. Inasikia la mkuu hiyo???? Kama watu wanakufa na wanasikia wala hawashtuki ndo Hamisi akaongee!!! Wata...See More
40 minutes ago Like 2
Emmanuel Joseph
Ntoga Hata walimu wakiuvaa ujasiri kidogo tu, mbona watagoma maana nao wako kwenye fukuto hili la mgomo sema tu huwa wanaogopa kidogo!
39 minutes ago Like
Hamisi Kigwangalla
walimu madai yao yamelipwa last wiki!
39 minutes ago Like
Rogers Machimu ‎Hamisi Kigwangalla unajua watu wanazungumza hapa hawajua kinagaubaga haya madai siyo mapya ni ya siku nyingi ila watu wamejitia ukiziwi.....mimi nasema wanaolaumu madaktari ni kwa sababu KITANDA USICHOKILALIA HUJUI KUNGUNI WAKE......
39 minutes ago Like
Amon Petro Sidhani kama kuna haja ya kumlaumu Dr. Hamisi Kigwangalla, kuna haja ya kuangalia hili tatizo la migomo isiyokwisha kwa mapana yake, tukiamua kuwaangalia madokta waliogoma kama tatizo tunakosea, mgomo wa madokta ni matokeo ya tatizo, la msingi hapa ni kutatua hicho kiini cha matatizo ili mwisho wa siku hii migomo iwe historia.
38 minutes ago Like
Lubango Joshua wabunge kudai laki 2 ulikuwa ni ufinyu wa mawazo yenu na kuweka mbele matumbo na kufikiria miradi yenu bila kujari wengine.....tatizo ni kujiwazia nyie tu.....haya yote ni posho zenu....hii nchi inakwenda wapii
35 minutes ago Like
Mohamed Arfi TATIZO IZARA YA AFYA NI BLANDINA NYONI
35 minutes ago Like
Said Bombey Lazima tuwalaumu ma dr sababu hawana huruma,pesa wanalipwa sema wanataka kuwa wanasiasa.
34 minutes ago Like
Fortunatus Kudela Kama Gov wanazo hizo takwimu halafu hawataki kutafuta suluhu. Sisi walala hoi tunapata shida sana kuelewa. Na ndiyo maana migomo inapamba moto kila kona. Hebu serikali kaeni mezani na hao madaktari mtatue kero zao.
34 minutes ago Like
Said Bombey Lazima tuwalaumu ma dr sababu hawana huruma,pesa wanalipwa sema wanataka kuwa wanasiasa.
33 minutes ago Like
Fue F Fue CCM wote ni wanafiki na wahuni wahujumu na hamna huruma ni wasanii wauza roho za watanzania
32 minutes ago Like 1
Ramadhan Keya Neema nafikiri unaelekea pabaya zaidi, kwa sababu moto huwa hauzimwi kwa petroli bali maji, sasa naona wewe unataka kumwagia petrol. kudai haki siyo dhambi ila namna ya kudai haki ndiyo wote tunatakiwa tubrainstorm ili kila upande upate haki yake yaani win-win situation bila kuleta madhara makubwa zaidi, jatahidi kucontroll imotion zake, vinginevyo utaonekana kama mshabiki na sio mpigania haki.
32 minutes ago Like 1
Saul Mwaisenye
Haya unayo yaandika humu ungekuwa unayapeleka MJENGONI au kwa kuwa una access yakuchati na Ba Riz 1 ungemfikishia, kwani sisi hatuna chakufanya zaidi zaidi unaendelea kutuchanganya kwani nawewe ni sehemu ya watawala tena wakubwa, Gomeni tu ...See More
31 minutes ago Like 1
Neema Wa Nyahari Said Bombey nanukuu "KITANDA USICHOKILALIA HUJUI KUNGUNI WAKE".
31 minutes ago Like 1
Fue F Fue
Watanzania longolongo nyingi na wavivu wa kufikiri na hatuwezi kuchukua maamuzi magumu. Kwanini tusiandamane mpka ikulu???
29 minutes ago Like
David Amani Kinyongoh
Mkuu nina shaka kama hilo jimbo mwaka 2015 utalipata tena..kwa siasa za chuki za CCM unapoongea ukweli ni ngumu kuamini..ila nakupongeza kwa maamuzi magumu unayoyachukua.
27 minutes ago Like
Nelson Mmari
‎Hamisi Kigwangalla naumia sana kuona uozo huu wa serikali lakini muda ukifika msiseme hatukuwaonya
26 minutes ago Like
Deus Amani Jr.
Mlipoongezewa posho hamkukaa meza moja na serikali kujadili! Mishahara yenu ya kufuru hamkukaa meza moja na kujadili... Eti kwa madaktari mnataka watumie Busara wakakae mezani na serikali kujadili.. Wakajadili nini wakati Serikali ilishasem...See More
23 minutes ago Like
Zuberi Lujina
BUSARA ITUMIKE NDUGU ZANGUNI, HAKI YA MASLAHI NI MUHIMU BUT PIA HAKI YA MAISHA NI MUHIMU SANA. CHONDE CHONDE PANDE ZOTE.
21 minutes ago Like
Neema Wa Nyahari
Kama udaktari ni wito Mbona wengine wakimbia wamekwenda kuwa wabunge....hihihihihi! Samahani Dr. Hamis hapa kidpogo nimekosa uvumilivu.
20 minutes ago Like 1
Said Bombey
Mi nashauri mtembee kidogo nchi za afrika muone maisha ndio muiseme serikali vibaya.tushukuru mungu kuzaliwa tanzania.kitanda cha kunguni,chawa vyote nimelalia ndio mana nawasihi msivuruge nchi yenu.maandamano sio silaha mtazidi jiumiza tu
19 minutes ago Like
Shaaban Zangira
Nimekufuatilia sna,nimegundua kuwa ww ni m2 mwenyemsimamo thabit na uwez kuwaeuka wenzako kwaajili ya cheo/madalaka yko
17 minutes ago Like
Deus Amani Jr. ‎...
.Said najua unayasema hayo kwa kulinda kofia za waliokufanya ukawa ulivyo.... Wanaoumia nao wanatamani kukuona wakurarue wewe na unaowakingia kifua.. Take care!
15 minutes ago Like
Frank Mhilu
twafa, yarabi toba......
14 minutes ago Like
Rogers Machimu
watu mnasema madaktari watumie busara kuokoa maisha ya watanzania kwanini serikali nayenyewe isitumie busara hiyohiyo kuokoa maisha ya watanzania,Kabla mgomo kutukia serikali wamefuatwa mara ngapi kwa ajili ya mazungumzo au mnazani hawa ni wanasiasa?
13 minutes ago Like 1
Sefu Kulunge
MIMI NAZANI MADAKTARI WAKUIGE WEWE WARUDI MAJIMBONI ILI WAINGIE MJENGONI HUKO KILA KITU KAMA UNAKULA UGALI KWA MRENDA VILE
13 minutes ago Like 1
Maggid Mjengwa ‎
" Nendeni mezani, myazungumze, myamalize"- Hamis Kingwangalla. Hiyo ni hekima, yapaswa itangulizwe.
11 minutes ago Like 1
Innocent Kimaro
‎@Mh mbunge kwakuwa hapo yupo mpiga kura wako ndio maana unaongea siyo? Mi ningependa waendelee kugoma ili walipwe mshahara mzuri tofauti nyie mnaopiga makofi mnataka laki mbili
10 minutes ago Like
Nelson Mmari Maggid,
Hakuna cha kuzungumza wameshazungumza sana, sasa sisi wananchi tuifanya serikali izungumze, sms inazunguka jumtatu maandamano ya kitaifa
9 minutes ago Like 1
Grace Ngopola
jaman watu wanakufa kweli pale muhimbili, unajua serikali inajiangalia yenyewe na si wananchi wanaowatizama, kwan wao wanashida gan akitokea mmoja kazidiwa wanampeleka India ss tunakufa jaman tusaidiane nakuoneana huruma
9 minutes ago Like
Victor Ngukulu Nkonya
unajua Serikali inacheza na watu wake sisi ndo mwajiri wao, jamani tufanye maamuzi magumu watu wanaokufa si kwa mapenzi ya Mungu
8 minutes ago Like 1
Nelson Mmari
jumatatu barabarani ndio maamuzi magumu kama utalalama utakaa milele
7 minutes ago Like
Neema Wa Nyahari SAID BOMBEY "KAMA MBWAI NA IWE MBWAI" KITU GANI BHANA. NAWAKUMBUKA SANA WALE NDUGU ZANGU "WAGOSI WA KAYA" WALISEMA NA WALIJARIBU KUONESHA NINI KINAPASWA KIANGALIWE KUPITIA MASHAIRI YALE WALIYOTUNGIWA NA BABU YETU MZEE FUMBUKA LUBASA......NAWAKUMBUKA JAMANI NAWAKUMBUKA. TULIKUWA TUNAONA KAMA MZIIKI TU LAKINI MANENO YALE KAMA YANGEKUWA YAMEWAINGIA WATU VIZURI LABDA KUNGEKUWA KUMELEEWEKA JAMBO!
6 minutes ago Like 1
Innocent Kimaro wache watu wafe wangap wamekufa na serikali wamchukua hatua gani? Haina haja madaktari kwenda mezani waendelee kugoma tuone hiyo jeuri ya serikali na chama chake ''CHUKUA CHAKO MAPEMA''
Saul Mwaisenye Huu ni MGOMO wa madaktari kutotibu maskini, kwani matajiri wanakuja kwenye hospitali zenu BINAFSI, Maskini tunaendelea kusubiri mmalize SIASA zenu mtatukuta, mkikuta tumekufa basi mtuombee kwa MUNGU.
8 minutes ago Like
Neema Wa Nyahari Nelson Mmari tuwasiliane vizuri!
7 minutes ago Like
Edna Paul Viongozi wa serikali yetu hawana uchungu hata kidogo na mahospitali yetu wala madoctor wetu. Siku ambayo wafanyakazi wa hospitali ya Apollo huko India wakiGOMA kama hapa Tanzania, ndipo viongozi wetu watakapoanza kuzithamini hospitali zetu....lakini kama Apollo ya India hawatakuja kugoma basi tusahau huduma bora kwenye vituo vyetu vya afya! kwani wao wataendelea kutibiwa huko India.....Tafakari!
6 minutes ago Like
Innocent Kimaro ‎@saul saluti kwa point yako.Nchi hii imetumbukia shimoni bado mtu anasafiri kwa sfari ambazo hazina tija kwa taifa... Wao wakiumwa wanakwenda india wananchi tumien haki yenu katika mwaka 2015
5 minutes ago Like
Edna Paul Madaktani wapige marufuku serikali kutumia hospitali kuu nchini kama STAND za kuwapeleka wakubwa nje ya nchi kutibiwa na kupelekea kutohamasika kuboresha hospitali nchini, alaa
about a minute ago Like
Didier Abdallah Unajua wewe napata mashaka sana na u dr wako sijui uliupata wapi..? Wewe juzi si umeweka post hapa kuhimiza madaktari wagome leo unaanza kuongea matapishi hapa..hebu toa propaganda zako za sokoni hapa