Sawa mkuu wangu. lakini usisahau post yangu ina NB...nayenyewe (NB) itatumika
Pole wamezipata hao jamaa.....Mkuu naona kimya sana siku hizi..
sema watamkumbuka sana ballack,alikuwa muhimu sana,wasipoangalia hata nafasi ya pili watakosa,nadhani msimu huu english premier ligi kombe aidha asilimia kubwa old trafford, au kiasi fulani emirates,Darajani mwaka huu itakuwa ni kilio, tunachemsha!